Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Narudi kama Mwananchi huru tarehe 27 Julai 2020, Serikali inipe Ulinzi. Kesi zangu 6 zina dhamana, sitakamatwa

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Narudi kama Mwananchi huru tarehe 27 Julai 2020, Serikali inipe Ulinzi. Kesi zangu 6 zina dhamana, sitakamatwa

Serekali ipi itoe ulinzi ua ni ile uliokuwa huna imani na polisi wake
 
Angetakiwa kweli kuuliwa eti na serikali Wala asingepona siku ya tukio na hata huko alipo kwa mabwana zake mabeberu ingekuwa kazikwa na kashaoza siku nyingi serikali haina haja na mgonjwa wa sonona wa Kazi gani kwa mfano,muulizeni mbowe na dereva wa lisu Alie fichwa Nani alitaka kumuuwa sio Kukariri maneno Kama kasuku sijui mnakwama wapi wana Sacco's ya mtaa wa ufipa

Hata udhikiri uchi hapo uwanja wa Taifa, ila ukweli unabaki kuwa jiwe ndio muhusika.
 
Bila shaka atakuwa anaweka wazi ratiba kamili ya ujio wake kuanzia muda wa kuwasili na ndege atayosafiri nayo, bila kusahau alivyojipanga kiusalama ingawa hawezi kuweka wazi kila kitu.

Nafikiri Lumumba kesho kutakuwa hamna kazi, na hata Magogozi zitasimama kwa muda.
Hivi unaweza kuomba adui akupe Ulinzi?
 
Alisema hana imani na vyombo vyetu vya usalama. Iweje awaombe ?

Hawaombi bali anawataka maana ni jukumu lao kisheria, maana wanalipwa mshahara kwa kazi hiyo. Sisi wengi acha huyo Lisu, hatuna imani na jeshi la polisi, lakini kutokuwa na imani nao hakuondoi wajibu wao kisheria.
 
Lissu ndiyo rais wako baada ya October
Kikwetu mgeni aija kwako ukaona anaaga aga mara mbili mbili kuwa naondoka unajua huyo hataki kuondoka kanogewa na kwako hataki kuondoka kwako

Lisu kutwa kwenye vyombo vya habari ohhh narudi narudi kumbe muongo

Lisu kutwa anatangaza kurudi angalia matapeli hawa wakidanganya Chadema wenzao kuwa Tundu Lisu anarudi tarehe 7 mwezi wa tisa mwaka jana 2019!!

Msikie mwenyewe Mbowe na Lisu wakidanganya Chadema wenzao!! Mbowe naona kachoka usanii wake Lisu hataki tena kuonekana kituko kwenye vyombo vya habari kamwachia mwenyewe ona hii ambayo ndio imefanya Mbowe asitoe tamko tena kuhusu kurudi Msanii LISU kamwachia mwenyewe

 
Hivi unaweza kuomba adui akupe Ulinzi?

Neno kuomba unalitoa wapi, hawaombi bali anawakumbusha wajibu wao wa kisheria. Huenda unadhani kulindwa na jeshi ni hisani, ndio maana unachomeka maneno ya kipuuzi sijui kumuomba adui yako ulinzi. Tundu Lissu hahitaji urafiki wowote wa kujipendekeza kwa polisi, bali anahitaji polisi watekeleze wajibu wao kisheria fullstop.
 
Neno kuomba unalitoa wapi, hawaombi bali anawakumbusha wajibu wao wa kisheria. Huenda unadhani kulindwa na jeshi ni hisani, ndio maana unachomeka maneno ya kipuuzi sijui kumuomba adui yako ulinzi. Tundu Lissu hahitaji urafiki wowote wa kujipendekeza kwa polisi, bali anahitaji polisi watekeleze wajibu wao kisheria fullstop.
Mawazo ya kipuuzi hayo kama ya TL
 
Akitua tu Segerea, hilo ajiandae tu anasubiriwa kwa hamu .Kutia nia ya uraisi hakuondoi hatia aliyonayo.Hilo ajiandae na akae analijua kuwa milango ya Segerea iko wazi inamsubiria na Court order ziko mikononi 24/7 za kumdaka awaishwe Segerea

