LGE2024 Tundu Lissu nakushauri wewe ndio ukamzuie Mkuu wa Mkoa wa Simiyu na sio kuwatafutia matatizo wananchi

LGE2024 Tundu Lissu nakushauri wewe ndio ukamzuie Mkuu wa Mkoa wa Simiyu na sio kuwatafutia matatizo wananchi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Unawatangazia wananchi kuwa wakimuona Mkuu wa Mkoa wamzuie, ebo.Mkuu wa Mkoa ambaye ametajwa kikatiba, ametajwa kwenye sheria ya Tawala za Mikoa Na.19 ya mwaka 1997, ametajwa kwenye kanuni za kudumu za utumishi wa umma, mwenyekiti wa kamati ya usalama mkoa, wananchi wazingire gari lake wanajitaka ama unawatafutia kesi.

Hebu nenda wewe kazuie msafara wa Mkuu wa Mkoa uone kitakachokupata Bw.Tundu Lissu, waeleze wanachama wa chadema mna nini hasa cha maana endapo mtapewa uongozi wa kijiji, mjinga mmoja anaitwa Twaha nani sijui amewaambia wanachama huko Momba kuwa ukichagua chadema maisha yatakuwa mazuri, sasa na wewe mwenyewe ugomvi na mwenyekiti wako tangaza sera baba.

Nawashauri wananchi msikubali kugombanishwa na serikali, mtazingira gari mtakula kibano mwenzenu anasanuka pole pole hamumuoni tena.Akili za kuambiwa changanya na za kwako.

Pia soma > LGE2024 - Tundu Lissu: Mkuu wa Mkoa haruhusiwi kufanya kampeni akija mumkatae, kama mtamzuia kwa mawe ni juu yenu
 
Unawatangazia wananchi kuwa wakimuona Mkuu wa Mkoa wamzuie, ebo.Mkuu wa Mkoa ambaye ametajwa kikatiba, ametajwa kwenye sheria ya Tawala za Mikoa Na.19 ya mwaka 1997, ametajwa kwenye kanuni za kudumu za utumishi wa umma, mwenyekiti wa kamati ya usalama mkoa, wananchi wazingire gari lake wanajitaka ama unawatafutia kesi.

Hebu nenda wewe kazuie msafara wa Mkuu wa Mkoa uone kitakachokupata Bw.Tundu Lissu, waeleze wanachama wa chadema mna nini hasa cha maana endapo mtapewa uongozi wa kijiji, mjinga mmoja anaitwa Twaha nani sijui amewaambia wanachama huko Momba kuwa ukichagua chadema maisha yatakuwa mazuri, sasa na wewe mwenyewe ugomvi na mwenyekiti wako tangaza sera baba.

Nawashauri wananchi msikubali kugombanishwa na serikali, mtazingira gari mtakula kibano mwenzenu anasanuka pole pole hamumuoni tena.Akili za kuambiwa changanya na za kwako.
Umekielewa ulichokiandika?Mpuuzi wewe!
 
Mnafikiri wameshiriki ili wapigiwe kura, wamesshiriki ili wawepe za uso na kutoa shule kwa umma.

Mtafuta matokeo, lakini hamtoweza kufuta ujembe kwenye vichwa vya watu.

CHADEMA wamewazidi sana akili, kinachowaokoa ni dola tu na si kitu kingine chochote kile.
 
Unawatangazia wananchi kuwa wakimuona Mkuu wa Mkoa wamzuie, ebo.Mkuu wa Mkoa ambaye ametajwa kikatiba, ametajwa kwenye sheria ya Tawala za Mikoa Na.19 ya mwaka 1997, ametajwa kwenye kanuni za kudumu za utumishi wa umma, mwenyekiti wa kamati ya usalama mkoa, wananchi wazingire gari lake wanajitaka ama unawatafutia kesi.

Hebu nenda wewe kazuie msafara wa Mkuu wa Mkoa uone kitakachokupata Bw.Tundu Lissu, waeleze wanachama wa chadema mna nini hasa cha maana endapo mtapewa uongozi wa kijiji, mjinga mmoja anaitwa Twaha nani sijui amewaambia wanachama huko Momba kuwa ukichagua chadema maisha yatakuwa mazuri, sasa na wewe mwenyewe ugomvi na mwenyekiti wako tangaza sera baba.

