Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Kwan ww ulipata Noah yako kipind cha makinikia? Ulimsikiliza chief negotiator Mr jalalani akisema kuhusu kishika uchumba ilikua kanyaboya?TL huwa ni mbabaishaji tu! Kwake tumbo lake kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan ww ulipata Noah yako kipind cha makinikia? Ulimsikiliza chief negotiator Mr jalalani akisema kuhusu kishika uchumba ilikua kanyaboya?TL huwa ni mbabaishaji tu! Kwake tumbo lake kwanza
Mkuu hawa wafuasi wake umesahau walimpa ukuu mpaka kumlinganisha na KRISTO mfalme wa aman? Hukuona mwingine alisema aliezifanya mbingu na Nchi ndie anapaswa amshukur JPM? Kwa laana ile huez baki salama! Alipaswa akemee hao machawa na kumrudishia MUNGU UTUKUFU wake!!!Kwani Magufuli alikuwa nani hadi asipingwe? Ni Yesu tu ndio hapingwi.
Kwani Kuna mkataba gani ulivyunjwa na vipi kuhusu migaAlipinga kuhusu kuvunja mikataba bila kufuata sheria!! Kwan jamaa yang wewe ulipata Noah yako?
Akijibu maswali ya wananchi kuhusiana na mkataba huu. Lissu amesema kuwa huu ni mkataba mbaya zaidi tuliowahi kuingia ukilinganisha na mingine yote.
1. Anasema ubaya wa mktaba huu unaenda kubadili sheria za nchi. Akimaanisha kuwa hakuna sheria yeyote nchini ya masuala ya uendeshaji wa bandari itakayotungwa siku na miaka ijayo bila kwanza kuhakikisha haiendi kinyume na mkataba huu wa bandari kati yetu na Dubai. Anasema kwa muktadha huo , uhuru wetu wa kumaneuvre ktk ishu za bandari ndo umeshapigwa PINI na mkataba huu
2. Pili anasema mkataba wenyewe unaenda kinyume cha katiba. Anasema kwa mujibu wa katiba Bandari ni jambo la muungano. Anahoji kdma bandari ni jambo la muungano iweje DP world ihusike na bandari za Tanganyika huku za Zanzibar zikiwa huru nje ya Scope ya mkataba huu. Anauliza utakuwaje na sheria mbili tofauti kwa jambo lilelile la muungano.
3. Pia ameonya kuhusu Kampuni hiyo ya DP kuingilia siasa za Tanzania hasa uchaguzi mkuu, akijibu swali la mwananchi, amesema kuwa uzoefu wake ni makampuni haya ya uwekezaji kufanya michezo hiyo, akatolea mfano kwenye uchaguzi wa nwaka 2005, ambao licha ya CCM kuiba hela za EPA zaidi ya dola milioni 100 ili kuitumia kwenye kampeni za uchaguzi, Makampuni ya Madini yalichangia CCM zaidi ya dola milioni 30. Akaonya kuwa hata hii ksmpuni ya Dubai nayo inaweza kuendelea na mchezo huu maana ili ifanikiwe zaidi katika mkataba huu wa kuuza nchi, lazima CCM iendelee kubaki madarakani, maana serikali yake ndiyo iliyowauzia bandari kiubwete.
Unaweza kumsikiliza kiurefu hapa:
Inaonyesha hujui inner circle nn kiliendelea... Ni kwan mzee alijirud na kubadili msimamo na kukaa nao? Mwisho wa cku akaona bora tu apokee kishika uchumba ambacho kitalipwa kwa instalment ya miaka? Ile ilikua kutafuta political popularity tu lkn ngoma ilibaki vilevile kilichofanyika ni kubadili majina!! Kuvunja mikataba Mzee haihitaj nguvu bali taratibu za kisheria na c vinginevyo.Kwani Kuna mkataba gani ulivyunjwa na vipi kuhusu miga
upuuzi huwa haujibiwi ujueKwan ww ulipata Noah yako kipind cha makinikia? Ulimsikiliza chief negotiator Mr jalalani akisema kuhusu kishika uchumba ilikua kanyaboya?
Wee ni jinga kbs, fuatilia alichosema kabudi kuhusu ile pesa ya makinikia, yaezekana hujui kitu unadandia mamb tu.upuuzi huwa haujibiwi ujue
Chuki za kijinga tu ulitegemea vyeti feki mngeweza kuendesha nchi? Matokeo yake ndiyo haya, mkurugenzi anataka wawekezaji kuongeza ufanisi lkn anataka aendelee kubaki na ukurugenzi wake.Evil ni Yule aliyefukiwa chato, NDULI MLA NYAMA za watu.
Nafikiri tatizo sio vyeti feki Bali mitaala na ufundishaji Kwenye shule za sheria , wanafunzi wanavishwa mawazo ya kupambana kufauli mtihani kwa namna yoyote ile lakini sio kutekeleza kwa vitendo kwa ubora wa juu fani yenyeweChuki za kijinga tu ulitegemea vyeti feki mngeweza kuendesha nchi? Matokeo yake ndiyo haya, mkurugenzi anataka wawekezaji kuongeza ufanisi lkn anataka aendelee kubaki na ukurugenzi wake.
Usimtazame mtu kwa namna hiyo. Sikiliza hoja zake. Ana hoja.TL huwa ni mbabaishaji tu! Kwake tumbo lake kwanza
Hoja mezani ni bandari.Huyu Si alimpiga magufuli kuhusu madini?
Hoja mezani clip ya lisuHoja mezani ni bandari.
Nape zile ARV zimemuathiri ubongo nasikia kuna muda anaanguka kifafa.Kina Nape wanapayuka tu, hawajui tofauti kati ya siasa na maslahi ya nchi
Mjinga jikite kwenye Maada, au ni kubwa sana kwako? Kama unaona ni sehemu ya huu utawala wewe chukua nafasi zao basiAsikudanganye mtu, Tundu Lisu ni sehemu ya huu utawala na hakuna asichokijua ni kama Zito Kabwe tu, kwangu mimi Tundu lisu is more evil klk hawa CCM kwa maana anajificha ili kuwahadaa watu kwamba yuko against utawala wa Samia wakati siyo kweli, pure evil!
More spiritual.Mwenge ndio chanzo cha laana zote zinazoliangamiza taifa letu
Isaya 50:11