Tundu Lissu na CHADEMA wamekata tamaa baada ya kukataliwa na Vijana

Tundu Lissu na CHADEMA wamekata tamaa baada ya kukataliwa na Vijana

Hana watu wa karibu wanaoweza kumsaidia hadi aje kujianika mitandaoni ?
Huyu chawa ana hali mbaya sana. Ukiangalia post zake tangu ameanza uchawa unaona kila siku maudhui ya nyuzi zake yanachuja kwa kasi ya ajabu kielelezo kuwa ameshapata wazimu bado kuokota makopo tu.
 
Hakuna kijana wa kwenda kwenye mikutano kuangalia makovu huku hajui atakula nini

USSR
Tunalipongeza jeshi la polisi Mwanza mjini kudhibiti wahuni wanaojiita wamachinga. RPC kamatia hapohapo kudhibiti sukuma gang wanaotumia wamachinga kuhujumu amani ya nchi.
 
Ndugu zangu watanzania,

Tegemeo la chadema miaka yote ilikuwa Ni kwa kundi la vijana,Hakika na kwa hakika vijana wa nchi hii walitumika na kutumikishwa Sana na chadema,wazazi wengi Sana wamebaki wanalia machozi kila Siku baada ya watoto wao na vijana wao kufukuzwa vyuoni kwa sababu ya utovu wa Nidhamu na mavurugu yaliyokuwa yanasababishwa na viongozi wa chadema walio kuwa wanawadanagnya vijana na mwisho wa siku wanaishia kufukuzwa vyuo.

Vijana wengi wamekatisha ndoto zao,wamejeruhiwa,wamevunjwa miguu na kuteguliwa viono kwa sababu ya Chadema,vijana wengi wamefukuzwa kazi kwa sababu ya Chadema kuwadanganya na kuwaaminisha kuwa watawasaidia kisheria mahakamani na wanakwenda kuchukua nchi na watawapa vyeo,vijana wengi walifirisika na kupoteza mitaji yao kwa sababu ya kuipigania chadema wakiamini kuwa Ni chama Cha ndoto Yao, na kweli ikaonekana ushujaa na uzalendo kwa kijana kuwa Chadema na kuitwa Kamanda na kuvaa magwanda yao

Mwisho wa siku wakati vijana wamepoteza muelekeo na dira ndipo wakaja kugundua na kufahamu ukweli kuwa Chadema Ni chama Cha kilaghai na kikundi Cha wasaka tonge na madaraka hasa ya ubunge na udiwani,wakaona kuwa viongozi wao wanawachuuza tu na kuwa hawana Uzalendo wowote juu ya nchi yetu.

Wakagundua kuwa Ni CCM pekee ndio chama chenye kuwajali kuwasikiliza kuwapa kipaombele katika mikakati ya kiuchumi,kuwawezesha na kuwakwamua kiuchumi na kuwaendeleza katika juhudi zao, wakagundua ni CCM pekee yenye uchungu na Taifa hili na ambayo imeonyesha ushupavu na umadhubuti katika kuliongoza Taifa letu,Ndio sababu vijana wengi kuanza kurejea CCM na kuchukua kadi za CCM chama ambacho kina Sera na ajenda zinazogusa maisha Yao.

Baada ya Chadema kuanza mikutano yake na kupewa majibu ya kukataliwa na watanzania hasa vijana walio kuwa Tegemeo kwao wamebaki wamekata Tamaa Sana,wamekata pumzi na nguvu za Kuendelea na mikutano Yao,,hawaelewi Ni vipi watasonga mbele wakiwa wanaonekana Kama wasaliti wa Taifa letu.

Tundu Lisu amebaki anaeleza habari zile zile za miaka yote tangia amekwenda ulaya, siyo yeye Wala chadema wenye ushawishi wa kisera na kiajenda kwa watanzania, Hakuna wanachokieleza kinachoweza mshawishi Bibi wa kule kijijini kuwaunga mkono,hawana Sera ya kumgusa mkulima kuweza kuwaunga mkono, Hawana Sera juu ya uzalishaji wa ajira kwa vijana, Hawana Sera Wala ajenda juuu ya uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla kama afanyavyo Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani.

Kimebaki Ni chama Cha kuokoteza vihabari,Ni chama kilichokosa Safu ya uongozi yenye kuleta matumaini hata kwa wafuasi wake,ndio maana ya kuona kila mmoja akiwa na msimamo wake,Ni chama ambacho hakina mizizi katika mioyo ya watanzania, Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kuipigania chadema Hadi kuhatarisha maisha yake kwa Sasa ,hayupo mtanzania wa namna hiyo, maana kila mmoja ameshatambua kuwa Chadema Ni kundi la wasaka tonge tu

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Mkakati wa CCM kuhakikisha elimu inayotolewa mashuleni hasa shule za umma haimsaidii kijana kujitegemea na kupata taaluma ndiyo mkakati unaokupa nguvu kuja mitabdaoni kujivunia matendo ya vijana waliofeli na wanaoachwa mitaani bila program ya maana kuwakwamua.