Hilo ni yeye tu kujipanga kisaikolojia kuwa from Belgium to Segerea prison na uzuri hajasumbua interpol wala nini anakuja mwenyewe kwa nauli yake

Acha segerea, mkiona hata hapo segerea hapatoshi mpelekeni Guantanamo, ila tunajua fika kuwa jiwe hataki kuingia kwenye uchaguzi wa 2020 na Lissu. Hivyo itabidi atumie hila zote, na vyombo vyote vya dola kuhakikisha hapambani na mwanaume wa kweli kwenye uchaguzi. Hivyo vitisho vya Segerea havikuanza juzi, ni toka awamu hii iingie madarakani. Kama mlitaka kumuua ikashindikana, ndio mtashindwa kumuweka segerea?
 
M/Mkiti wa CHADEMA Taifa(B), Mhe. Tundu Lissu, Julai 21, 2020 saa 7.00 mchana atazungumza na Watanzania, atakapohutubia taifa kuhusu safari ya kurejea nyumbani baada ya kuwa nje ya nchi takriban miaka 3 kwa matibabu, tangu aliponusurika jaribio la mauaji, Sep' 7, 2017, Dodoma-Tumaini Makene on twitter.





SHUKRANI
Michango, maombi na sala zenu ndiyo zilizosababisa leo nazungumza habari za kurudi nyumbani.

Nimekaa Ubelgiji kwa miaka miwili na nusu. Niwashukuru majirani na wananchi wenzangu kwa kunihifadhi kwa miaka hii miwili kwa mapenzi na upendo mkubwa, kwa kuniwezesha kujiona sehemu ya maisha yao kwa kipindi hiki cha miaka miwili na nusu.

Nikisema nashukuru ni kwa niaba ya familia yangu, mke wangu watoto wangu na ndugu zangu popote walipo.

USALAMA WANGU
Waliokuja kuniua hiyo siku na waliowatuma au waliowaelekeza bado wanaitwa watu wasiojulikana. Maana yake ni kwamba hao watu bado wapo, na kwasababu bado wapo na hawajasema kama lengo lao la kuniua wameliacha, bado natafakari juu ya maisha yangu. Kwahiyo narudi nchini kwangu katika mazingira ambayo hatari dhidi yangu bado haijaondoka, lakini narudi tu, ni nyumbani kwetu – inabidi nirudi.

Katika hii miezi 6 iliyopita, Uongozi wangu wa Chama, Mwenyekiti wangu wa Taifa Mh. Mbowe ameandika barua kwa vyombo vya ulinzi na usalama wa nchi yetu ili kuomba nipatiwe ulinzi nitakaporudi nyumbani. Hadi sasa tunasubiri majibu ya wakuu wa vyombo vyetu vya usalama ambao ndiyo wana jukumu la kuhakiksha nipo salama nitakaporudi nyumbani. Hata kujibu tu barua hawajafanya hivyo

Naomba niseme hivi kwa ajili ya kumbukumbu, mimi sina na siwezi kuwa na jeshi binafsi la kunilinda. Sina na siwezi kuwa na rafiki au taasisi au nchi itakayotoa jeshi la kunilinda mimi nitakaporudi nyumbani.

Wajibu wa kunilinda mimi kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania ni Jeshi la Polisi la Tanzania. Siyo jeshi la Polisi la Ubelgiji au la Kenya au la nchi nyingine – ni wajibu wa Jeshi la Polisi la Tanzania.

Ninarudi, nafahamu nikiwa mmojawapo wa wanaoomba kuteuliwa na chama change kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa mujibu wa sheria zetu za Uchaguzi, Jeshi la Polisi lina wajibu kisheria wa kuwapatia ulinzi wale ambao wamejitokeza kuomba kuteuliwa kuwa wagombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Narudi nyumbani, natazamia, kuna kipindi nilisema knafuatwa fuatwa, polisi waingilie kati na wakapuuza na matokeo yake nikashambuliwa. Sasa narudi nyumbani, natarajia mara hii Jeshi la Polisi la Tanzania litatekeleza wajibu wake wa kunilinda na kulinda maisha yangu dhidi ya wale wanaowaita "watu wasiojulikana”

KESI MBALIMBALI (6) ZILIZOPO KISUTU
Nimeulizwa ulizwa sana na nimetishwa tishwa sana kwamba nikirudi nitakamatwa, nitakamatwa aidha kwa kesi ambazo zipo au pengine nitafunguliwa kesi nyingine. Naomba hili nalo jilizungumze for the record, kwenye kumbukumbu.

