Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Unaweza kusema mengine yote lakini tukubaliane tu kuwa, Mwl. Nyerere hakuwa mtu wa kawaida. Historia inabainisha hivyo na wala siyo yeye anayebainisha kwenye historia. Think bigger!.

Mkuu umenena vema sana. Pili, kwa muumini yeyote wa dini atakubaliana na mimi kuwa hakuna 'roll modal' wa dini yeyote anayekubalika bila kuhojiwa na upande usiomkubali. Mathalani, wanaomwamini Yesu Kristo kuwa ni Mungu na Mwokozi inapingwa vikali na 'makafiri' (asiyeamini) na pia wanaoamini kuwa mtume Mohamad SAW ni 'roll moda'l wao pia wanapingwa vikali na 'makafiri' na hata ukiwazungumzia wale wanaoamini kuwa 'ngombe' ndio 'roll modal' wao pia hawaeleweki na baadhi ya makundi. Kwa kusema hivyo maana yangu ni kuwa Nyerere yeye ana nini cha zaidi hadi akubaliwe na watu wote kitu ambacho hao the 'great' modals walikuwa nacho zaidi yake? This means simshangai Tundu Lissu kwa hoja zake. Nionavyo mimi, tuko hapa tulipo (kwenye tope) kwa sababu kuu mbili ambazo ni kukosekana kwa uadilifu na uwajibikaji! Kwa kukosekana kwa mambo hayo kumepelekea watu kwa nafasi mbalimbali kufanya wapendavyo huku wengine tukibaki kuangalia tukiwa hatuna cha kuwafanya au la kufanya! Kwenye hii katiba tarajiwa kama haya hayatawekewa tofauti (yaume na kuadabisha) hata zije serikali saba, hakutakuwa na jipya bali ni wigo mpya wa ulaji kwa wale ambao hawakuwa na nafasi kabla! Ushauri wangu kwa kina Tundu Lissu na wabunge wote wa bunge maalum la katiba, sisitizeni viwepo vipengele vigumu sana vya kusimamia uadilifu na uwajibikaji! Else ni kuongezeana ulaji tu kama zamani (business as usual)!
 


mwandishi wa huo upuuzi nani?
 
Nyerere kazowea vya kunyonga. Kwanini kamfungia Aboud Jumbe, Mjimwema?
 

Nyerere alitufundisha woga. Ona jmaa huyo uliyemjibu alivyo mwoga! Definitely atakuwa CCM
 

Alichosema LISU ni UONGO? tuanzie hapo kwanza,,,!!
 
Last edited by a moderator:
Nyerere: niliwashawishi wakenya na waganda tuingie kwenye federation (shirikisho?) la Afrika Mashariki kwamba ndani ya federation kutapunguza ukabila ndani ya nchi zao.
 
Ilikwisha semwa na watukuka. "HUWEZI KUWADANGANYA WATU WOTE SIKU ZOTE" watatokea wenye akili isiyokubali kudanganywa watasema au kuuanika "UONGO HUO." Akina Wasira na Mwigulu nao waje na references zavkukanusha hoja ya Lisu.
 

Inakuwa tofauti kwako kwa sababu anayoyaongea Tundu Lisu ni mwiba kwa wale mliozoea kuishi maisha ya kinafiki nafiki.
 
Naona unatoa darsa murua.
 
mama foxy we we si Nazi wa magamba??
imekuaje Leo unamtusi muasisi wa chama Chetu????

Sikuanza leo kusema ukweli, tatizo tukisema ukweli mnasema matusi, nyie ndio wale mliozowea "kuishi kwa uongo hawawezi kusema kweli".
 
siku zote Tundu Lisu ni mlopokaji na asieweza kudhibiti hisia zake anaposhangiliwa anaondoa kabisa hadhi ya upinzani nchini. Na hili ndio tatiizo la upinzani, hawa jamaa hawana uzalendo, heshma wala miiko.

Alichosema LISU ni Uongo? tuanzie hapo kwanza,,,!
 

Jumbe alikuwa si Mzanzibari?

Wolfgang Dourado alikuwa si Mzanzibari?

Tundu Lissu anasema wote hao walipohoji kuhusu muungano Nyerere aliwaweka kizuizini.

Njoo na lingine.
 
Na wewe muongo, mzandiki mfitini na mnafiki mkubwa, Sitta aliomba kuonana na viongozi wa dini Pengo na Mufti Simba

Hujamsikia Pengo anasema anataka Serikali mbili? sasa jiulize hayo ni maoni ya nani wakati yeye Mkuu wa Kanisa Katoliki hapa kwetu. Ukishapata jibu, jiulize, Nyerere alikuwa kanisa lipi? na serikali mbili ni nani aliziasisi na kuiuwa Tanganyika?

Ukipata majibu usijiaibishe, kaa nayo moyoni tu.
 
Unaweza kusema mengine yote lakini tukubaliane tu kuwa, Mwl. Nyerere hakuwa mtu wa kawaida. Historia inabainisha hivyo na wala siyo yeye anayebainisha kwenye historia. Think bigger!.
Kweli mkuu kwani pale Mwitongo alikuwa anachenza na nyoka.........ajabu sanaaa........
 
Afadhali ya Nyerere ambaye alikiri kuwa wao hawakuwa malaika kwani miaka 24 ya uongozi kuna mambo ya kijinga waliyafanya, alienda mbali zaidi kwa kuasa mbona mnaacha yale mazuri na kufuata yale ya kijinga?...Mimi natamani kumuona alisaini ile hati ya Muungano maana inaonekana ni bonge la mtaalam! Je? Hawezi kushtakiwa kwa mujibu wa sharia? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni! Baada ya JKN sijaona Msomi Mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa kama Tundu Antipasi Maghway Lisu!... Huyu Jamaa ni mwiba Mkali sana kwa walioko Madarakani! Sielewi Kinana et al na uwezo wao wote wanawang'ang'ania watu kama akina Nape, Nchemba na Juliana wanaacha kumshawishi Mtu mwenye mvuto Mkubwa kisiasa pengine kuliko wote Africa kwa sasa... I think Ikulu Should do something for Lisu! anatakiwa arudishwe kundini kwa gharama yoyote ile... I wonder strategist wa CCM wamelala wapi wanashindwa kuona mlinganyo mdogo kama huu ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…