Nawashauri wananchi msikubali kugombanishwa na serikali, mtazingira gari mtakula kibano mwenzenu anasanuka pole pole hamumuoni tena.Akili za kuambiwa changanya na za kwako.

Pia soma > LGE2024 - Tundu Lissu: Mkuu wa Mkoa haruhusiwi kufanya kampeni akija mumkatae, kama mtamzuia kwa mawe ni juu yenu
Tuondolee upuuzi wako hapa.
 
Unawatangazia wananchi kuwa wakimuona Mkuu wa Mkoa wamzuie, ebo.Mkuu wa Mkoa ambaye ametajwa kikatiba, ametajwa kwenye sheria ya Tawala za Mikoa Na.19 ya mwaka 1997, ametajwa kwenye kanuni za kudumu za utumishi wa umma, mwenyekiti wa kamati ya usalama mkoa, wananchi wazingire gari lake wanajitaka ama unawatafutia kesi.

Hebu nenda wewe kazuie msafara wa Mkuu wa Mkoa uone kitakachokupata Bw.Tundu Lissu, waeleze wanachama wa chadema mna nini hasa cha maana endapo mtapewa uongozi wa kijiji, mjinga mmoja anaitwa Twaha nani sijui amewaambia wanachama huko Momba kuwa ukichagua chadema maisha yatakuwa mazuri, sasa na wewe mwenyewe ugomvi na mwenyekiti wako tangaza sera baba.

Nawashauri wananchi msikubali kugombanishwa na serikali, mtazingira gari mtakula kibano mwenzenu anasanuka pole pole hamumuoni tena.Akili za kuambiwa changanya na za kwako.

Pia soma > LGE2024 - Tundu Lissu: Mkuu wa Mkoa haruhusiwi kufanya kampeni akija mumkatae, kama mtamzuia kwa mawe ni juu yenu
Unajiita Magu, yeye ndio alileta Siasa za kihuni na kishamba hapa nchini!
 
Unawatangazia wananchi kuwa wakimuona Mkuu wa Mkoa wamzuie, ebo.Mkuu wa Mkoa ambaye ametajwa kikatiba, ametajwa kwenye sheria ya Tawala za Mikoa Na.19 ya mwaka 1997, ametajwa kwenye kanuni za kudumu za utumishi wa umma, mwenyekiti wa kamati ya usalama mkoa, wananchi wazingire gari lake wanajitaka ama unawatafutia kesi.

Hebu nenda wewe kazuie msafara wa Mkuu wa Mkoa uone kitakachokupata Bw.Tundu Lissu, waeleze wanachama wa chadema mna nini hasa cha maana endapo mtapewa uongozi wa kijiji, mjinga mmoja anaitwa Twaha nani sijui amewaambia wanachama huko Momba kuwa ukichagua chadema maisha yatakuwa mazuri, sasa na wewe mwenyewe ugomvi na mwenyekiti wako tangaza sera baba.

Nawashauri wananchi msikubali kugombanishwa na serikali, mtazingira gari mtakula kibano mwenzenu anasanuka pole pole hamumuoni tena.Akili za kuambiwa changanya na za kwako.

Pia soma > LGE2024 - Tundu Lissu: Mkuu wa Mkoa haruhusiwi kufanya kampeni akija mumkatae, kama mtamzuia kwa mawe ni juu yenu
Mkuu una undugu na Bashite?
 
Unawatangazia wananchi kuwa wakimuona Mkuu wa Mkoa wamzuie, ebo.Mkuu wa Mkoa ambaye ametajwa kikatiba, ametajwa kwenye sheria ya Tawala za Mikoa Na.19 ya mwaka 1997, ametajwa kwenye kanuni za kudumu za utumishi wa umma, mwenyekiti wa kamati ya usalama mkoa, wananchi wazingire gari lake wanajitaka ama unawatafutia kesi.

Hebu nenda wewe kazuie msafara wa Mkuu wa Mkoa uone kitakachokupata Bw.Tundu Lissu, waeleze wanachama wa chadema mna nini hasa cha maana endapo mtapewa uongozi wa kijiji, mjinga mmoja anaitwa Twaha nani sijui amewaambia wanachama huko Momba kuwa ukichagua chadema maisha yatakuwa mazuri, sasa na wewe mwenyewe ugomvi na mwenyekiti wako tangaza sera baba.

