Tundu Lissu na CHADEMA wamekata tamaa baada ya kukataliwa na Vijana

Tundu Lissu na CHADEMA wamekata tamaa baada ya kukataliwa na Vijana

Kwa hiyo Hilo trekta lako umeligeuza kuwa daladala
Wewe njoo ufanye kazi kuliko kupoteza muda kutunga magazeti yako ya mipasho

PM iko wazi usione aibu najua umechapika vilivyo njoo haraka kijana uchawa haulipi shauri yako
 
Rais Samia Ni chuma kweli kweli,Ni Rais mzalendo shupavu na madhubuti Ndio maana unaona akiendelea kuungwa mkono na mamillion ya vijana wa kitanzania
Na ndiyo maana amekutambua kuwa wewe uko upande wa Sukuma Gang na kukuacha uendelee kujidhalilisha humu,na kusema kweli wewe ndiye umekata tamaa
 
Na ndiyo maana amekutambua kuwa wewe uko upande wa Sukuma Gang na kukuacha uendelee kujidhalilisha humu,na kusema kweli wewe ndiye umekata tamaa
Utahangaika Sana mwaka huu Hadi ukome wakati mh Rais akiendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya watanzania
 
Ndugu zangu watanzania,

Tegemeo la chadema miaka yote ilikuwa Ni kwa kundi la vijana,Hakika na kwa hakika vijana wa nchi hii walitumika na kutumikishwa Sana na chadema,wazazi wengi Sana wamebaki wanalia machozi kila Siku baada ya watoto wao na vijana wao kufukuzwa vyuoni kwa sababu ya utovu wa Nidhamu na mavurugu yaliyokuwa yanasababishwa na viongozi wa chadema walio kuwa wanawadanagnya vijana na mwisho wa siku wanaishia kufukuzwa vyuo.

Vijana wengi wamekatisha ndoto zao,wamejeruhiwa,wamevunjwa miguu na kuteguliwa viono kwa sababu ya Chadema,vijana wengi wamefukuzwa kazi kwa sababu ya Chadema kuwadanganya na kuwaaminisha kuwa watawasaidia kisheria mahakamani na wanakwenda kuchukua nchi na watawapa vyeo,vijana wengi walifirisika na kupoteza mitaji yao kwa sababu ya kuipigania chadema wakiamini kuwa Ni chama Cha ndoto Yao, na kweli ikaonekana ushujaa na uzalendo kwa kijana kuwa Chadema na kuitwa Kamanda na kuvaa magwanda yao

Mwisho wa siku wakati vijana wamepoteza muelekeo na dira ndipo wakaja kugundua na kufahamu ukweli kuwa Chadema Ni chama Cha kilaghai na kikundi Cha wasaka tonge na madaraka hasa ya ubunge na udiwani,wakaona kuwa viongozi wao wanawachuuza tu na kuwa hawana Uzalendo wowote juu ya nchi yetu.

Wakagundua kuwa Ni CCM pekee ndio chama chenye kuwajali kuwasikiliza kuwapa kipaombele katika mikakati ya kiuchumi,kuwawezesha na kuwakwamua kiuchumi na kuwaendeleza katika juhudi zao, wakagundua ni CCM pekee yenye uchungu na Taifa hili na ambayo imeonyesha ushupavu na umadhubuti katika kuliongoza Taifa letu,Ndio sababu vijana wengi kuanza kurejea CCM na kuchukua kadi za CCM chama ambacho kina Sera na ajenda zinazogusa maisha Yao.

Baada ya Chadema kuanza mikutano yake na kupewa majibu ya kukataliwa na watanzania hasa vijana walio kuwa Tegemeo kwao wamebaki wamekata Tamaa Sana,wamekata pumzi na nguvu za Kuendelea na mikutano Yao,,hawaelewi Ni vipi watasonga mbele wakiwa wanaonekana Kama wasaliti wa Taifa letu.

Tundu Lisu amebaki anaeleza habari zile zile za miaka yote tangia amekwenda ulaya, siyo yeye Wala chadema wenye ushawishi wa kisera na kiajenda kwa watanzania, Hakuna wanachokieleza kinachoweza mshawishi Bibi wa kule kijijini kuwaunga mkono,hawana Sera ya kumgusa mkulima kuweza kuwaunga mkono, Hawana Sera juu ya uzalishaji wa ajira kwa vijana, Hawana Sera Wala ajenda juuu ya uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla kama afanyavyo Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani.

