Tundu Lissu: Mkataba wa bandari ni suala nyeti sana

Mikataba ilibadilishwa haikubadilishwa
Ilibadikishwa according kwa previous agreement, fungua akili yako kijana. Huez kurupuka vunja mkataba na kuubadili kama mkataba husika umezuia. Ww jiulize kwann ndege zetu zimekamatwa san huko nje? Au CDM ndio wamesababisha!!
 
Ilibadikishwa according kwa previous agreement, fungua akili yako kijana. Huez kurupuka vunja mkataba na kuubadili kama mkataba husika umezuia. Ww jiulize kwann ndege zetu zimekamatwa san huko nje? Au CDM ndio wamesababisha!!
Zimekamatwa na miga
 
 
SA Kalokola: .....Baada ya kusema hayo, hoja yangu ni kwamba IGA ni Mkataba wa kimataifa uliopitia mchakato wa 63[3]e ya KATIBA

Jaji: kwani issue ilikuaje?

SA Kalokola: issue ilikuwa whether IGA is contract

Jaji: wewe umejibu vipi?

SA Kalokola: IGA is international agreement

Wadau: Miguno kidogo.
 
Tatizo la nchi yetu ni sisi wananchi wenyewe. Tuna ujinga wa kipekee sana na ninadhani huu ni mtaji mkubwa sana wa kisiasa. Wanasiasa( Upinzani na Chama Tawala) hawa wanatuelezea masuala tofauti wakilinda mikabala na mitazamo yao mfano mwanasiasa wa Upinzani atakosoa tu au atatafuta makosa wakati yule wa Chama Tawala atasifia.
Wananchi jukumu letu ni kusikiliza "mikabala yote "na kupima kuangalia maslahi mapana ya umma. Tatizo letu na sisi tunaingia kwenye ushabiki wa kizamani kuaminishwa kabla ya kupima. Tuna uelewa mdogo sana wa mambo.
 
Wamejitahidi kuleta Mechi za Simba na Yanga mara Azamu mwisho zimegoma.
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…