Uchaguzi 2020 Tundu Lissu na Dkt. Magufuli wajiandae kisaikolojia, lolote linaweza kutokea

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu na Dkt. Magufuli wajiandae kisaikolojia, lolote linaweza kutokea

Japo umesema ni mtazamo wako lkn ni mtazamo wa jamii nzima. Tumechoshwa vya kutosha. Ngoja tubadili mwelekeo wa jahazi ili tukapate samaki wengi na bora.


Na: George Kabadi

Nimekuwa miongoni mwa wafuatiliaji wazuri wa kampeni za mwaka huu 2020, Naomba kupigana moja kwa moja na hoja za watu wanaodai uchaguzi wa mwaka huu siyo mgumu kama ule wa mwaka 2015. Napigana nao kwa sababu kuu mbili.

MOSI, Uchaguzi wa 2015, Edward Lowassa alikuwa na watu wengi lakini hakuwa bora, hivyo siasa ya 2015 ilikuwa siasa ya upepo usio na mikakati.

PILI, Lowassa alibebwa na nguvu ya umaarufu kwa maana hata wasio wapiga kura waliohudhuria kampeni zake.

Tofauti kubwa iliyopo katika uchaguzi wa mwaka huu na uchaguzi uliopita, ni kuwa Mgombea wa CCM, ni Mgombea ambaye tayari jamii ishauona Mwelekeo wake, na Mgombea wa Upinzani ni Mgombea halisi zao halisi la upinzani.

Tazama kampeni za Tundu Lissu, na tazama kampeni za John Magufuli utagundua kuwa kuna Mgombea Urais anaongea na wananchi na kuna Mgombea Urais anawafokea wananchi.

Kuna mapungufu mengi kwa Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi kuliko Mgombea Urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema, nalisema hili bila kificho.

Baada ya TUME YA UCHAGUZI kuidhinisha Wagombea 15 wa kiti cha Urais wa JMT, kwa tiketi ya vyama mbalimbali, kadri muda unavyozidi kwenda ni vyama viwili tu ndiyo vimeonyesha nia ya kushika hatamu, nadhani wengine wamekata moto, sasa ni Chama Cha Mapinduzi-CCM na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema.

Wakati chama Cha Mapinduzi kikijinandi kuwa Mgombea wake ametekeleza mambo mengi katika Uongozi wake wa serikali ya awamu ya tano, chagamoto za uhalisia wa maisha ya mtanzania, bado zinamhukumu hivyo hana budi kukubaliana na chagamoto nyingi atakazo kutana nazo katika kampeni zake, kuna makosa mengi na mara kwa mara yamekuwa yakijirudia, sifahamu ni kwa nini, ama Chama cha Mapinduzi hakina meneja kampeni?

Sifahamu! kwa maana Mgombea wa chama hicho akikosa ubunifu pindi anapokuwa jukwaani na kujikuta akitoa matamko badala ya kumwaga sera. Binafsi hukuona haja ya Dr Magufuli kujibu hoja ya Tundu Lissu kuhusu vitambulisho vya wamachinga.

Jibu alilolitoa ni mtihani kwake mwenyewe, unaposema vitambulisho vya wamachinga havina maana wakati wewe ndiye uliyevitoa unatoa mwanya wa mpinzani wako kukuhoji zaidi.

Najaribu kufikri Mgombea wa CCM anapowaambia wananchi, wakimchagua Mbunge wa Upinzani hatowapelekea maendeleo.
Lakujiuliza hapa ivi CCM wanashindwa kumkanya Mgombea wao kuwa tuko kwenye nchi ya Demokrasia? Watanzania wananahaki ya kumchangua kiongozi wamtakaye na Maendeleo ni haki ya kila mwananchi kwa sababu ndiye mlipa kodi?

