Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
100m kuwe na hela chafu, unajua hela chafu ww?Je wanajuaje kuwa hela ya michango husika kuna hela chafu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100m kuwe na hela chafu, unajua hela chafu ww?Je wanajuaje kuwa hela ya michango husika kuna hela chafu?
Aisee hiyo ni tsh 29,389 tuNimetuma Tsh 500,000/=
Toka hapa wewe kibaraka wa MafisadiNi jambo jema
Tutatop up ifike 110mToka hapa wewe kibaraka wa Mafisadi
Usifanye mchezo na 'megalomaniacs) wakati wowote na mahali popote...Amina, tena Amina.
..sijui Lissu alimkosea nini Magu mpaka atume watu kumuua kwa namna ile.
Na ingewezekana pia, "tozo" juu ya michango hiyo ikawa nusu ya pesa iliyo changwa!..Magufuli alivyokuwa na moyo wa kutoa naamini angemchangia gari Tundu Lissu.
Subutu yake aache kunywa bia zake baridi ashughulike na madawati, kipimo cha – uzalendo - huwa kidogo sana, hasa huwa ni niya yako ya ndani katika kujali wengine wenye mahitaji muhimuBadili gear angani tukanunue madawati kuna shule huko watoto wanakaa chini
🙏Subutu yake aache kunywa bia zake baridi ashughulike na madawati, kipimo cha – uzalendo - huwa kidogo sana, hasa huwa ni niya yako ya ndani katika kujali wengine wenye mahitaji muhimu