much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Je miga tulishitakiwa?Na kishika uchumba mkapokea kama kitulizo 🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je miga tulishitakiwa?Na kishika uchumba mkapokea kama kitulizo 🤣🤣🤣🤣
Unashtakiwaje wakati ushaamua kupokea kishika uchumba kama kifungashio?Je miga tulishitakiwa?
Mikataba ilibadilishwa haikubadilishwaUnashtakiwaje wakati ushaamua kupokea kishika uchumba kama kifungashio?
Ilibadikishwa according kwa previous agreement, fungua akili yako kijana. Huez kurupuka vunja mkataba na kuubadili kama mkataba husika umezuia. Ww jiulize kwann ndege zetu zimekamatwa san huko nje? Au CDM ndio wamesababisha!!Mikataba ilibadilishwa haikubadilishwa
Zimekamatwa na migaIlibadikishwa according kwa previous agreement, fungua akili yako kijana. Huez kurupuka vunja mkataba na kuubadili kama mkataba husika umezuia. Ww jiulize kwann ndege zetu zimekamatwa san huko nje? Au CDM ndio wamesababisha!!
Kwann miga wasishtakiwe kwa kukamata ndege zetu?Zimekamatwa na miga
Kwasababu ya tundu migaKwann miga wasishtakiwe kwa kukamata ndege zetu?
Kumbe tundu ana nguvu na ushawishi kuliko serikali yetu? Aisee huyu jamaa ni ni noma!!!Kwasababu ya tundu miga
Tundu Lissu ameeleza kuwa mkataba huo unaenda kukinzana na Sheria zetu za maliasili zilizopitishwa na Magufuli zinazolazimisha migogoro yote ya rasimali zetu baina ya serikali na wawekezaji iamriwe nchini na kwa sheria zetu, lakini mkataba wa bandari unataka migogoro yote iamriwe Johannesburg Afrika kusini kwa kutumia sheria za Uingereza
419 ya kinaijeria.UTARATIBU WA KUCHANGIA KESI YA KIZALENDO DHIDI YA SERIKALI JUU YA UUZWAJI WA BANDARI ZA TANGANYIKA:
NMB: 24710018584
JINA: ALPHONCE LUSAKO MWAMWILE
TIGO PESA: +255718760649
JINA: LUSAKO MWAMWILE
UMOJA NI NGUVU
UPENDO NI KUFAANA.
Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Antipas Lissu amesema mkataba wa kuwakabidhi bandari baina ya Tanzania na Dubai ni swala nyeti (very seriously) ndiyo maana limepelekwa bungeni.
Akiongea club house amesema kitendo cha mkataba huo kupelekwa bungeni kinaashiria unyeti wake na athari ya mkataba husika katika sheria za nchi. Mikataba ya kimataifa yenye athari ya kubadilisha sheria lazima ipite bungeni.
Kwa mujibu wa sheria Za kimataifa kwa mfumo wa Tanzania mikataba ya kimataifa (international treaties) haiwi na nguvu dhidi ya Tanzania mpaka ipitie bungeni na kutungiwa sheria ya bunge. Hatua hii ndiyo inayoitwa domestication /ratification, yaani bunge linapitia Masharti ya mkataba wa kimataifa na kuyapitisha upya kama sheria ya bunge na baada ya hapo mkataba husika unakuwa na nguvu nchini maana unakuwa ni sheria.
Kwa kawaida mikataba ya kibiashara (bilateral commercial agreements) huwa haipiti bungeni, ukiona umepita bungeni basi mkataba husika una athari kubwa Sana kwa sheria za nchi hivyo unahitaji kupita bungeni ili kubadilisha baadhi ya sheria za nchi kuendana na mkataba husika. Hivyo kwa mujibu wa Tundu Lissu mkataba huo ukiridhiwa na bunge unakuwa sheria na unakwenda kubadilisha sheria zetu.
Tundu Lissu ameeleza kuwa mkataba huo unaenda kukinzana na Sheria zetu za maliasili zilizopitishwa na Magufuli zinazolazimisha migogoro yote ya rasimali zetu baina ya serikali na wawekezaji iamriwe nchini na kwa sheria zetu, lakini mkataba wa bandari unataka migogoro yote iamriwe Johannesburg Afrika kusini kwa kutumia sheria za Uingereza
Kuhusu vipengele vya ukomo Tundu Lissu amesema mkataba huu hauna ukomo kwani unasema utakoma pale ambapo shughuli husika zilizomo kwenye mkataba zitakoma, shughuli za kuendeleza na kusimamia bandari hazina ukomo.
---
😅😅😅SA Kalokola: .....Baada ya kusema hayo, hoja yangu ni kwamba IGA ni Mkataba wa kimataifa uliopitia mchakato wa 63[3]e ya KATIBA
Jaji: kwani issue ilikuaje?
SA Kalokola: issue ilikuwa whether IGA is contract
Jaji: wewe umejibu vipi?
SA Kalokola: IGA is international agreement
Wadau: Miguno kidogo.