Nina kesi za jinai 6 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Na kesi zote hizi zinahusu kitu kimoja tu; maneno au kauli ambazo nimezitoa ambazo zinaikosoa au kuipinga au kutokukubaliana na sera, matendo au mipango ya Serikali ya Tanzania.

Kwa mijibu wa sheria za Tanzania kwa kadiri ninzavyozifahamu, yote niliyoyasema na kushitakiwa nayo, siyo makosa ya jinai.

Katika kesi hizo zote 6 zilizopo mahakamani, nilikuwa nje kwa dhamana ya mahakama na sijawahi kukimbia wala kuruka dhamana hiyo. Dunia inafahamu, Watanzania wanafahamu na Mahakama inafahamu sababu na mazingira yaliyofanya niondolewe nchini, na ambayo yamenifanya nibaki nje ya nchi hadi hapa ninapozungumza. Ndiyo maana katika kipindi chote hiki, katika kesi zote hizo 6, Mahakama haijafuta dhamana katika hata kesi moja.

Kwahiyo, narudi siyo kama mfungwa aliyekimbia dhamana; narudi siyo kama mhalifu aliyefutiwa dhamana; narudi kama raia huru – ambaye kwa mujibu wa Katiba na Sheria za Tanzania anahesabiwa kuwa huru na kuwa hana hatia hadi hapo Mahakama itakapoamua vinginevyo.

Sasa, hivyo vitisho na kelele kuwa ukija utakamatwa, nitakamatwa kwasababu gani? Nitakamatwa kwa kosa lipi? Mahakama haijafuta dhamana kwa kesi hata moja kati ya hizo 6 nilizozisema.

Kama kuna agenda nyingine ya kunikamata ili kunizuia nisishiriki katika mchakato wa uchaguzi, sasa hilo ni linguine na tutalizungumza endapo litajitokeza.

Kwahiyo niseme tu kwamba, narudi kama raia huru wa Tanzania asiyekuwa na kosa lolote au jinai yoyote.

KUSHIRIKI MCHAKATO WA UCHAGUZI
Narudi ili kushiriki katika mchakato wa kuipatia nchi yetu viongozi wapya kwa miaka mitani inayokuja kuanzia tarehe ya uchaguzi mkuu.

Nawaombeni wananchi, nawaombeni wananchi mujitokeze kwa wingi wenu, kwa mamilioni yenu kila mahali nchini ili mwaka huu tuweze kuamua hatma ya nchi yetu.

Uchaguzi huu utakuwa uchaguzi muhimu kuliko uchaguzi mwingine wowote katika historia ya nchi yetu tangu uhuru.

Uchaguzi huu utaamua kama Tanzania itaendelea kuwa nchi ya vyama vingi vya siasa; kuwa nchi inayoheshimu haki za binadamu; kuwa nchi inayoheshimu utu. Au, uchaguzi huu utaamu tuwe nchi itakayorudi katika zama za giza za utawala wa chama kimoja cha mfumo wa utawala usiojali haki za binadamu ambako neon la mkuu wa nchi ndiyo sheria ya nchi.

Nawaomba, nawaombeni kwa mamilioni yenu katika vyama vyenu, kila moja wenu ajitokeze na ajiandae kushiriki kikamilifu katika mchakato huu wa uchaguzi.

Baada ya haya, naomba niwashukuruni sana. Naomba tukutane siku ya Jumatatu ijayo mchana, nitakapokuwa narejea nyumbani kwetu kuja kukutana na nyie na kuja kuendelea kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi yetu mbele.

Nawashukuruni na Mungu awabariki.

Ahsanteni sana!

Karibu nyumbani kamanda mungu yupo pamoja na ww atakulinda
 
M/Mkiti wa CHADEMA Taifa(B), Mhe. Tundu Lissu, Julai 21, 2020 saa 7.00 mchana atazungumza na Watanzania, atakapohutubia taifa kuhusu safari ya kurejea nyumbani baada ya kuwa nje ya nchi takriban miaka 3 kwa matibabu, tangu aliponusurika jaribio la mauaji, Sep' 7, 2017, Dodoma-Tumaini Makene on twitter.





