CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Hana akili hata kiduchuHivi mtu anawezaje kuandika maelezo marefu hivi yakiwa ni pumba?
Inawezekanaje hivi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana akili hata kiduchuHivi mtu anawezaje kuandika maelezo marefu hivi yakiwa ni pumba?
Inawezekanaje hivi?
Ungejuwa haki zako ungekuwa unajidhalilisha namna hii humu JF?Haki zangu nazifahamu,
Napenda kukwambia ukweli usiopenda kuusikia kuwa kwa Sasa Chadema haina Sera Wala ajenda zenye kugusa maisha ya watanzania Ndio sababu ya kupuuzwa na watanzaniaUnapinda mgongo kutunga huu utoto wako ukijua kabisa kuwa ni uongo, inasikitisha sana kwamba na wewe ni chawa wa Samia, upuuzi huu tumeuzoea ukifanywa na wale wapuuzi wa Sukuma Gang. Nimeelewa sababu Samia kakuchunia kwenye mkeka wa UDC na kwa staili hii hata ukatibu kata hupati.
Mimi hapa naeleza ukweli na ungewaona vijana waliokatisha masomo kwa kufukuzwa vyuo kwa sababu ya Chadema ungewaonea huruma Sana na kunichukia chadema Kama ambavyo vijana wengi hawataki hata kusikia habari zake masikioni mwaoUngejuwa haki zako ungekuwa unajidhalilisha namna hii humu JF?
Risasi 16 ,wewe hata fimbo wamechindwa kukupigaYeye mwenyewe hajui haki yake.
Afande mshamaliza kuokoa majeruhi wa ajali Dodoma?Hakuna kijana wa kwenda kwenye mikutano kuangalia makovu huku hajui atakula nini
USSR
Na sasa mbona wamemgeukia Tale na PhD yake, na ujaona huruma kwakeMimi hapa naeleza ukweli na ungewaona vijana waliokatisha masomo kwa kufukuzwa vyuo kwa sababu ya Chadema ungewaonea huruma Sana na kunichukia chadema Kama ambavyo vijana wengi hawataki hata kusikia habari zake masikioni mwao
Wewe kumbe shule ulienda kukariri tu,yaani hujui unasimamia wapi. Itoshe kukuambia umekosa kote bara na pwani.Mimi hapa naeleza ukweli na ungewaona vijana waliokatisha masomo kwa kufukuzwa vyuo kwa sababu ya Chadema ungewaonea huruma Sana na kunichukia chadema Kama ambavyo vijana wengi hawataki hata kusikia habari zake masikioni mwao
Hiyo namba hapo mwisho huwa mnaiweka ili mpigiwe na nani ?Ndugu zangu watanzania,
Tegemeo la chadema miaka yote ilikuwa Ni kwa kundi la vijana,Hakika na kwa hakika vijana wa nchi hii walitumika na kutumikishwa Sana na chadema,wazazi wengi Sana wamebaki wanalia machozi kila Siku baada ya watoto wao na vijana wao kufukuzwa vyuoni kwa sababu ya utovu wa Nidhamu na mavurugu yaliyokuwa yanasababishwa na viongozi wa chadema walio kuwa wanawadanagnya vijana na mwisho wa siku wanaishia kufukuzwa vyuo.
Vijana wengi wamekatisha ndoto zao,wamejeruhiwa,wamevunjwa miguu na kuteguliwa viono kwa sababu ya Chadema,vijana wengi wamefukuzwa kazi kwa sababu ya Chadema kuwadanganya na kuwaaminisha kuwa watawasaidia kisheria mahakamani na wanakwenda kuchukua nchi na watawapa vyeo,vijana wengi walifirisika na kupoteza mitaji yao kwa sababu ya kuipigania chadema wakiamini kuwa Ni chama Cha ndoto Yao, na kweli ikaonekana ushujaa na uzalendo kwa kijana kuwa Chadema na kuitwa Kamanda na kuvaa magwanda yao
Mwisho wa siku wakati vijana wamepoteza muelekeo na dira ndipo wakaja kugundua na kufahamu ukweli kuwa Chadema Ni chama Cha kilaghai na kikundi Cha wasaka tonge na madaraka hasa ya ubunge na udiwani,wakaona kuwa viongozi wao wanawachuuza tu na kuwa hawana Uzalendo wowote juu ya nchi yetu.
