Dezoizo52
JF-Expert Member
- Jan 30, 2017
- 528
- 1,070
Kwa upande wangu niipongeze serikali ya mh Rais Samia kwa kumtafuta mbia kuiendesha bandari.Wazawa walikuwa wanaendesha kwa kufanya usimamizi ila wizi ulikithiri na mapato mengi yaliishia kwa walafi na mafisadi na kuifanya bandari ya Dar es salaam isiyo na ufanisi tena ikizidiwa na mombasa port wakati sisi kama nchi tunahudumia nchi nyingi kuliko Kenya.
Kongole kwa hatua hii ya kuwapa DP waiendeshe ili mapato yapatikane kwa manufaa ya nchi.
Kongole kwa hatua hii ya kuwapa DP waiendeshe ili mapato yapatikane kwa manufaa ya nchi.