Ndugai alisema na hilo halina mjadala, Magufuli amekuwa na shauku ya kukatalia madarakani na ndio maana hakupinga kauli hiyo ya Ndugai. That's the fact.Kwanini kule chadema kila anayegombea uenyekiti anafukuzwa au kuhama au kufariki? Kwanini asianze ndani ya chama chake kuleta huo Uhuru, demokrasia na ukomo wa uongozi ndo aje atoe shutuma zisizo na ushahidi ambazo ni za kudhania tuu kwamba eti Magufuli atabadilisha katiba aongoze Kama Mbowe.
Aache kuropoka Mambo ya kubuni.
Na sisi, tuko wengi. Hatutaki udikteta katika nchi hii.Wewe na Nani Sasa 🤔!
Mbona Raisi John Pombe Magufuli mara kwa mara amekataa kata kata ombi au hoja hadharani kuwa hatasongeza hata dakika mmoja .Labda Lissu umelishwa porojo zisizo na mashiko wakati ukiwa huko kwa mtawala wazamani wa Congo LepoldivilleMgombea Uraisi kupitia Chama cha Chadema ndugu Tundu Lissu, amewaasa wananchi wa Bagamoyo kuwa, Magufuli ana lengo la kubadili ukomo wa vipindi vya utawala na ndiyo maana Hilo Suala lilizungumzwa bungeni na Spika Ndugai.
Lissu akawaambia wananchi kuwa, Ndugai asingeweza yeye binafsi kulizungumza hilo bila kufahamu kinachoendelea kwenye mipango ya Magufuli.
Lissu akawaambia wananchi kuwa, wafikirie hali ngumu za maisha, ukatili na uonevu uliotokea katika kipindi hiki cha miaka mitano halafu eti Magufuli aongezewe miaka mingine.
Lissu amesema, serikali ya Chadema itakuwa ni serikali ya Haki, Uhuru na Maendeleo. Itakuwa serikali itakayoheshimu watu tofauti na hii ya Magufuli yenye kudhalilisha watu hususan wanawake.
Lissu akasema kujenga miundo mbinu siyo hoja ya kunyima haki za watu kama vile nyongeza za mishahara zilizoko kisheria. Akasema kuwa hata mkooni alijenga reli, lakini hiyo haikuwa sababu ya kwa nini Tusimpinge, Akasema kuwa tulimpinga mkoloni kwa sababu hakuwa anatutendea HAKI.
Lissu akasema kuwa Nyerere alijenga reli ya TAZARA, tena ndefu zaidi lakini hakudhulumu stahiki za wafanyakazi
Kwa taarifa zaidi juu ya hoja nzito za Lissu tazama video hii
Watu kama lissu na chadema ndio nchi zingine wanasababisha ukosefu wa amani vita na mauaji. Tumshukuru mungu kwa umoja wetu imara japo tunapita majaribio magumu ili kuwakosesha adui zetu sababu ya kutuingilia uhuru wetu.Mgombea Urais kupitia Chama cha Chadema ndugu Tundu Lissu, amewaasa wananchi wa Bagamoyo kuwa, Magufuli ana lengo la kubadili ukomo wa vipindi vya utawala na ndiyo maana Hilo Suala lilizungumzwa bungeni na Spika Ndugai.
Lissu akawaambia wananchi kuwa, Ndugai asingeweza yeye binafsi kulizungumza hilo bila kufahamu kinachoendelea kwenye mipango ya Magufuli.
Lissu akawaambia wananchi kuwa, wafikirie hali ngumu za maisha, ukatili na uonevu uliotokea katika kipindi hiki cha miaka mitano halafu eti Magufuli aongezewe miaka mingine.
Lissu amesema, serikali ya Chadema itakuwa ni Serikali ya Haki, Uhuru na Maendeleo. Itakuwa serikali itakayoheshimu watu tofauti na hii ya Magufuli yenye kudhalilisha watu hususan wanawake.
Lissu akasema kujenga miundo mbinu siyo hoja ya kunyima haki za watu kama vile nyongeza za mishahara zilizoko kisheria. Akasema kuwa hata mkooni alijenga reli, lakini hiyo haikuwa sababu ya kwa nini Tusimpinge, Akasema kuwa tulimpinga mkoloni kwa sababu hakuwa anatutendea HAKI.
Lissu akasema kuwa Nyerere alijenga reli ya TAZARA, tena ndefu zaidi lakini hakudhulumu stahiki za wafanyakazi
Kwa taarifa zaidi juu ya hoja nzito za Lissu tazama video hii
Wapo wengi tu waliowahi kujifariji Kama wewe kuwa mpo wengi,ila walivyokamatwa, hakuna hata mmoja aliejitokeza kupambana kwaajili yao,zaidi ya kulalamika tu huku mitandaoni bila vitendo.Hebu jaribu kufikiria mtu Kama Mdude , Kuna yeyote ambae bado anamzungumzia humu🤔?Na sisi, tuko wengi. Hatutaki udikteta katika nchi hii.