Nawashauri wananchi msikubali kugombanishwa na serikali, mtazingira gari mtakula kibano mwenzenu anasanuka pole pole hamumuoni tena.Akili za kuambiwa changanya na za kwako.

Pia soma > LGE2024 - Tundu Lissu: Mkuu wa Mkoa haruhusiwi kufanya kampeni akija mumkatae, kama mtamzuia kwa mawe ni juu yenu

Tundu Lisu amewashauri vyema hao Wananchi kwa sababu CCM wanafanya Siasa ambazo siyo za kistaarabu, badala yake wamekuwa wakifanya siasa mbaya za jino kwa jino.
Ndiyo, Ukiweka unafiki au uchawa pembeni, utakubaliana na Ukweli mchungu sana kwamba kwa namna jinsi CCM wanavyofanya Siasa zao kwenye nchi hii, ni dhahiri kwamba njia pekee kabisa ambayo Watu wengine wanapaswa kuifuata ni kufanya Siasa za Jino kwa jino, jicho kwa jicho au jeraha kwa jeraha. Hii ndiyo namna pekee kabisa iliyobaki ya kuweza kufanya siasa na CCM, kwa sababu siyo siri hata kidogo CCM hawwawezi kabisa kufanya Siasa za kistaarabu na zenye kuheshimiana, siasa za kushindana kwa nguvu ya hoja.

Miaka yote kabisa, nimekuwa nikiona CCM ikilazimisha Watanzania kuchukua jukumu la kufanya Siasa za Jino kwa jino, siasa za mikikimikiki, siasa za bunduki (gun politics) kama vile ilivyokuwa kwa Watu wa ANC walivyokuwa wakifanya siasa zao kule nchiji Afrika ya Kusini enzi zile za Utawala wa Makaburu. Watu weusi wa Afrika Kusini pamoja na Wafuasi na ANC nao walilazimika kufuata mkondo wa kufanya 'Siasa za bunduki' ili kujihami na kujilinda dhidi ya udhalimu ambao walikuwa wakifanyiwa na utawala wa makaburu wachache ambao nao pia walikuwa wakifanya Siasa za bunduki. Watu weusi katika nchi hiyo nao walilazimika kushika bunduki ili kujibu Mapigo ya Jino kwa jino, jicho kwa jicho, jeraha kwa jeraha, kifo kwa kifo, hali hiyo ilisababisha kuharakisha kufikia Maridhiano Kati ya pande hizo zilizokuwa zikigombana.
 
Unawatangazia wananchi kuwa wakimuona Mkuu wa Mkoa wamzuie, ebo.Mkuu wa Mkoa ambaye ametajwa kikatiba, ametajwa kwenye sheria ya Tawala za Mikoa Na.19 ya mwaka 1997, ametajwa kwenye kanuni za kudumu za utumishi wa umma, mwenyekiti wa kamati ya usalama mkoa, wananchi wazingire gari lake wanajitaka ama unawatafutia kesi.

Hebu nenda wewe kazuie msafara wa Mkuu wa Mkoa uone kitakachokupata Bw.Tundu Lissu, waeleze wanachama wa chadema mna nini hasa cha maana endapo mtapewa uongozi wa kijiji, mjinga mmoja anaitwa Twaha nani sijui amewaambia wanachama huko Momba kuwa ukichagua chadema maisha yatakuwa mazuri, sasa na wewe mwenyewe ugomvi na mwenyekiti wako tangaza sera baba.

Nawashauri wananchi msikubali kugombanishwa na serikali, mtazingira gari mtakula kibano mwenzenu anasanuka pole pole hamumuoni tena.Akili za kuambiwa changanya na za kwako.

Pia soma > LGE2024 - Tundu Lissu: Mkuu wa Mkoa haruhusiwi kufanya kampeni akija mumkatae, kama mtamzuia kwa mawe ni juu yenu
Unaeleewa tofauti iliyopo kati ya mwanasiasa na mtumishi wa umma? Elewa kwanza hii halafu njoo na mikwara mbuzi.
 
Back
Top Bottom