Nasema kauli, kauli, kauli, kauli za namna hiyo ni ishara ya kiongozi kushindwa

Upande wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema, chagamoto yao kubwa ni watu wanaomzunguka Mgombea, ni watu wanaoendeshwa na hulka, kinachoibeba Chadema ni uwezo binafsi wa Mgombea kucheza na akili ya wananchi na mpinzani wake wa karibu.

Akili ya Tundu Lissu inaufanya uchaguzi uwe mgumu, kukosekana kwa fikra mpya ndani ya Chama cha Mapinduzi, kunatoa mwanya kwa Lissu kulitawala jukwaa atakavyo katika kampeni, naweza kusema Tundu Lissu yuko kwenye ubora wa kimataifa

Kinachompa chagamoto Dr Magufuli ni yeye kuamini ndiye anaweza kuliko watu wanaomzunguka, sijui kwanini Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Dr Bashiru anashindwa, kutengeneza muunganiko wa jamii moja ndani ya Chama kimoja ili kutuliza hali ya hewa.

Ikiwa hali itaendelea hivi Dr Magufuli ajiandae kisaikolojia, kushindwa kwa 49% au kushinda kwa 51% huenda akaipoteza Ikulu, na Tundu Lissu ajiandae kushindwa kwa 49% au kushinda kwa 51%

Kitendo cha Dr Magufuli kushindwa kuwapa hamasa watu wa Bukoba wakati wa tetemeko la aridhi kumempunguzia kura za kanda ya Ziwa, na kuendelea kudhani watanzania bado ni jamii ya kuendeshwa huenda kukamtia katika promoko la karne.

Kabla ya 28 October 2020 anapaswa awaunganishe wana CCM, ambao hadi sasa wamepasuka, idadi kubwa ya viongozi wa ngazi za juu ndani ya CCM hawamuungi mkono Dr Magufuli, Japokuwa machoni wanampa tabasamu huku nyuma wanamchinja.
Kabla hata ya wapiga kura million 29,188,347 hawamchinja.

Huu ni mtazamo na hoja yangu, binafsi naona.

"Kuna Mgombea Urais anaongea na wananchi, kuna Mgombea Urais anawafokea wananchi"

Sijui mtazamo wako!

Kalamu Ya Mwebrania
Na: George Kabadi
MgombeaUrais2035
 
Na: George Kabadi

Nimekuwa miongoni mwa wafuatiliaji wazuri wa kampeni za mwaka huu 2020, Naomba kupigana moja kwa moja na hoja za watu wanaodai uchaguzi wa mwaka huu siyo mgumu kama ule wa mwaka 2015. Napigana nao kwa sababu kuu mbili.

MOSI, Uchaguzi wa 2015, Edward Lowassa alikuwa na watu wengi lakini hakuwa bora, hivyo siasa ya 2015 ilikuwa siasa ya upepo usio na mikakati.

PILI, Lowassa alibebwa na nguvu ya umaarufu kwa maana hata wasio wapiga kura waliohudhuria kampeni zake.

Tofauti kubwa iliyopo katika uchaguzi wa mwaka huu na uchaguzi uliopita, ni kuwa Mgombea wa CCM, ni Mgombea ambaye tayari jamii ishauona Mwelekeo wake, na Mgombea wa Upinzani ni Mgombea halisi zao halisi la upinzani.

Tazama kampeni za Tundu Lissu, na tazama kampeni za John Magufuli utagundua kuwa kuna Mgombea Urais anaongea na wananchi na kuna Mgombea Urais anawafokea wananchi.

Kuna mapungufu mengi kwa Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi kuliko Mgombea Urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema, nalisema hili bila kificho.

Baada ya TUME YA UCHAGUZI kuidhinisha Wagombea 15 wa kiti cha Urais wa JMT, kwa tiketi ya vyama mbalimbali, kadri muda unavyozidi kwenda ni vyama viwili tu ndiyo vimeonyesha nia ya kushika hatamu, nadhani wengine wamekata moto, sasa ni Chama Cha Mapinduzi-CCM na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema.