Eti kwamba anaiamini zaidi kauli ya ndugai kuliko ya magufuli mwenyewe ambaye amekuwa akisisitiza kuiheshimu katiba katika kuongoza..TOO MUCH LIES
Halafu wanalalamika kuwa vyombo vya habari hawaandiki habari zao
Jana tu walitoa press release kuwa TCAA imezuia Helukopta kuruka kwa sababu zisizoeleweka!!! Nashukuru press waka wa ignore wakijua hawako reliable taarifa zao wakaenda TCAA wenyewe wakaambiwa rubani mrusha helikopta kapita umri wa kisheria na hilo ndilo likatangazwa TV zote lile la uongo likatupiliwa Mbali
Kifupi chadema wamepoteza Truth Reliability kwenye media tofauti na enzi za Dr Slaa.Alikuwa akiongea anashusha ushahidi wa ukweli na uhakika usio na chembe ya shaka
Kiasi kuwa media policies hazihangaiki my counter check wanajua kuwa alichotamka kiko sahihi
Lisu sio presidential material anaongea vitu vya kuokoteza na kutunga kama mswahili tu wa mtaani
Ghadafi aliondolewa kwa uchochezi na msaada wa "mabeberu" sasa na nyinyi mtachochewa na kusaidiwa na "beberu"Ghadafi alipindua nchi, wa kwetu aliingia kidemokrasia baada ya wenzie kuheshimu vipindi vya ukomo na yeye aheshimu vipindi vya ukomo
Asitulazimishie tuje tumtoe kwa njia ambazo walibya walivyomtoa Ghadafi
Waulize baada ya kumpasua sasa hivi wanaishijeLibya.Alikuwa mbaguzi alipendelea watu wa kabila lake tu ndiyo aliwapa maisha mazuri ndiyo maana walimpasua. Madikteta siyo wa kuwachekea hata kidogo
Leo hii wanafia tu bahari ya mediterrania wakikimbia njaa na maisha magumu libya.Gadafi alikua dikteta lakin libya waliishi kwa raha
Amesikia sana ila anafanya makusudi ndio maana watu na vyombo vya habari vinazidi kumpuuza..hivi unaweza kuandika au kurusha maneno ya udaku kama hayo..Mbona Raisi John Pombe Magufuli mara kwa mara amekataa kata kata ombi au hoja hadharani kuwa hatasongeza hata dakika mmoja .Labda Lissu umelishwa porojo zisizo na mashiko wakati ukiwa huko kwa mtawala wazamani wa Congo Lepoldiville
Umechora choraKwa style hii ya kuongea ongea vitu visivyokua na uthibitisho wala uhakika na kulalamikia kila kinachotendeka au kutokea kwamba wanaonewa ni wazi upinzani wa Chadema hauwezi wafikisha popote.
Au niseme kwa hayo Chadema wanaonekana kutokukomaa kisiasa, hawana ukomavu kwenye uongozi wala utendaji. Hawawezi kusimamia kitu wanachokiamini wao wenyewe na kukitekeleza, wanatumia kauli za kijanjajanja na kubadilisha maneno pamoja na kuwajaza wafuasi wao hisia za hofu katika kufanya maamuzi yanahusu maslahi ya taifa.
Ni dalili za kibaraka kuishiwa sera, na ataongea porojo nyingi kipindi chote kilichobakiMgombea Urais kupitia Chama cha Chadema ndugu Tundu Lissu, amewaasa wananchi wa Bagamoyo kuwa, Magufuli ana lengo la kubadili ukomo wa vipindi vya utawala na ndiyo maana Hilo Suala lilizungumzwa bungeni na Spika Ndugai.
Lissu akawaambia wananchi kuwa, Ndugai asingeweza yeye binafsi kulizungumza hilo bila kufahamu kinachoendelea kwenye mipango ya Magufuli.
Lissu akawaambia wananchi kuwa, wafikirie hali ngumu za maisha, ukatili na uonevu uliotokea katika kipindi hiki cha miaka mitano halafu eti Magufuli aongezewe miaka mingine.
Lissu amesema, serikali ya Chadema itakuwa ni Serikali ya Haki, Uhuru na Maendeleo. Itakuwa serikali itakayoheshimu watu tofauti na hii ya Magufuli yenye kudhalilisha watu hususan wanawake.
Lissu akasema kujenga miundo mbinu siyo hoja ya kunyima haki za watu kama vile nyongeza za mishahara zilizoko kisheria. Akasema kuwa hata mkooni alijenga reli, lakini hiyo haikuwa sababu ya kwa nini Tusimpinge, Akasema kuwa tulimpinga mkoloni kwa sababu hakuwa anatutendea HAKI.
Lissu akasema kuwa Nyerere alijenga reli ya TAZARA, tena ndefu zaidi lakini hakudhulumu stahiki za wafanyakazi
Kwa taarifa zaidi juu ya hoja nzito za Lissu tazama video hii
Ya msingi wanayompangia akaongee sio anayoongea akifika jukwaani..kiasili jamaa ni mbishi na dikteta..anamuona kila mtu hajui kitu..Coming from a ‘pathological liar’ halafu mbona viongozi wajuu wa CDM hawapo nae kwa sana au washamshtukia kuna kitu hakiko sawa upstairs.