Wakagundua kuwa Ni CCM pekee ndio chama chenye kuwajali kuwasikiliza kuwapa kipaombele katika mikakati ya kiuchumi,kuwawezesha na kuwakwamua kiuchumi na kuwaendeleza katika juhudi zao, wakagundua ni CCM pekee yenye uchungu na Taifa hili na ambayo imeonyesha ushupavu na umadhubuti katika kuliongoza Taifa letu,Ndio sababu vijana wengi kuanza kurejea CCM na kuchukua kadi za CCM chama ambacho kina Sera na ajenda zinazogusa maisha Yao.
Baada ya Chadema kuanza mikutano yake na kupewa majibu ya kukataliwa na watanzania hasa vijana walio kuwa Tegemeo kwao wamebaki wamekata Tamaa Sana,wamekata pumzi na nguvu za Kuendelea na mikutano Yao,,hawaelewi Ni vipi watasonga mbele wakiwa wanaonekana Kama wasaliti wa Taifa letu.
Tundu Lisu amebaki anaeleza habari zile zile za miaka yote tangia amekwenda ulaya, siyo yeye Wala chadema wenye ushawishi wa kisera na kiajenda kwa watanzania, Hakuna wanachokieleza kinachoweza mshawishi Bibi wa kule kijijini kuwaunga mkono,hawana Sera ya kumgusa mkulima kuweza kuwaunga mkono, Hawana Sera juu ya uzalishaji wa ajira kwa vijana, Hawana Sera Wala ajenda juuu ya uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla kama afanyavyo Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani.
Kimebaki Ni chama Cha kuokoteza vihabari,Ni chama kilichokosa Safu ya uongozi yenye kuleta matumaini hata kwa wafuasi wake,ndio maana ya kuona kila mmoja akiwa na msimamo wake,Ni chama ambacho hakina mizizi katika mioyo ya watanzania, Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kuipigania chadema Hadi kuhatarisha maisha yake kwa Sasa ,hayupo mtanzania wa namna hiyo, maana kila mmoja ameshatambua kuwa Chadema Ni kundi la wasaka tonge tu
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
Kwa hiyo sababu yako kuu ya kujizima data ni nini ?Haki zangu nazifahamu,
Ha ha Mie hata sijasoma nilivyoona tu Lucas....Hivi mtu anawezaje kuandika maelezo marefu hivi yakiwa ni pumba?
Inawezekanaje hivi?
Unataka ulishwe? Wewe ni ke au me? Olewa basi.Hakuna kijana wa kwenda kwenye mikutano kuangalia makovu huku hajui atakula nini
USSR
Hamna mkulima asie na akili kama wewe unatudhalilisha wakulima kama vipi njoo uwe konda kwenye matrekta yangu shamba, msimu ndio huu.Nimeridhika na kilimo
Tii Sheria bila shuruti ,hakuna Serikali linaloweza kuwaacha vijana wakawa wanafanya vurugu na uharibifu wa Mali za watu mitaani bila kuchukua hatua Kali za kudhibiti vitendo hivyo vya kihuni katika kurejesha amani mitaaniMleta post wewe ni shida Kama unakiri vijana wamevunjwa miguu tambua tatizo ni ccm ambayo haipendi watu wadai haki
Labda vijana wa ukoo wenu [emoji1787][emoji1787]Mimi hapa naeleza ukweli na ungewaona vijana waliokatisha masomo kwa kufukuzwa vyuo kwa sababu ya Chadema ungewaonea huruma Sana na kunichukia chadema Kama ambavyo vijana wengi hawataki hata kusikia habari zake masikioni mwao
Kwa hiyo Hilo trekta lako umeligeuza kuwa daladalaHamna mkulima asie na akili kama wewe unatudhalilisha wakulima kama vipi njoo uwe konda kwenye matrekta yangu shamba, msimu ndio huu.