SHUKRANI
Michango, maombi na sala zenu ndiyo zilizosababisa leo nazungumza habari za kurudi nyumbani.

Nimekaa Ubelgiji kwa miaka miwili na nusu. Niwashukuru majirani na wananchi wenzangu kwa kunihifadhi kwa miaka hii miwili kwa mapenzi na upendo mkubwa, kwa kuniwezesha kujiona sehemu ya maisha yao kwa kipindi hiki cha miaka miwili na nusu.

Nikisema nashukuru ni kwa niaba ya familia yangu, mke wangu watoto wangu na ndugu zangu popote walipo.

USALAMA WANGU
Waliokuja kuniua hiyo siku na waliowatuma au waliowaelekeza bado wanaitwa watu wasiojulikana. Maana yake ni kwamba hao watu bado wapo, na kwasababu bado wapo na hawajasema kama lengo lao la kuniua wameliacha, bado natafakari juu ya maisha yangu. Kwahiyo narudi nchini kwangu katika mazingira ambayo hatari dhidi yangu bado haijaondoka, lakini narudi tu, ni nyumbani kwetu – inabidi nirudi.

Katika hii miezi 6 iliyopita, Uongozi wangu wa Chama, Mwenyekiti wangu wa Taifa Mh. Mbowe ameandika barua kwa vyombo vya ulinzi na usalama wa nchi yetu ili kuomba nipatiwe ulinzi nitakaporudi nyumbani. Hadi sasa tunasubiri majibu ya wakuu wa vyombo vyetu vya usalama ambao ndiyo wana jukumu la kuhakiksha nipo salama nitakaporudi nyumbani. Hata kujibu tu barua hawajafanya hivyo

Naomba niseme hivi kwa ajili ya kumbukumbu, mimi sina na siwezi kuwa na jeshi binafsi la kunilinda. Sina na siwezi kuwa na rafiki au taasisi au nchi itakayotoa jeshi la kunilinda mimi nitakaporudi nyumbani.

Wajibu wa kunilinda mimi kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania ni Jeshi la Polisi la Tanzania. Siyo jeshi la Polisi la Ubelgiji au la Kenya au la nchi nyingine – ni wajibu wa Jeshi la Polisi la Tanzania.

Ninarudi, nafahamu nikiwa mmojawapo wa wanaoomba kuteuliwa na chama change kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa mujibu wa sheria zetu za Uchaguzi, Jeshi la Polisi lina wajibu kisheria wa kuwapatia ulinzi wale ambao wamejitokeza kuomba kuteuliwa kuwa wagombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Narudi nyumbani, natazamia, kuna kipindi nilisema knafuatwa fuatwa, polisi waingilie kati na wakapuuza na matokeo yake nikashambuliwa. Sasa narudi nyumbani, natarajia mara hii Jeshi la Polisi la Tanzania litatekeleza wajibu wake wa kunilinda na kulinda maisha yangu dhidi ya wale wanaowaita "watu wasiojulikana”

KESI MBALIMBALI (6) ZILIZOPO KISUTU
Nimeulizwa ulizwa sana na nimetishwa tishwa sana kwamba nikirudi nitakamatwa, nitakamatwa aidha kwa kesi ambazo zipo au pengine nitafunguliwa kesi nyingine. Naomba hili nalo jilizungumze for the record, kwenye kumbukumbu.

Nina kesi za jinai 6 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Na kesi zote hizi zinahusu kitu kimoja tu; maneno au kauli ambazo nimezitoa ambazo zinaikosoa au kuipinga au kutokukubaliana na sera, matendo au mipango ya Serikali ya Tanzania.

Kwa mijibu wa sheria za Tanzania kwa kadiri ninzavyozifahamu, yote niliyoyasema na kushitakiwa nayo, siyo makosa ya jinai.