Vijana wasomi na wanaojitambua wsnaelewa nafasi na umuhimu wa wapinzani. Hawana mindset za uvccm wabeba mikoba
 
Mkakati wa CCM kuhakikisha elimu inayotolewa mashuleni hasa shule za umma haimsaidii kijana kujitegemea na kupata taaluma ndiyo mkakati unaokupa nguvu kuja mitabdaoni kujivunia matendo ya vijana waliofeli na wanaoachwa mitaani bila program ya maana kuwakwamua.

Vijana wasomi na wanaojitambua wsnaelewa nafasi na umuhimu wa wapinzani. Hawana mindset za uvccm wabeba mikoba
CCM na serikali yake imefanya juhudi kubwa Sana kuwakwamua na kuwawezesha vijana kiuchumi ikiwepo kuwapa mikopo kupitia halmashauri zao
 
Ndugu zangu watanzania,

Tegemeo la chadema miaka yote ilikuwa Ni kwa kundi la vijana,Hakika na kwa hakika vijana wa nchi hii walitumika na kutumikishwa Sana na chadema,wazazi wengi Sana wamebaki wanalia machozi kila Siku baada ya watoto wao na vijana wao kufukuzwa vyuoni kwa sababu ya utovu wa Nidhamu na mavurugu yaliyokuwa yanasababishwa na viongozi wa chadema walio kuwa wanawadanagnya vijana na mwisho wa siku wanaishia kufukuzwa vyuo.

Vijana wengi wamekatisha ndoto zao,wamejeruhiwa,wamevunjwa miguu na kuteguliwa viono kwa sababu ya Chadema,vijana wengi wamefukuzwa kazi kwa sababu ya Chadema kuwadanganya na kuwaaminisha kuwa watawasaidia kisheria mahakamani na wanakwenda kuchukua nchi na watawapa vyeo,vijana wengi walifirisika na kupoteza mitaji yao kwa sababu ya kuipigania chadema wakiamini kuwa Ni chama Cha ndoto Yao, na kweli ikaonekana ushujaa na uzalendo kwa kijana kuwa Chadema na kuitwa Kamanda na kuvaa magwanda yao

Mwisho wa siku wakati vijana wamepoteza muelekeo na dira ndipo wakaja kugundua na kufahamu ukweli kuwa Chadema Ni chama Cha kilaghai na kikundi Cha wasaka tonge na madaraka hasa ya ubunge na udiwani,wakaona kuwa viongozi wao wanawachuuza tu na kuwa hawana Uzalendo wowote juu ya nchi yetu.

Wakagundua kuwa Ni CCM pekee ndio chama chenye kuwajali kuwasikiliza kuwapa kipaombele katika mikakati ya kiuchumi,kuwawezesha na kuwakwamua kiuchumi na kuwaendeleza katika juhudi zao, wakagundua ni CCM pekee yenye uchungu na Taifa hili na ambayo imeonyesha ushupavu na umadhubuti katika kuliongoza Taifa letu,Ndio sababu vijana wengi kuanza kurejea CCM na kuchukua kadi za CCM chama ambacho kina Sera na ajenda zinazogusa maisha Yao.

Baada ya Chadema kuanza mikutano yake na kupewa majibu ya kukataliwa na watanzania hasa vijana walio kuwa Tegemeo kwao wamebaki wamekata Tamaa Sana,wamekata pumzi na nguvu za Kuendelea na mikutano Yao,,hawaelewi Ni vipi watasonga mbele wakiwa wanaonekana Kama wasaliti wa Taifa letu.

Tundu Lisu amebaki anaeleza habari zile zile za miaka yote tangia amekwenda ulaya, siyo yeye Wala chadema wenye ushawishi wa kisera na kiajenda kwa watanzania, Hakuna wanachokieleza kinachoweza mshawishi Bibi wa kule kijijini kuwaunga mkono,hawana Sera ya kumgusa mkulima kuweza kuwaunga mkono, Hawana Sera juu ya uzalishaji wa ajira kwa vijana, Hawana Sera Wala ajenda juuu ya uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla kama afanyavyo Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani.

Kimebaki Ni chama Cha kuokoteza vihabari,Ni chama kilichokosa Safu ya uongozi yenye kuleta matumaini hata kwa wafuasi wake,ndio maana ya kuona kila mmoja akiwa na msimamo wake,Ni chama ambacho hakina mizizi katika mioyo ya watanzania, Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kuipigania chadema Hadi kuhatarisha maisha yake kwa Sasa ,hayupo mtanzania wa namna hiyo, maana kila mmoja ameshatambua kuwa Chadema Ni kundi la wasaka tonge tu

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627

Acha kupiga kelele kajiunge na chawa wenzako.
 