Kimebaki Ni chama Cha kuokoteza vihabari,Ni chama kilichokosa Safu ya uongozi yenye kuleta matumaini hata kwa wafuasi wake,ndio maana ya kuona kila mmoja akiwa na msimamo wake,Ni chama ambacho hakina mizizi katika mioyo ya watanzania, Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kuipigania chadema Hadi kuhatarisha maisha yake kwa Sasa ,hayupo mtanzania wa namna hiyo, maana kila mmoja ameshatambua kuwa Chadema Ni kundi la wasaka tonge tu

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Utakua una vimelea vya upinde wewe
 
Vijana wamepoteza muelekeo kwa sababu ya sera mbovu za chama tawala. Ni CHADEMA ndio haikutoa ajira kwa miaka 6 mfululizo? Ni Lissu ndie aliandaa ile filamu kule sengerema ya kumuuliza kijana umesoma chuo gani na una gpa ya ngapi alafu dogo akajibu ana Degree ya Engineering ya udaktari amesomea Dodoma chuo cha SUA na GPA 32? Eti mtu kamaliza chuo alafu asijue hata GPA ni nini.! Kwa taarifa yako ile ilikua sinema ya kuwadhiaki vijana ili kuwaondolea uhalali wa kudai ajira maana wakifanya ivyo watadhiakiwa wasomi wenyewe hawajui hata GPA.. Halafu mkuu acha hii tabia ya kusemea watu hakuna kundi la vijana, wakulima n.k ambalo lilikutuma uwe unawasemea kama kuipongeza serikali uwe unafanya ivyo wewe mwenyewe individually
 
Hivi mtu anawezaje kuandika maelezo marefu hivi yakiwa ni pumba?

Inawezekanaje hivi?
Umasiki wa elimu, umasikini wa akili na umasikini wa kipato uliopelekea familiya yake ishindwe kumpa lishe bora kipindi cha makuzi yake ambako kumepelekea awe na udumavu wa akili,mwili na roho.

CCM ndiyo inataka Watanzania wawe hivyo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Vijana wamepoteza muelekeo kwa sababu ya sera mbovu za chama tawala. Ni CHADEMA ndio haikutoa ajira kwa miaka 6 mfululizo? Ni Lissu ndie aliandaa ile filamu kule sengerema ya kumuuliza kijana umesoma chuo gani na una gpa ya ngapi alafu dogo akajibu ana Degree ya Engineering ya udaktari amesomea Dodoma chuo cha SUA na GPA 32? Kwa taarifa yako ile ilikua sinema ya kuwadhiaki vijana ili kuwaondolea uhalali wa kudai ajira maana wakifanya ivyo watadhiakiwa wasomi wenyewe hawajui hata GPA.. Halafu mkuu hii tabia ya kusema watu hakuna kundi la vijana, wakulima n.k ambalo lilikutuma uwe unawasemea kama kuipongeza serikali uwe unafanya ivyo wewe mwenyewe individually
Kwa Sasa ukweli ndio huo kuwa vijana wameipuuza chadema
 
Usingeweka namba zako za simu ningekushangaa sana ndugu CHAWA
 
Chawa Lucas Mwashambwa mimi siwezi kuhangaika kwani siishi kwa matumaini ya kuteuliwa kama unavyoishi wewe. Utapata tabu sana kwani umeshajichanganya.
Uchapa kazi wa Rais Samia umewapoteza kabisa chadema kwenye ramani ya siasa za nchi yetu
 
Ndugu zangu watanzania,

Tegemeo la chadema miaka yote ilikuwa Ni kwa kundi la vijana,Hakika na kwa hakika vijana wa nchi hii walitumika na kutumikishwa Sana na chadema,wazazi wengi Sana wamebaki wanalia machozi kila Siku baada ya watoto wao na vijana wao kufukuzwa vyuoni kwa sababu ya utovu wa Nidhamu na mavurugu yaliyokuwa yanasababishwa na viongozi wa chadema walio kuwa wanawadanagnya vijana na mwisho wa siku wanaishia kufukuzwa vyuo.

Vijana wengi wamekatisha ndoto zao,wamejeruhiwa,wamevunjwa miguu na kuteguliwa viono kwa sababu ya Chadema,vijana wengi wamefukuzwa kazi kwa sababu ya Chadema kuwadanganya na kuwaaminisha kuwa watawasaidia kisheria mahakamani na wanakwenda kuchukua nchi na watawapa vyeo,vijana wengi walifirisika na kupoteza mitaji yao kwa sababu ya kuipigania chadema wakiamini kuwa Ni chama Cha ndoto Yao, na kweli ikaonekana ushujaa na uzalendo kwa kijana kuwa Chadema na kuitwa Kamanda na kuvaa magwanda yao

Mwisho wa siku wakati vijana wamepoteza muelekeo na dira ndipo wakaja kugundua na kufahamu ukweli kuwa Chadema Ni chama Cha kilaghai na kikundi Cha wasaka tonge na madaraka hasa ya ubunge na udiwani,wakaona kuwa viongozi wao wanawachuuza tu na kuwa hawana Uzalendo wowote juu ya nchi yetu.

Wakagundua kuwa Ni CCM pekee ndio chama chenye kuwajali kuwasikiliza kuwapa kipaombele katika mikakati ya kiuchumi,kuwawezesha na kuwakwamua kiuchumi na kuwaendeleza katika juhudi zao, wakagundua ni CCM pekee yenye uchungu na Taifa hili na ambayo imeonyesha ushupavu na umadhubuti katika kuliongoza Taifa letu,Ndio sababu vijana wengi kuanza kurejea CCM na kuchukua kadi za CCM chama ambacho kina Sera na ajenda zinazogusa maisha Yao.

