Nyie jamaa bwana wababaishaji sana. Si mlisema Magufuli aliiweka mahakama mfukoni na mkafurahia kifo chake. Mkafurahia DPP Biswalo kuondolewa, mkafurahia Sabaya kufunguliwa mashtaka na kesi, sasa haya ya Mahakama kuwa mali ya CCM yametoka wapi? Hivi mnajitambua kweli nyie watu?
Kawaacha , tena baada ya yeye kung'oka wameanza kwenda hata kozi..kwani magufuli alikufa na mapolisi, mahakimu, na majaji, waliokuwa wakishirikiana naye kudhulumu wapinzani?
Mwache Mungu aitwe Mungu.Matokeo yake akafa yeye
Nyie jamaa ndiyo maana mnaitwa nyumbu. Hata hamjui mpingacho Wala mkitakacho..kwani magufuli alikufa na mapolisi, mahakimu, na majaji, waliokuwa wakishirikiana naye kudhulumu wapinzani?
Mkuu nikitaka kupata video yote naingia wapi? Very sorryMakamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , amechambua mashitaka yaliyosomwa Mahakamani yanayomkabili Mwenyekiti wake Freeman Mbowe , huku akiyaita duni , mepesi na ya UONGO.
View attachment 1906115
Amedai ana uzoefu wa kutosha kwenye kesi za uzushi na uongo kama hii kutokana na kazi yake ya Uanasheria aliyoifanya kwa miaka mingi , ameahidi kushinda kesi hiyo ya kutunga mapema asubuhi .
Hebu msikilize mwenyewe ufaidi uhondo .
Pia nchi na mtuHuu nao ni ujinga mwingine, tofautisha nchi na serikali ....
Maashtaka ya kupanga mauaji na mashtaka ya ugaidi, limechaguliwa neno zito...DPP majibu tafadhali.... utaifuta kesi ili uifungue upya ama utaomba review uongezee uzito wa hati ya mashitaka ? maana unamtia hatiani mtuhumiwa mashitaka ya UGAIDI bila evidence iliyo wazi - umewaza tu kwamba alitaka....umejuaje ama una roho mtakatifu ndani yako alikwambia kwamba Mbowe atakwenda kulipua vituo vya mafuta kwa idadi visivyojulikana hata maendeo vilivyoko.
Pia dola $250 zinaweza kufadhili UGAIDI? au kukodi wale bodaboda wapora pochi za kinamama?
Niliamini gaidi lazima awe katika kundi lenye watu wengi wenye nia ovu kama ya kwake na kwa mtu mmoja au watatu pekee hawawezi kuwa magaidihujui kitu wewe, kwenye judiciary inayofanya kazi vizuri, hii si kesi hata kidogo. Sema kwa vile majaji wanapokea magizo anything can come out... ukiipeleka Kenya wanaifukuza nakwambia.
Mvua zinaliwa!!??Akila mvua msije kulialia humu
Zezeta kabisa wewe .kwanini mnaiba kura ?kwanini hamtaki tume huru ya uchaguzi,kwa nini hamtaki katiba mpya? Kwa taarifa yako ccm inakufa 2026 mara baada ya kushinda uchaguzi 2025yaani mtu bora ukose vyote kuliko kukosa akili ya kupambanua mambo yaani mnategemea ccm ife leo? yaani jihesabuni tu kuwa nyie ni wpinzani milele hamna sera hamna ushawishi kwa watu nani anawataka ?
Alikimbiaje? Kwanini hakukamatwa airport?Lisu yeye kakimbia kesi bado anaona zawenzake nyepesi, Lisu ni mwoga sana
USSR
huna hoja weweNyie jamaa ndiyo maana mnaitwa nyumbu. Hata hamjui mpingacho Wala mkitakacho
Watu wa aina hiyo ndio CCM inawataka na waliwekeza kweli kweli kwa watu hao kwa mtaji wa ujinga. CCM ilipoona kuna jukwaa huru kama hili letu la JF, ikawamwaga humu...yaani unakutana na watu humu mpaka unajiuliza mara mbili tatu kama waliwahi hata kuwa na akili na kama walikuwa nazo wamezipotezea wapi?Huwa nikisikia comments kama hizi mara moja huwa nahitimisha kwamba mtoaji comments ameshikiwa akili na ni mburula. Yaani ni mtu ambaye hana kabisa uwezo wa kutumia akili yake yeye mwenyewe kutafakari na kufanya hitimisho lake kwenye issues mbalimbali. Watu wa namna hii huendeshwa tuu kwa kufuata mkumbo wa kile wanachoelezwa kukiamini. Why kwa sababu mtu yeyote mwenye akili timilifu, na siyo akili ya kuvumia barabara au kwenda kukojoa , na wala si chuki za kijinga za kiitikadi au upuuzi mwingine, anajua fika nini hasa kilimkuta Tundu Lissu. Pia anajua fika uwezo wa Lissu kwenye eneo lake la sheria na ni kwa jinsi gani washindani wake wanamuogopa sana wanapokuwa naye mahakamani, kiasi kwamba ilifikia mahala wakaona hatakaa wamshinde mahakamani badala yake watafute njia ya mkato ya kushughulika naye.....