Wakati chama Cha Mapinduzi kikijinandi kuwa Mgombea wake ametekeleza mambo mengi katika Uongozi wake wa serikali ya awamu ya tano, chagamoto za uhalisia wa maisha ya mtanzania, bado zinamhukumu hivyo hana budi kukubaliana na chagamoto nyingi atakazo kutana nazo katika kampeni zake, kuna makosa mengi na mara kwa mara yamekuwa yakijirudia, sifahamu ni kwa nini, ama Chama cha Mapinduzi hakina meneja kampeni?

Sifahamu! kwa maana Mgombea wa chama hicho akikosa ubunifu pindi anapokuwa jukwaani na kujikuta akitoa matamko badala ya kumwaga sera. Binafsi hukuona haja ya Dr Magufuli kujibu hoja ya Tundu Lissu kuhusu vitambulisho vya wamachinga.

Jibu alilolitoa ni mtihani kwake mwenyewe, unaposema vitambulisho vya wamachinga havina maana wakati wewe ndiye uliyevitoa unatoa mwanya wa mpinzani wako kukuhoji zaidi.

Najaribu kufikri Mgombea wa CCM anapowaambia wananchi, wakimchagua Mbunge wa Upinzani hatowapelekea maendeleo.
Lakujiuliza hapa ivi CCM wanashindwa kumkanya Mgombea wao kuwa tuko kwenye nchi ya Demokrasia? Watanzania wananahaki ya kumchangua kiongozi wamtakaye na Maendeleo ni haki ya kila mwananchi kwa sababu ndiye mlipa kodi?

Nasema kauli, kauli, kauli, kauli za namna hiyo ni ishara ya kiongozi kushindwa

Upande wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema, chagamoto yao kubwa ni watu wanaomzunguka Mgombea, ni watu wanaoendeshwa na hulka, kinachoibeba Chadema ni uwezo binafsi wa Mgombea kucheza na akili ya wananchi na mpinzani wake wa karibu.

Akili ya Tundu Lissu inaufanya uchaguzi uwe mgumu, kukosekana kwa fikra mpya ndani ya Chama cha Mapinduzi, kunatoa mwanya kwa Lissu kulitawala jukwaa atakavyo katika kampeni, naweza kusema Tundu Lissu yuko kwenye ubora wa kimataifa

Kinachompa chagamoto Dr Magufuli ni yeye kuamini ndiye anaweza kuliko watu wanaomzunguka, sijui kwanini Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Dr Bashiru anashindwa, kutengeneza muunganiko wa jamii moja ndani ya Chama kimoja ili kutuliza hali ya hewa.

Ikiwa hali itaendelea hivi Dr Magufuli ajiandae kisaikolojia, kushindwa kwa 49% au kushinda kwa 51% huenda akaipoteza Ikulu, na Tundu Lissu ajiandae kushindwa kwa 49% au kushinda kwa 51%

Kitendo cha Dr Magufuli kushindwa kuwapa hamasa watu wa Bukoba wakati wa tetemeko la aridhi kumempunguzia kura za kanda ya Ziwa, na kuendelea kudhani watanzania bado ni jamii ya kuendeshwa huenda kukamtia katika promoko la karne.

Kabla ya 28 October 2020 anapaswa awaunganishe wana CCM, ambao hadi sasa wamepasuka, idadi kubwa ya viongozi wa ngazi za juu ndani ya CCM hawamuungi mkono Dr Magufuli, Japokuwa machoni wanampa tabasamu huku nyuma wanamchinja.
Kabla hata ya wapiga kura million 29,188,347 hawamchinja.

Huu ni mtazamo na hoja yangu, binafsi naona.

"Kuna Mgombea Urais anaongea na wananchi, kuna Mgombea Urais anawafokea wananchi"

Sijui mtazamo wako!

