Pre GE2025 Tundu Lissu: Mbowe alimtuma Wenje agombee nafasi yangu ili waniondoe, nikasema sasa nitagombea nafasi ya huyo aliyekutuma

Pre GE2025 Tundu Lissu: Mbowe alimtuma Wenje agombee nafasi yangu ili waniondoe, nikasema sasa nitagombea nafasi ya huyo aliyekutuma

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tundu tunza kauli kaka,

Siasa zina pande nyingi sana.... Unless ujiandae kuwa kama kina Che Guavara

Duniani sio kila kitu cha kusema kuna vingine vya kuzikwa navyo.

Hiyo grandiosity na self inflicted grandiosity haikufikishi popote...

Unataka kusema Wenje ana udogo gani kwenye siasa za CDM kukuliko?

Unakumbuka unachangisha mchango wa gari ni mwaka sasa hujafikisha mil 150? Jiulize tu kuna nini? Hawa washabiki kwanin huwaoni kwenye course zako?
Acha kutisha watu, pumbavu
 
Kumbe ni kisasi sio kwamba anaweza,ila anawakomoa Mbowe na Wenje,hii kazi bado mbichi na ngumu,Chadema imefanya makosa
Kukomoa ni mojawapo make dhamira ya mbowe kumchomekea wenje ni ili amkomoe lissu, Sasa tofauti na kukomoa ila lissu katuweka wazi kuwa ruzuku itashuka Hadi huko wiliyani sio kuliwa tu na family ya mbowe, pia lissu kasema waz kile kipengele cha ukomo wa madaraka kilichonyofolewa na mbowe yeye atakirudisha. Sasa nyie vibaraka wa bwana mikonyagi mbona wagumu kuelewa?
 
Back
Top Bottom