He is not he.Huyo USSR, hajawahi kuwa na akili, hajawahi kuchangia kitu chochote cha maana. Kungekuwa na jukwaa kwaajili ya watu wenye uwendawazimu, would be the right place for him. Here, he is misfit.
Hawa ndio wale tunaita buku 7 fcWatu wa aina hiyo ndio CCM inawataka na waliwekeza kweli kweli kwa watu hao kwa mtaji wa ujinga. CCM ilipoona kuna jukwaa huru kama hili letu la JF, ikawamwaga humu...yaani unakutana na wtu humu mpaka unajiuliza mara mbili tatu kama waliwahi hata kuwa na akili na kama walikuwa nazowamezipotezea wapi?
Kwa kweli walifanya research ya kutosha na wakawekeza kweli kweli, hebu pitia hii orodha...
Orodha itaendelea kulingana na wanavyozidi kufyatuliwa...
- Kamanda Asiyechoka
- Ezekiel Mbaga
- Shujaa Mwendazake
- tutamkumbukamagu
- akilinene
- Bushesha jr
- JUMA JUMA
- Wakudadavuwa
- zandrano
- shamimuodd
- Redpanther
- GENTAMYCINE
- Jasusi Mbobezi
- Elitwege
- Idugunde
- Jumbe Brown
- johnthebaptist
- USSR
- Magonjwa Mtambuka
- Dr Akili
- Janjaweed
- mtanzania1989
- Phillipo Bukililo
- Mr Dudumizi
- digba sowey
- IDEGENDA
- Niza doyi
- Kivumishi Kielezi
- Gerald .M Magembe
- Jasusi Mbobezi
- Jay One
- Stuxnet
- Latvia
- Iboya2021
- Ritz
- mama D
- Psalm 23
- Shambaboy jogoli
- Pulchra Animo
- BUSH BIN LADEN
- No signal
- Lord OSAGYEFO
- fisi 2
- Naipendatz
- Ibambasi
Hawa kaa nao mbali kama ukoma, akili zao ziko stoo za CCM, zimehifadhiwa huko huko. Mara moja moja wanapewa kwa muda wazitumie lakini tatizo ni kwamba hakuna uhakika wa kupewa za kwako! Ndio maana kuna wakati hawaeleweki eleweki...inasikitisha!
Binafsi nakupa pole kwa kupambana kufatilia maisha ya wanaume pia nakupa pole kwa kuendelea kufanywa chambo kwa ajili ya tumbo la mwanasiasa.Watu wa aina hiyo ndio CCM inawataka na waliwekeza kweli kweli kwa watu hao kwa mtaji wa ujinga. CCM ilipoona kuna jukwaa huru kama hili letu la JF, ikawamwaga humu...yaani unakutana na watu humu mpaka unajiuliza mara mbili tatu kama waliwahi hata kuwa na akili na kama walikuwa nazo wamezipotezea wapi?
Kwa kweli CCM walifanya research ya kutosha na wakawekeza kweli kweli katika ujinga, hebu pitia hii orodha...
Orodha itaendelea kulingana na wanavyozidi kufyatuliwa...
- Kamanda Asiyechoka
- magu2016
- Ezekiel Mbaga
- Shujaa Mwendazake
- tutamkumbukamagu
- akilinene
- Bushesha jr
- JUMA JUMA
- Wakudadavuwa
- zandrano
- shamimuodd
- Redpanther
- GENTAMYCINE
- Jasusi Mbobezi
- Elitwege
- Idugunde
- Jumbe Brown
- johnthebaptist
- USSR
- Magonjwa Mtambuka
- Dr Akili
- Janjaweed
- mtanzania1989
- Phillipo Bukililo
- Mr Dudumizi
- digba sowey
- IDEGENDA
- Niza doyi
- Kivumishi Kielezi
- Gerald .M Magembe
- Jasusi Mbobezi
- Jay One
- Stuxnet
- Latvia
- Iboya2021
- Ritz
- mama D
- Psalm 23
- Shambaboy jogoli
- Pulchra Animo
- BUSH BIN LADEN
- No signal
- Lord OSAGYEFO
- fisi 2
- Naipendatz
- Ibambasi
- wababayangu
Hawa kaa nao mbali kama ukoma, akili zao ziko stoo za CCM, zimehifadhiwa huko huko. Mara moja moja wanapewa kwa muda wazitumie lakini tatizo ni kwamba hakuna uhakika wa kupewa za kwako! Ndio maana kuna wakati hawaeleweki eleweki...inasikitisha!