Kalamu Ya Mwebrania
Na: George Kabadi
MgombeaUrais2035

Paschal Njoo saa ujifunze namna ya kuchambua siasa!
 
Yupo jamaa mmoja umu jamii forum anaitwa pasikali mayala huyo piga ua kura yake kwa jiwe.
Mimi pia ni kwa JPM Niko pamoja na mamilioni na mamilioni ya Watanzania kura ni kwa JPM tu...nyie mpigieni kibaraka wa mabeberu, msaliti nambari wani, mtu wa faragha...ila Watanzania kwa mamilioni ni JPM tu...Watanzania kwa mamilioni hawawezi kumpa kura msaliti wa nchi..hawawezi kumpa mtu kura anayesema Bila aibu kuwa sisi tunawahitaji mabeberu...hawawezi kumpa kumpa kura ambaye ameapa kuweka raslimali zetu Kama dhamana kwa mabeberu...hawawezi kumpa mtu laghai na Malaya wa kisiasa na an imperialist stooge...kamwe huyo Lissu ajiandae kisaikolojia Cha pigo la kihistoria...amlete huyo beberu Amsterdam. awe msimamizi wa uchaguzi..
 
[emoji117]Huu uchambuz uko very bias kwa sabab uliyechambua haujachambua Kama MTU wa Kati Bali Kama mpinzani.
[emoji117]Kwa mtu ambaye haegemei upande wowote akisoma huu uchambuzi anaweza kujua hisia ulizokuwa nazo WAKATI unaandika.
[emoji117]labda sasa twende kwenye data inaonyesha MAGUFUL atashinda kwa zaidi ya 80%,
[emoji117]Inavyodhihirika CHADEMA hawana Ilan wanayoiamin ndio maana LISSU akiwa jukwaan haelez yaliyopo kwenye ilani zaidi ya kumzungumzia JPM.
[emoji117] Vilevile Mara kadhaa analenga kupewa kura za huruma kutoka na tukio la kupigwa risasi na kuenguliwa ubunge
[emoji117]Tukubaliane kwamba tukio la kupigwa risasi sio zur lakin halimpi mtu sifa ya kuwa rais. Ingekuwa hivyo hata 50CENT angeshakuwa rais.
[emoji117]Wengi wanaohudhuria kampen za LISSU ni vijana ambao hawana kadi za mpiga kura ama wanao lakin siku ya kupiga kura wasijitokeze. Wengi NI WALEVI nawavuta bangi.
[emoji117]Vijana hao wanaongozwa na mihemko pale wanapomwona lissu lakin wakiwa hawamwon katika maeneo yao wanapoa Kama wamechomwa nusu kaputi.
[emoji117]LISSU tayar alishaonyesha usaliti wa nchi yake na anajidhihirisha kuwa ametumwa kwa yale anayoyaongea. Mfano, kuleta utawala wa majimbo ambo NI mfumo wa mabeberu ili kurahisisha kutawala na kuiba rasilimali angalia kongo ilivyogawanywa, cheki Sudan, na somalia.

[emoji117]Vita vinavyoendelea huko vilitokana na divide and rule aka regionalization aka majimbo, angalia Kenya wanavyouana bila kusahau Mauaji ya kimbari Rwanda.
[emoji117]Kutokana na hayo Lissu hawez kumzidi MAGUFUL ambaye amekwisha onyesha UZALENDO kwa KUFANYA mengi yaliyoinua uchumi WETU hadi uchumi wa Kati.
[emoji117]Hofu ya wananchi LISSU na chama chake wataibia nchi Kama wanavyofanya kwenye chama Chao nimekuwekea ushahid kidogo Sana usaidike
HITIMISHO
Lissu hawez kushinda kwa huruma ya wananchi kwa sabab sicho wananchi tuna hokitakaView attachment 1581134View attachment 1581150View attachment 1581149

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umeongea kama mtafuti wa CCM
 
