Tundu Lissu: Mkataba wa bandari ni suala nyeti sana

Tundu Lissu: Mkataba wa bandari ni suala nyeti sana

Lissu ameongea kwa upole sana. Kweli umeongea point. Kuwekwa sheria inayotaka migogoro ya kimkataba iamuliwe nje ya nchi tunapiga kelele, JPM kaondoa hiyo, badala Lissu asifie hilo jambo kwamba ni la kizalendo, anaamua kuona kwamba tulifanya uamuzi wa ajabu (kwa sababu tu anamchukia Magufuli) anaona kurudisha ile utaratibu wa zamani ndiyo sawa! Uwendawazimu gani huu
Ndio ameona aibu kumsifia
 
Huko Club house ndo wapi?Any way mkataba ukifanikishwa na Rostam Aziz fisadi Papa ,ujue hapo nchi imepigwa.
Dili kama hizi akosi

Maana pua yake inanusa harufu ya ankala tu si vinginevyo
 
Nini kinajadiliwa Bungeni wakati Mkataba ushasainiwa ?

Mbona twachezeana shere
IMG_20230607_213248.jpg

Nahisi mambo yalianzia hapa
 
Tatizo Tanzania hatuna mahakama.

Kama marehemu angekuwa mzalendo wa kweli, kwanza angehakikisha nchi inakuwa na mahakama. Bahati mbaya yeye mwenyewe akashiriki kikamilifu kuua mahakama.

Kama huna mahakama zilzo huru, hiyo migogoro itapelekwa kwenye hii idara ya Rais? Marehemu mwenyewe alishindwa kuwashawishi Barrick kukubali migogoro kumalizwa nchini, Kabudi wake akaridhia migogoro yote kati ya Serikali na Barrick itamalizwa na mahakama ya Singapore, na haitaruhusuwa kukata rufaa.
Mzalendo wa kweli ni muuza bandari na loliondo tusimamie hapo
 
Huo mkataba unanuka rushwa.

Ni mkataba gani usio na kikomo??

Hakuna kitu kama hiki duniani.

Ni kama vile tumeamua kuifanya bandari kama sehemu ya Dubai.

Chief Mangungo part two hii.
Kwenye hili hata USSR imemtosa Maza.
 
Kwa upande wangu niipongeze serikali ya mh Rais Samia kwa kumtafuta mbia kuiendesha bandari.Wazawa walikuwa wanaendesha kwa kufanya usimamizi ila wizi ulikithiri na mapato mengi yaliishia kwa walafi na mafisadi na kuifanya bandari ya Dar es salaam isiyo na ufanisi tena ikizidiwa na mombasa port wakati sisi kama nchi tunahudumia nchi nyingi kuliko Kenya.
Kongole kwa hatua hii ya kuwapa DP waiendeshe ili mapato yapatikane kwa manufaa ya nchi.
Wazawa wapo chini ya nani ,KAMA serikali inashindwa kusimamia kisehemu kidogo hivyo wataweza kweli kusimamia ma ma ELITE KAMA HAO DP
 
Tatizo Tanzania hatuna mahakama.

Kama marehemu angekuwa mzalendo wa kweli, kwanza angehakikisha nchi inakuwa na mahakama. Bahati mbaya yeye mwenyewe akashiriki kikamilifu kuua mahakama.

Kama huna mahakama zilzo huru, hiyo migogoro itapelekwa kwenye hii idara ya Rais? Marehemu mwenyewe alishindwa kuwashawishi Barrick kukubali migogoro kumalizwa nchini, Kabudi wake akaridhia migogoro yote kati ya Serikali na Barrick itamalizwa na mahakama ya Singapore, na haitaruhusuwa kukata rufaa.
Uhuru wa mahakam unaupomaje mbona huko USA nako huwa wanalalamikia pia mahakam zawa
 
Hata huko kwenye madini ilikwishafutwa. Ilikuwa kuwahadaa wajinga.

Mkataba wa Barrick na Serikali unatamka kuwa migogoro itaamliwa na mahakama ya Singapore, na hakuna kukata rufaa, na hata kukiwa na mgogoro, Serikali ni marufuku kusimamisha uzalishaji au exports.
Mh.. umeamua tu kutia chumvi ,kwa kuwa we ni anti jpm ,Singapore wanakitu gani special
 
Umeelewaa lakini au umecoment ili uonekane upo?

Kama una kumbu kumbu vizuri wakati Magufuli anaoambana na wazungu wa madini, Lissu alikua akiktahadharisha kwamba kinachotakiwa kufanyika kwanza Ni kubadili Sheria zetu ili kucomply na uvunjaji wa mikataba kwani tukivunja mikataba bila kufumua sheria zetu tushtakiwa!

