K
Kwani Mbowe hajachanga hata mil. 10.
Pesa zote anazotulia kwenye Chopa ni ili nini ?
Mbona Makonda hatumii chopa lakini watanzania wanamuelewa sana.
Chadema wanakosea sana siasa za chuki dhidi ya watetezi wa Wanyonge.
Lisu kila sentensi mbili anamtaja magufuli kwa kumponda . Huu ni upuuzi na kupoteza kura nyingi sana mana wananchi wanategemea aina mbili tu za uongozi kwa sasa; Magufulification na Suluhufication. Usipokua na aina ya uongozi wa JPM utaonekana ni wale wale wa kula kwa urefu wa Kamba ,hivyo wananchi 80% ambao ni wanyonge wataona ni heri aendelee na Samia wakimsubiri Makonda siku akiamua kuchukua fomu. Ila hata Makonda akichukua fomu kesho kama ni mzima wa afya basi atashinda kwa kishindo kikubwa sana kwa sababu ya Magufulification iliyoko ndani yake. Siasa ni saysansi ya kucheza na jamii na kuwin hisia zao. Tundu Lisu hajaiva kwenye sayansi ya Siasa .
Mwabukusi hana chama anachoweza kupitia na kugombea ila naye ni tishio kwa majizi na rafiki wa wanyonge.