[emoji117]Huu uchambuz uko very bias kwa sabab uliyechambua haujachambua Kama MTU wa Kati Bali Kama mpinzani.
[emoji117]Kwa mtu ambaye haegemei upande wowote akisoma huu uchambuzi anaweza kujua hisia ulizokuwa nazo WAKATI unaandika.
[emoji117]labda sasa twende kwenye data inaonyesha MAGUFUL atashinda kwa zaidi ya 80%,
[emoji117]Inavyodhihirika CHADEMA hawana Ilan wanayoiamin ndio maana LISSU akiwa jukwaan haelez yaliyopo kwenye ilani zaidi ya kumzungumzia JPM.
[emoji117] Vilevile Mara kadhaa analenga kupewa kura za huruma kutoka na tukio la kupigwa risasi na kuenguliwa ubunge
[emoji117]Tukubaliane kwamba tukio la kupigwa risasi sio zur lakin halimpi mtu sifa ya kuwa rais. Ingekuwa hivyo hata 50CENT angeshakuwa rais.
[emoji117]Wengi wanaohudhuria kampen za LISSU ni vijana ambao hawana kadi za mpiga kura ama wanao lakin siku ya kupiga kura wasijitokeze. Wengi NI WALEVI nawavuta bangi.
[emoji117]Vijana hao wanaongozwa na mihemko pale wanapomwona lissu lakin wakiwa hawamwon katika maeneo yao wanapoa Kama wamechomwa nusu kaputi.
[emoji117]LISSU tayar alishaonyesha usaliti wa nchi yake na anajidhihirisha kuwa ametumwa kwa yale anayoyaongea. Mfano, kuleta utawala wa majimbo ambo NI mfumo wa mabeberu ili kurahisisha kutawala na kuiba rasilimali angalia kongo ilivyogawanywa, cheki Sudan, na somalia.

[emoji117]Vita vinavyoendelea huko vilitokana na divide and rule aka regionalization aka majimbo, angalia Kenya wanavyouana bila kusahau Mauaji ya kimbari Rwanda.
[emoji117]Kutokana na hayo Lissu hawez kumzidi MAGUFUL ambaye amekwisha onyesha UZALENDO kwa KUFANYA mengi yaliyoinua uchumi WETU hadi uchumi wa Kati.
[emoji117]Hofu ya wananchi LISSU na chama chake wataibia nchi Kama wanavyofanya kwenye chama Chao nimekuwekea ushahid kidogo Sana usaidike
HITIMISHO
Lissu hawez kushinda kwa huruma ya wananchi kwa sabab sicho wananchi tuna hokitakaView attachment 1581134View attachment 1581150View attachment 1581149

Sent using Jamii Forums mobile app
Dalili zakukosa ugali hizi
kuna mtu anaeibia Nchi hii kama jiwe!
 
Kama ulikuwa na cheti feki nikupe pole.



Hautokaa ulipwe mpaka ukamilfu wa dahari. Na sioni mantiki ya kumtetea mtu aliekuwa na cheti feki wakati aliziba nafasi kwa walio na vyeti halali.



Ni upuuzi huu.
Hakuna huo ni udhulumaji na ukatili wa Hali ya juu
 
hakuna wa kujiandaa kwa vile wote wanajua matokeo!
 
Zaidi ya kuiba kura kukimbia na maboksi hamtashinda
Siku zote mnakwama sababu ya kulialia - come with conclusive iwapo watakimbia na boks nini kifanyike - so, unataka kupata ushindi kwa kutumia kipande cha karatasi na kalamu ya Obama!!!!!

Go and see or learn about black people in America history - utagundua the way forward.
 
Kama ulikuwa na cheti feki nikupe pole.



Hautokaa ulipwe mpaka ukamilfu wa dahari. Na sioni mantiki ya kumtetea mtu aliekuwa na cheti feki wakati aliziba nafasi kwa walio na vyeti halali.



