Tundu Lissu: Mkataba wa bandari ni suala nyeti sana

Tundu Lissu: Mkataba wa bandari ni suala nyeti sana

Hata huko kwenye madini ilikwishafutwa. Ilikuwa kuwahadaa wajinga.

Mkataba wa Barrick na Serikali unatamka kuwa migogoro itaamliwa na mahakama ya Singapore, na hakuna kukata rufaa, na hata kukiwa na mgogoro, Serikali ni marufuku kusimamisha uzalishaji au exports.
Kwahiyo Tundu Lissu amekuwa misinformed kuhusu hii sheria.
 
Nadhani kila mtu ameona. Huyu Lissu ameongea tu taratibu zinazotakiwa bila kusema mkataba una madhara gani kwa taifa. Na asingeweza kuupinga. Ujue yuko huko. Halafu eti anaonyesha kudharau hatua ya serikali ya Magufuli kutaka migogoro iamuliwd TZ. Halafu mtu na akili yake anadai Lissu ni mtetezi wa maslahi ya waTZ.
wapumbavu wa magufuli lile uwaji la watu nendeni ikulu mkashangilie yanga kuvalishwa shanga shingoni.
 
Huyu alishafikwa bei kitambo sana, usitegeme lolote la maana kutoka kwake. Ma-deal kama haya ni lazima wapiga kelele wote watangiziwe.
lamaana tulitegemee kwa mafisadi ya ccm na wapumbavu wao mliogeuzwa misukule.
 
Weka ushabiki wa kivyama pembeni tumia akili Yako kutafakari hoja
Tundu Lissu na CCM wote wanaona ni sawa bandari wapewe hao jamaa wa Dubai. Mimi sikubaliani nao hata kidogo. Ushabiki nimeonyesha wapi?
 
Yuko huko wapi? Yuko Bungeni? We Pimbi kweli, yaani unashindwa kudili na walioko bungeni una Dili na Lisu? Lisu ni Mwanasheria wa Serikali? Lisu ni mbunge? Acha upoyoyo wewe
But Lissu supported what happened. Au hujamsikiliza? Hapingi hata kidogo uuzwaji wa bandari kwa Dubai.Nadhani wewe ndiye pimbi,
 
Lisu alihongwa na Accacia hana Uzalendo wowote yule.
Na hiyo ni baada ya kuona ZZK alivuta alipoteuliwa kwenye kamati ya madini na JK. Lissu kagundua kumbe kuna chemchemu mahali naye akajikita pale. Lissu aliyekuwa ameandika makala kuonyesha Waafrika tunavyoibiwa kwenye makanikia ghafla akafanya U-turn akawa mtetezi mkuu wa wazungu wapewe makinikia yao eti ni haki yao. Halafu watu wanasema eti Lissu ni mtetezi wetu.
 
Mbona mbaba lisu hataki kumwagika kinaga ubaga! ama ndio wale wale wa kulamba masega!!
Kweli nimeamini kila kitu kinauzwa hapa duniani issue inakuwa ni bei tu
 
Lissu ameongea kwa upole sana. Kweli umeongea point. Kuwekwa sheria inayotaka migogoro ya kimkataba iamuliwe nje ya nchi tunapiga kelele, JPM kaondoa hiyo, badala Lissu asifie hilo jambo kwamba ni la kizalendo, anaamua kuona kwamba tulifanya uamuzi wa ajabu (kwa sababu tu anamchukia Magufuli) anaona kurudisha ile utaratibu wa zamani ndiyo sawa! Uwendawazimu gani huu
Ana price tag huyo hakuna kitu hapo.
 
Anaanza mdogo mdogo kujisafisha baada ya kuchemka....
si ukute ilikuwa mpango wa mbowe ili kutupoteza upepo tuamini wanagombana kumbe hamna kitu. walikuwa wanapima upepo. ninachomwomba Tundu Lisu, 2025 wame na hoja za maana na juu ya Tanganyika.
 
Bravo Lissu kwa ufafanuzi mzuri na hujawahi kutuangusha watanzania, Lakini bado tuna wasiwasi mkubwa, hivi sisi watanzania kwa ujumla wetu million 80, tumeshindwa kuwachagua wenzetu kama 150 wakatusaidia kuiongoza hii bandari kwa ufanisi? Kama hatuna hao wenzetu kiasi cha kufikia hatua hii leo hii 2023 baada ya miaka 62 ya uhuru wetu basi nina wasiwasi mkubwa huenda huu uhuru wetu haukuwa wa kweli.
 
Kwahiyo Tundu Lissu amekuwa misinformed kuhusu hii sheria.

..Magufuli na Kabudi walidai tutakuwa tunagawana faida na Barrick 50/50.

..Je, umewahi kusikia tukipewa fedha zinazotokana faida hiyo?

..Pia kile kishika uchumba cha usd 300 mil, Magufuli, Kabudi, na Barrick, walikubaliana tulipwe kidogo kidogo ndani ya miaka 7.

..Bunge lilipitisha sheria kuwa migogoro na wawekezaji itaamuliwa na mahakama za Tanzania. Makubaliano ya Magufuli, Kabudi, na Barrick, yanaelekeza migogoro kutatuliwa na mahakama za nje.
 
Akijibu maswali ya wananchi kuhusiana na mkataba huu. Lissu amesema kuwa huu ni mkataba mbaya zaidi tuliowahi kuingia ukilinganisha na mingine yote.

1. Anasema ubaya wa mktaba huu unaenda kubadili sheria za nchi. Akimaanisha kuwa hakuna sheria yeyote nchini ya masuala ya uendeshaji wa bandari itakayotungwa siku na miaka ijayo bila kwanza kuhakikisha haiendi kinyume na mkataba huu wa bandari kati yetu na Dubai. Anasema kwa muktadha huo , uhuru wetu wa kumaneuvre ktk ishu za bandari ndo umeshapigwa PINI na mkataba huu

2. Pili anasema mkataba wenyewe unaenda kinyume cha katiba. Anasema kwa mujibu wa katiba Bandari ni jambo la muungano. Anahoji kdma bandari ni jambo la muungano iweje DP world ihusike na bandari za Tanganyika huku za Zanzibar zikiwa huru nje ya Scope ya mkataba huu. Anauliza utakuwaje na sheria mbili tofauti kwa jambo lilelile la muungano.

3. Pia ameonya kuhusu Kampuni hiyo ya DP kuingilia siasa za Tanzania hasa uchaguzi mkuu, akijibu swali la mwananchi, amesema kuwa uzoefu wake ni makampuni haya ya uwekezaji kufanya michezo hiyo, akatolea mfano kwenye uchaguzi wa nwaka 2005, ambao licha ya CCM kuiba hela za EPA zaidi ya dola milioni 100 ili kuitumia kwenye kampeni za uchaguzi, Makampuni ya Madini yalichangia CCM zaidi ya dola milioni 30. Akaonya kuwa hata hii ksmpuni ya Dubai nayo inaweza kuendelea na mchezo huu maana ili ifanikiwe zaidi katika mkataba huu wa kuuza nchi, lazima CCM iendelee kubaki madarakani, maana serikali yake ndiyo iliyowauzia bandari kiubwete.

Unaweza kumsikiliza kiurefu hapa:

 
Back
Top Bottom