Haya majitu sasa hv mengine yameshaanza kugawanyika-Mengine yamegawanywa na udini wakati mwingine yanakosoana yenyewe kwa yenyewe.Maushung kawapiga sana baadhi counter attack kwenye tozo nahisi biashara zao za tigo pesa na Mpesa zimeferengwa akili zimeanza kurudiWatu wa aina hiyo ndio CCM inawataka na waliwekeza kweli kweli kwa watu hao kwa mtaji wa ujinga. CCM ilipoona kuna jukwaa huru kama hili letu la JF, ikawamwaga humu...yaani unakutana na watu humu mpaka unajiuliza mara mbili tatu kama waliwahi hata kuwa na akili na kama walikuwa nazo wamezipotezea wapi?
Kwa kweli CCM walifanya research ya kutosha na wakawekeza kweli kweli katika ujinga, hebu pitia hii orodha...
Orodha itaendelea kulingana na wanavyozidi kufyatuliwa...
- Kamanda Asiyechoka
- magu2016
- Ezekiel Mbaga
- Shujaa Mwendazake
- tutamkumbukamagu
- akilinene
- Bushesha jr
- JUMA JUMA
- Wakudadavuwa
- zandrano
- shamimuodd
- Redpanther
- GENTAMYCINE
- Jasusi Mbobezi
- Elitwege
- Idugunde
- Jumbe Brown
- johnthebaptist
- USSR
- Magonjwa Mtambuka
- Dr Akili
- Janjaweed
- mtanzania1989
- Phillipo Bukililo
- Mr Dudumizi
- digba sowey
- IDEGENDA
- Niza doyi
- Kivumishi Kielezi
- Gerald .M Magembe
- Jasusi Mbobezi
- Jay One
- Stuxnet
- Latvia
- Iboya2021
- Ritz
- mama D
- Psalm 23
- Shambaboy jogoli
- Pulchra Animo
- BUSH BIN LADEN
- No signal
- Lord OSAGYEFO
- fisi 2
- Naipendatz
- Ibambasi
- wababayangu
Hawa kaa nao mbali kama ukoma, akili zao ziko stoo za CCM, zimehifadhiwa huko huko. Mara moja moja wanapewa kwa muda wazitumie lakini tatizo ni kwamba hakuna uhakika wa kupewa za kwako! Ndio maana kuna wakati hawaeleweki eleweki...inasikitisha!
Binafsi nmefurahi sana mana tangu nimejiunga jf cjawahi kuona mtu akini-mention hvy kwa huu ushoga wako wa kuniita hapa mm nmefurahi sana na nakuomba uendelee na moyo huo huo wa kufatilia mume za watuWatu wa aina hiyo ndio CCM inawataka na waliwekeza kweli kweli kwa watu hao kwa mtaji wa ujinga. CCM ilipoona kuna jukwaa huru kama hili letu la JF, ikawamwaga humu...yaani unakutana na watu humu mpaka unajiuliza mara mbili tatu kama waliwahi hata kuwa na akili na kama walikuwa nazo wamezipotezea wapi?
Kwa kweli CCM walifanya research ya kutosha na wakawekeza kweli kweli katika ujinga, hebu pitia hii orodha...
Orodha itaendelea kulingana na wanavyozidi kufyatuliwa...
- Kamanda Asiyechoka
- magu2016
- Ezekiel Mbaga
- Shujaa Mwendazake
- tutamkumbukamagu
- akilinene
- Bushesha jr
- JUMA JUMA
- Wakudadavuwa
- zandrano
- shamimuodd
- Redpanther
- GENTAMYCINE
- Jasusi Mbobezi
- Elitwege
- Idugunde
- Jumbe Brown
- johnthebaptist
- USSR
- Magonjwa Mtambuka
- Dr Akili
- Janjaweed
- mtanzania1989
- Phillipo Bukililo
- Mr Dudumizi
- digba sowey
- IDEGENDA
- Niza doyi
- Kivumishi Kielezi
- Gerald .M Magembe
- Jasusi Mbobezi
- Jay One
- Stuxnet
- Latvia
- Iboya2021
- Ritz
- mama D
- Psalm 23
- Shambaboy jogoli
- Pulchra Animo
- BUSH BIN LADEN
- No signal
- Lord OSAGYEFO
- fisi 2
- Naipendatz
- Ibambasi
- wababayangu
Hawa kaa nao mbali kama ukoma, akili zao ziko stoo za CCM, zimehifadhiwa huko huko. Mara moja moja wanapewa kwa muda wazitumie lakini tatizo ni kwamba hakuna uhakika wa kupewa za kwako! Ndio maana kuna wakati hawaeleweki eleweki...inasikitisha!