Ni upuuzi huu.
Hao wenye vyeti halali mmewaajiri?
Wewe utopolo
 
Mimi pia ni kwa JPM Niko pamoja na mamilioni na mamilioni ya Watanzania kura ni kwa JPM tu...nyie mpigieni kibaraka wa mabeberu, msaliti nambari wani, mtu wa faragha...ila Watanzania kwa mamilioni ni JPM tu...Watanzania kwa mamilioni hawawezi kumpa kura msaliti wa nchi..hawawezi kumpa mtu kura anayesema Bila aibu kuwa sisi tunawahitaji mabeberu...hawawezi kumpa kumpa kura ambaye ameapa kuweka raslimali zetu Kama dhamana kwa mabeberu...hawawezi kumpa mtu laghai na Malaya wa kisiasa na an imperialist stooge...kamwe huyo Lissu ajiandae kisaikolojia Cha pigo la kihistoria...amlete huyo beberu Amsterdam. awe msimamizi wa uchaguzi..
Ni aibu kwa anayejiita mzee/mkongwe/mhenga kuwa na propaganda za vijana wa balehe wa kizazi cha milenia.
Hakuna mwana CCM timamu wa enzi za chini ya miaka ya 1980 anayeweza kushabikia siasa za hovyo za CCM ya sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku zote mnakwama sababu ya kulialia - come with conclusive iwapo watakimbia na boks nini kifanyike - so, unataka kupata ushindi kwa kutumia kipande cha karatasi na kalamu ya Obama!!!!!

Go and see or learn about black people in America history - utagundua the way forward.
Kwa hiyo,historia ya watu weusi wa huko Marekani ndio tuifananishe na sisi?
Hapo maana yake,hawa wanaotuongoza leo ni sawa na wale waliokuwa wakiwakandamiza watu weusi huko Marekani?
Kwa hiyo nasi tutumie mbinu za enzi hizo kumtoa "mkandamizaji" wa haki za Mtanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji117]Huu uchambuz uko very bias kwa sabab uliyechambua haujachambua Kama MTU wa Kati Bali Kama mpinzani.
[emoji117]Kwa mtu ambaye haegemei upande wowote akisoma huu uchambuzi anaweza kujua hisia ulizokuwa nazo WAKATI unaandika.
[emoji117]labda sasa twende kwenye data inaonyesha MAGUFUL atashinda kwa zaidi ya 80%,
[emoji117]Inavyodhihirika CHADEMA hawana Ilan wanayoiamin ndio maana LISSU akiwa jukwaan haelez yaliyopo kwenye ilani zaidi ya kumzungumzia JPM.
[emoji117] Vilevile Mara kadhaa analenga kupewa kura za huruma kutoka na tukio la kupigwa risasi na kuenguliwa ubunge
[emoji117]Tukubaliane kwamba tukio la kupigwa risasi sio zur lakin halimpi mtu sifa ya kuwa rais. Ingekuwa hivyo hata 50CENT angeshakuwa rais.
[emoji117]Wengi wanaohudhuria kampen za LISSU ni vijana ambao hawana kadi za mpiga kura ama wanao lakin siku ya kupiga kura wasijitokeze. Wengi NI WALEVI nawavuta bangi.
[emoji117]Vijana hao wanaongozwa na mihemko pale wanapomwona lissu lakin wakiwa hawamwon katika maeneo yao wanapoa Kama wamechomwa nusu kaputi.
[emoji117]LISSU tayar alishaonyesha usaliti wa nchi yake na anajidhihirisha kuwa ametumwa kwa yale anayoyaongea. Mfano, kuleta utawala wa majimbo ambo NI mfumo wa mabeberu ili kurahisisha kutawala na kuiba rasilimali angalia kongo ilivyogawanywa, cheki Sudan, na somalia.