CCM na serikali yake imefanya juhudi kubwa Sana kuwakwamua na kuwawezesha vijana kiuchumi ikiwepo kuwapa mikopo kupitia halmashauri zao
serikali inawapa mitaji vijana ambao kimsingi hawajui ABC za kuwekeza. Is a joke kwa sababu badala na kuanza kuwapa elimu ya uwekezaji inawapa hela.

Unapompa silaha mtu ambaye haujamfundisha nidhamu na kuitunza silaha lengo lako ni kuzalisha vita na uhalifu.

Hebu nipe jina la kiongozi mmoja serikalini kunzia wabunge to top ambaye mwanae anasoma shule za umma.

Nini maana ya kusimamia nchi kama huwezi kula portion unayoiandaa mwenyewe? Mnatuletwa sumu tufe ili muendelee kuishi wenyewe
 
Mzee wa pointless!! Kama usemayo ni kweli basi hakupaswo kukawa na vijana wa aina nchini kwa sababu CCM inapaswa kuhakikisha mambo ya vijana yanakwenda sawa.

Fikiri kidogo mara ZOTE kabla hujaweka bandiko!! Kuwepo kwa vijana uliowasema ni madhaifu ya CCM kuliko CHADEMA.
 
Mzee wa pointless!! Kama usemayo ni kweli basi hakupaswo kukawa na vijana wa aina nchini kwa sababu CCM inapaswa kuhakikisha mambo ya vijana yanakwenda sawa.

Fikiri kidogo mara ZOTE kabla hujaweka bandiko!! Kuwepo kwa vijana uliowasema ni madhaifu ya CCM kuliko CHADEMA.
Serikali ya CCM imeendelea kufanya juhudi na jitihada kubwa Sana za kiuwekezaji kwa vijana Katika kuwawezesha kiuchumi,kwa kuwapatia mikopo kupitia halmashauri zao,kujenga miradi mikubwa inayotoa fursa za ajira pamoja na kuimarisha mazingira ya uwekezaji kuvutia wawekezaji wengi katika lengo la kusaidia kuzalisha ajira nyingi na kuwapatia ujuzi vijana wa kuweza kujiajiri wenyewe katika secta mbalimbali
 
Nyie vijana wageni msinye mkarogwa mkatumia namba za simu mnazoziona humu Jf. Kwa namna yoyote ile, waachieni watumie hao wanaotaka kutunuku PHD.
Na Hilo Ni tego pia [umeona katika Hilo bandiko maneno: vijana wengi walijeruhiwa, walifukuzwa vyuoni, walifilisiwa]

Sio kwa sababu walivunja sheria za nchi hapana! Wakati wa JK na wakati wa Mkapa kwa kiasi Fulani walikubaliana ingawa sio moja kwa moja na katiba hii inayoruhusu mfumo wa vyama vingi ndio Mana hata idadi kubwa ya viongozi (wabunge wa vyama vya upinzani waliweza kuwawakilisha wananchi Bungeni) hata wakina Shibuda, Mzee Mapesa na Mbatia waliwakilisha wananchi Bungeni!

Alipoingia JPM akabadili upepo na kuvifanya vyama vya siasa kuwa na sura ya uhaini! Yeyote aliyeonekana kuwa mrengo usiondena na CCM na Sera zake alihesabiwa Kama mhaini kuanzia ngazi ya familia mpaka Taifa!

Ninaposema tego nina maanisha kwamba huyu Mwashambwa bado ana mentality ya ******** kwa kugain faida kwa Samia, kwanini mmeona hata maramoja akizungumzia mafanikio au achievements za CCM tangu Tanu mpaka hivi Sasa!

Ni Mara chache mtaona anapost kumkumbuka JK kwa sababu anajua mzee bado ana influence kwenye serikali iliyoko madarakani kwa maana hiyo kumponda Ni sawa na kujimaliza.

Hakuna Uzi wowote anaoupandisha unazungumzia mafanikio ya JPM Kwa miaka mitano, kwa sababu gan? Anataka kuwawin maadui wa JPM ndani na nje ya chama kwa expense ya kuiponda CDM na sio chama kingine chochote Cha siasa kwa sababu anajua bado CDM Ni tishio na kina wafuasi wengi.

Hizo number anazoweka Ni tricky sio tu ya kuteuliwa Bali kutafuta sympathy nkwenye Dola pale wasiokubaliana nae watakapompigia simu kumpa makavu wakutane na mkono wa Dola! Apate sifa ya kulinda watawala kwa kuwachoma wasiokubaliana na utawala!

Watch out don't contact this idiot!
 
Back
Top Bottom