Na kwa kumbukumbu sahihi Ni kwamba Sheria ilipelekwa Bungeni kwa hati ya dharura na haikuangalia mikataba yote isipokua madini tu!

Na ndicho kilichoikoa Tanzania kushtakiwa MIGA, na sio kuhamisha goli!

Laiti Kama angekua na utulivu Magufuli akaangalia Sheria za mikataba yote tysingekutana na haya ya Sasa.

Sasa kwa sababu mchakato huu wa bandari ulianza muda mrefu kimya kimya wakati mama anafanya ziara dubai, na kwa sababu sisi sio wa kuhoji Ni wapiga zumari tu, anachosema Tundu Lisu Ni kwamba mkataba unaooenda Bungeni Ni kwamba mkataba unaenda kulazimisha Bunge kubadili Sheria zetu ili kukidhi matakwa ya mkataba Jambo ambalo Ni hatari Sana!


Badala ya wewe kuungana na wazalendo na watu wenye mapenzi mema na nchi hii unaacha kupambana na adui halisi unahamisha goli unaaza kumshambulia mtu. Hatari sana
Siku ikulu ikitaka kuuzwa utakuja kulalamika kwa nini jpm sheria hazikujumuisha ikulu badala yake ikaegemea kwemye madini tu .
 
Nini kinajadiliwa Bungeni wakati Mkataba ushasainiwa ?

Mbona twachezeana shere
Wabunge waridhie kupitisha mabadiliko ya sheria za Tanzania kwenye mikataba ili kukidhi mahitaji ya mkataba wa bandari kisheria! Yani Sheria zetu zibadilishwe ili kuaccomodate mkataba!

Bunge halina mandate ya kukataa au kubadilisha vipengele vya mkataba Ila kubadilisha Sheria zetu Kama ilivyo utaratibu!

Na mabadiliko hayo ya Sheria yameshafanyika kupitia vyombo husika kwa hiyo linakuja Bungeni Kama muswada ili kujadiliwa na kupitishwa na na Bunge.


Kinachofanyika Sasa Ni semina kwa wabunge na mlungula kuwaelemisha juu ya faida za mkataba huo ili wasiupinge au kwenda kinyume na mapendekezo ya mabadiliko ya Sheria ili kuaccomodate huo mkataba!
Na wabunge hao baada ya kugonga meza watakuja majimboni kutuelemisha wadanganyika juu ya umuhimu wa huo mkataba kwa maendeleo ya nchi.

Kumbuka wabunge Ni wa chama kimoja na Mwenyekiti wa Chama ambaye Ni Rais amekasimisha madaraka ya kusaini nankuidhinisha mkataba huo kwa Waziri Mabarawa.

Hivyo Basi mbunge yeyote atakayepinga au kuonesha kutokubaliana na kilichomo katika mkataba huo ajue anaweka ubunge wake rehani kwenye uchaguzi ujao..
Na kwakua akili za wabunge wetu zinawaza uchaguzi tu na sio maendeleo ya watanzania hawtakaua tayari kutofautiana na Mwenyekiti wa Chama pamoja na waNEC ambao miongobi mwao Kuna mawaziri ambao walikaa kwenye vikao vya Baraza kujadili mkataba huo.

Na kwa nguvu walizo nazowaNEC Ni pamoja na kuamua Nani awe mbunge na Nani asiwe mbunge.
Ni mbunge GANI ataoinga bila kusema naunga mkono hoja?
 
Nini kinajadiliwa Bungeni wakati Mkataba ushasainiwa ?

Mbona twachezeana shere
Wanafanya ratification. Mkataba una vipengele vinavyopingana na sheria za nchi hivyo wanahalalisha hilo kupitia bunge. Ndio hiyo ratification
 
Wanafanya ratification. Mkataba una vipengele vinavyopingana na sheria za nchi hivyo wanahalalisha hilo kupitia bunge. Ndio hiyo ratification
Nimemweleza vizuri hapo kuwa parliament inaenda kupitisha Sheria itakayoacoomodate mkataba wa milele na ambao hata ukikiuka international laws hauvunjiki!
 
Huo mkataba unanuka rushwa.

Ni mkataba gani usio na kikomo??

Hakuna kitu kama hiki duniani.

Ni kama vile tumeamua kuifanya bandari kama sehemu ya Dubai.

Chief Mangungo part two hii.
ukiona wabunge na serikali unakomalia mkataba fulani ujue ndani yake kuna rushwa na tayari watu wamelainishwa,lkn Mungu ni mjuvi watakuja kuumbuliwa tu na kuburuzwa mahakamani.tushirikiane kuipigania katiba ili wala rushwa siku moja tuone wakilambwa shaba hadharani.
 
Back
Top Bottom