[emoji117]Vita vinavyoendelea huko vilitokana na divide and rule aka regionalization aka majimbo, angalia Kenya wanavyouana bila kusahau Mauaji ya kimbari Rwanda.
[emoji117]Kutokana na hayo Lissu hawez kumzidi MAGUFUL ambaye amekwisha onyesha UZALENDO kwa KUFANYA mengi yaliyoinua uchumi WETU hadi uchumi wa Kati.
[emoji117]Hofu ya wananchi LISSU na chama chake wataibia nchi Kama wanavyofanya kwenye chama Chao nimekuwekea ushahid kidogo Sana usaidike
HITIMISHO
Lissu hawez kushinda kwa huruma ya wananchi kwa sabab sicho wananchi tuna hokitakaView attachment 1581134View attachment 1581150View attachment 1581149

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mbona unaonesha kabisa upo kwenye hao nyoka wa kijani ila SEMA kushinda atashinda lisu ila kutangazwa atatangazwa meko kwa sababu ya necccm na polisccm
 
mchambuzi umejaribu kueleza mtazamo wako juu ya siasa .Huku ukitoa maoni linganisha kati ya Lowasa na Lissu.Ila ukweli unabaki pale pale kuwa mzee lowasa alikuwa na mipango sema alizidiwa na mamlaka kwa kuhujumiwa na sioni aibu kusema kuwa hata kura alizozipata Lowasa sidhani kama Tundu atazipata maana katika siasa watu ndo mtaji hivyo wimbi la watu wasiokuwa wanachama na wanachama pamoja na umarufuu uliojengwa na upizani chini ya Zitto na Dr slaa enzi hizo uliongeza sana hamasa kwenye siasa mwaka 2015.
Kwa siasa za sasa kweli Mh Dr magufuli anayomadhaifu yake hasa kuanzia kauli zake,upendeleo wa wazi kwenye nafasi pamoja na kuto jali masilahi ya watumishi bado anaendelea kuwa kwenye nafasi ya kushinda kwa sababu mpinzani wake amekuwa mtu wa mihemko na kuhubiri chuki zaidi .Kwa ujumla awamu hii wagombea wote wanakasolo za wazi kabisa ila hakuna namna .Angalau kuna viashiria vya maendeleo vinaonekana kupitia Dr Magufuli kwa kuiona,kusikia na kuhisi .
Kikubwa kila mtu asimamie upande wake tarehe 28/10 sio mbali tuendelee kutimiza wajibu na siku hiyo tufanye hivyo hivyo.
 
Ni aibu kwa anayejiita mzee/mkongwe/mhenga kuwa na propaganda za vijana wa balehe wa kizazi cha milenia.
Hakuna mwana CCM timamu wa enzi za chini ya miaka ya 1980 anayeweza kushabikia siasa za hovyo za CCM ya sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kauli Kama hizi ndio maana hamuwezi kupata kura za mamilioni ya watanzania ambao ni wanachama, wafuasi na wapenzi wa CCM...yaani baadala ya kuwanyenyekea watu nyie mnawatukana, kuwadharau na kuwakejeli...ni sababu hizi ndio watu wengi kwa mamilioni wamepania kujitokeza kupiga kura ili kuwaadhibu hiyo Oktoba 28...mnawakasirisha wapiga kura baadala ya kuwanyenyekea...Kama CCM Ina siasa za ovyo ndipo utatambua wewe na wenzako hiyo 0ktoba 28. Mtalia na kusaga meno...
 
Watanzania wenye akili timamu ni wengi sana. Watanzania wasio na akili timamu ni wachache sana. Sioni kama kama kuna mtanzania mwenye akili timamu atakayempigia kura Magufuli.
Kumpigia mmoja wapo wa wagombea sio kipimo cha 'kuwa na' au 'kukosa' utimamu wa akili. Kupiga kura ni haki ya kila mtu naye ana haki ya kumchagua kiongoZi anayemtaka
 
Back
Top Bottom