Baada ya Chadema kuanza mikutano yake na kupewa majibu ya kukataliwa na watanzania hasa vijana walio kuwa Tegemeo kwao wamebaki wamekata Tamaa Sana,wamekata pumzi na nguvu za Kuendelea na mikutano Yao,,hawaelewi Ni vipi watasonga mbele wakiwa wanaonekana Kama wasaliti wa Taifa letu.

Tundu Lisu amebaki anaeleza habari zile zile za miaka yote tangia amekwenda ulaya, siyo yeye Wala chadema wenye ushawishi wa kisera na kiajenda kwa watanzania, Hakuna wanachokieleza kinachoweza mshawishi Bibi wa kule kijijini kuwaunga mkono,hawana Sera ya kumgusa mkulima kuweza kuwaunga mkono, Hawana Sera juu ya uzalishaji wa ajira kwa vijana, Hawana Sera Wala ajenda juuu ya uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla kama afanyavyo Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani.

Kimebaki Ni chama Cha kuokoteza vihabari,Ni chama kilichokosa Safu ya uongozi yenye kuleta matumaini hata kwa wafuasi wake,ndio maana ya kuona kila mmoja akiwa na msimamo wake,Ni chama ambacho hakina mizizi katika mioyo ya watanzania, Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kuipigania chadema Hadi kuhatarisha maisha yake kwa Sasa ,hayupo mtanzania wa namna hiyo, maana kila mmoja ameshatambua kuwa Chadema Ni kundi la wasaka tonge tu

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627


Haya ndio mambo ya msingi ya kujadili Sisi kama vijana,

Sio kujadili mambo ya chama ambacho hakina madhara yoyote kwenye serikali
 

Attachments

  • Screenshot_20230209-174429_Instagram.jpg
    Screenshot_20230209-174429_Instagram.jpg
    45.8 KB · Views: 2
Napenda kukwambia ukweli usiopenda kuusikia kuwa kwa Sasa Chadema haina Sera Wala ajenda zenye kugusa maisha ya watanzania Ndio sababu ya kupuuzwa na watanzania

Kwa Tanzania kwa sasa hakuna chama chenye Sera wala ajenda za kugusa Maisha ya watu

Wote wako After ufisadi tu

Leo bungeni serikali imeshindwa hata kuleta Muswada wa Bima Kwa wote

Kama unashindwa kutoa Bima Kwa wanainchi wako unawajali Kwa Jambo gani?

Watu wote wanataka miradi ambayo ela inapigwa

Kama mradi ujao wa kufumua Grid ya taifa total ni 1 tilion

Ww endelea kulete ngonjera tu
 
Tii Sheria bila shuruti ,hakuna Serikali linaloweza kuwaacha vijana wakawa wanafanya vurugu na uharibifu wa Mali za watu mitaani bila kuchukua hatua Kali za kudhibiti vitendo hivyo vya kihuni katika kurejesha amani mitaani

Wale wa Jana kule mwanza ni because ya chadema ?
 
Rais Samia Ni chuma kweli kweli,Ni Rais mzalendo shupavu na madhubuti Ndio maana unaona akiendelea kuungwa mkono na mamillion ya vijana wa kitanzania

Kweli kabisa
 

Attachments

  • Screenshot_20230209-174429_Instagram.jpg
    Screenshot_20230209-174429_Instagram.jpg
    45.8 KB · Views: 2
  • 5237779-828a38e49620fc96778ba70935600757.mp4
    6.9 MB
Hakuna kijana wa kwenda kwenye mikutano kuangalia makovu huku hajui atakula nini

USSR
Uongo ukizidi utakuwa mchawi. Ona Tanga kunakujulikana kama ngome ya CCM na CUF jinsi Mbowe alivyopokelewa!

 
Napenda kukwambia ukweli usiopenda kuusikia kuwa kwa Sasa Chadema haina Sera Wala ajenda zenye kugusa maisha ya watanzania Ndio sababu ya kupuuzwa na watanzania
Kama hakuna ambaye ameshakuambia ukweli mimi nakuambia ukweli kuwa wewe ni member ambaye unapuuzwa kuliko wote hapa jamvini. Angalia reaction ya wadau kwa thread na post zako. Unajidhalilisha sana.
 
Utahangaika Sana mwaka huu Hadi ukome wakati mh Rais akiendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya watanzania
Hivi chawa Lucas Mwashambwa na mimi nani anahangaika humu jukwaani kutafuta attention ya mteuzi? Wewe unayekesha kuandika magazeti kumsifia Mama na kuweka namba za simu hayo ndiyo mahangaiko. Mabandiko yako unayojaza humu yanakuelezea wewe kuwa umechanganyikiwa akili na siku si nyingi utaanza kula majalalani.
 
Back
Top Bottom