🤣🤣🤣Hisia zako koko....
Trump lazima aingilie kati! Kitaeleweka tu.Wakuu,
Kumbe Heche na Lissu walikuwa na mpango wa kando kuendeleza kampeni yao ya No Reforms No Election ukiachana na kuwaambia watu walale barabarani
Erythrocyte nimeanza kukuelewa sasa
===================================================
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche amesema yeye na Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu wanatarajia kupeleka ajenda ya no reform, no election hadi nje ya nchi.
Akizungumza na wanachama wa chama hicho wa Kanda ya Kaskazini, mkoani Arusha leo Heche amesema tayari chama hicho kimewashirikisha wadau mbalimbali kuhusu ajenda hiyo na kwamba wataipeleka mbali zaidi.
“Ajenda yetu no reform, no election inazungumzika hata kama wanaizungumzia negatively (kwa mtazamo hasi) lakini wanazungumza ajenda ya CHADEMA, tumetoka na ajenda hiyo ndiyo kila siku Wasira anaimba na leo ndio Makala alikuwa anaizungumza” amesema Heche.
“Sisi ni watu tunatumia brain (akili) tume engage (kushirikisha) tumeandika mapungufu 16 ya uchaguzi ambayo hayamuwezeshi mpinzani yoyote kushinda uchaguzi, nani miongoni mwenu anaweza kusema kwamba anaweza kushinda uchaguzi kwa utaratibu huu tulionao?” amehoji Heche
Source: Nipashe
Ha ha ha tuna mpango wetu pia !!Hatujiandikishi kupiga kura,hatutapiga kura na atakaye panga mstari kupiga kura lazima damu imetoke puani subiri utaona.TumechokaKaribu wakutoe mavi
Karibu sana mkuuHa ha ha tuna mpango wetu pia !!Hatujiandikishi kupiga kura,hatutapiga kura na atakaye panga mstari kupiga kura lazima damu imetoke puani subiri utaona.Tumechoka
Aibuuu, aibu yao hao mashoga. Baba wa Taifa afufuke ombi mahsusi.Wakuu,
Kumbe Heche na Lissu walikuwa na mpango wa kando kuendeleza kampeni yao ya No Reforms No Election ukiachana na kuwaambia watu walale barabarani
Erythrocyte nimeanza kukuelewa sasa
===================================================
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche amesema yeye na Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu wanatarajia kupeleka ajenda ya no reform, no election hadi nje ya nchi.
Akizungumza na wanachama wa chama hicho wa Kanda ya Kaskazini, mkoani Arusha leo Heche amesema tayari chama hicho kimewashirikisha wadau mbalimbali kuhusu ajenda hiyo na kwamba wataipeleka mbali zaidi.
“Ajenda yetu no reform, no election inazungumzika hata kama wanaizungumzia negatively (kwa mtazamo hasi) lakini wanazungumza ajenda ya CHADEMA, tumetoka na ajenda hiyo ndiyo kila siku Wasira anaimba na leo ndio Makala alikuwa anaizungumza” amesema Heche.
“Sisi ni watu tunatumia brain (akili) tume engage (kushirikisha) tumeandika mapungufu 16 ya uchaguzi ambayo hayamuwezeshi mpinzani yoyote kushinda uchaguzi, nani miongoni mwenu anaweza kusema kwamba anaweza kushinda uchaguzi kwa utaratibu huu tulionao?” amehoji Heche
Source: Nipashe
Ona bwege hii..Hii mijitu mijinga mijinga ndio unafanya Taifa linabaki kuwa ombaombaUachage uzwazwa....uchaguzi ni kila baada ya miaka 5....unaongelea TIME gani ndugu ?!!
Uchaguzi ni takwa la kisheria ,takwa hilo liongelewe leo hii ?!!
Nchi haina machafuko ,haina vita ,hakuna ULTIMATUM ,mnaburuzwaje kijingajinga ?!
#Nje hakuna wajomba!
Team Mbowe bado hamjapoa maumivu
...nakubali kabisa ewe mzalendo mamaa wa Kigamboni....Sijawahi kuwa chadema
Unakalia kigogo ?!Ona bwege hii..Hii mijitu mijinga mijinga ndio unafanya Taifa linabaki kuwa ombaomba