Katika kesi hizo zote 6 zilizopo mahakamani, nilikuwa nje kwa dhamana ya mahakama na sijawahi kukimbia wala kuruka dhamana hiyo. Dunia inafahamu, Watanzania wanafahamu na Mahakama inafahamu sababu na mazingira yaliyofanya niondolewe nchini, na ambayo yamenifanya nibaki nje ya nchi hadi hapa ninapozungumza. Ndiyo maana katika kipindi chote hiki, katika kesi zote hizo 6, Mahakama haijafuta dhamana katika hata kesi moja.

Kwahiyo, narudi siyo kama mfungwa aliyekimbia dhamana; narudi siyo kama mhalifu aliyefutiwa dhamana; narudi kama raia huru – ambaye kwa mujibu wa Katiba na Sheria za Tanzania anahesabiwa kuwa huru na kuwa hana hatia hadi hapo Mahakama itakapoamua vinginevyo.

Sasa, hivyo vitisho na kelele kuwa ukija utakamatwa, nitakamatwa kwasababu gani? Nitakamatwa kwa kosa lipi? Mahakama haijafuta dhamana kwa kesi hata moja kati ya hizo 6 nilizozisema.

Kama kuna agenda nyingine ya kunikamata ili kunizuia nisishiriki katika mchakato wa uchaguzi, sasa hilo ni linguine na tutalizungumza endapo litajitokeza.

Kwahiyo niseme tu kwamba, narudi kama raia huru wa Tanzania asiyekuwa na kosa lolote au jinai yoyote.

KUSHIRIKI MCHAKATO WA UCHAGUZI
Narudi ili kushiriki katika mchakato wa kuipatia nchi yetu viongozi wapya kwa miaka mitani inayokuja kuanzia tarehe ya uchaguzi mkuu.

Nawaombeni wananchi, nawaombeni wananchi mujitokeze kwa wingi wenu, kwa mamilioni yenu kila mahali nchini ili mwaka huu tuweze kuamua hatma ya nchi yetu.

Uchaguzi huu utakuwa uchaguzi muhimu kuliko uchaguzi mwingine wowote katika historia ya nchi yetu tangu uhuru.

Uchaguzi huu utaamua kama Tanzania itaendelea kuwa nchi ya vyama vingi vya siasa; kuwa nchi inayoheshimu haki za binadamu; kuwa nchi inayoheshimu utu. Au, uchaguzi huu utaamu tuwe nchi itakayorudi katika zama za giza za utawala wa chama kimoja cha mfumo wa utawala usiojali haki za binadamu ambako neon la mkuu wa nchi ndiyo sheria ya nchi.

Nawaomba, nawaombeni kwa mamilioni yenu katika vyama vyenu, kila moja wenu ajitokeze na ajiandae kushiriki kikamilifu katika mchakato huu wa uchaguzi.

Baada ya haya, naomba niwashukuruni sana. Naomba tukutane siku ya Jumatatu ijayo mchana, nitakapokuwa narejea nyumbani kwetu kuja kukutana na nyie na kuja kuendelea kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi yetu mbele.

Nawashukuruni na Mungu awabariki.

Ahsanteni sana!
Haachi kulialia!
 
M/Mkiti wa CHADEMA Taifa(B), Mhe. Tundu Lissu, Julai 21, 2020 saa 7.00 mchana atazungumza na Watanzania, atakapohutubia taifa kuhusu safari ya kurejea nyumbani baada ya kuwa nje ya nchi takriban miaka 3 kwa matibabu, tangu aliponusurika jaribio la mauaji, Sep' 7, 2017, Dodoma-Tumaini Makene on twitter.





SHUKRANI
Michango, maombi na sala zenu ndiyo zilizosababisa leo nazungumza habari za kurudi nyumbani.

Nimekaa Ubelgiji kwa miaka miwili na nusu. Niwashukuru majirani na wananchi wenzangu kwa kunihifadhi kwa miaka hii miwili kwa mapenzi na upendo mkubwa, kwa kuniwezesha kujiona sehemu ya maisha yao kwa kipindi hiki cha miaka miwili na nusu.

Nikisema nashukuru ni kwa niaba ya familia yangu, mke wangu watoto wangu na ndugu zangu popote walipo.

USALAMA WANGU
Waliokuja kuniua hiyo siku na waliowatuma au waliowaelekeza bado wanaitwa watu wasiojulikana. Maana yake ni kwamba hao watu bado wapo, na kwasababu bado wapo na hawajasema kama lengo lao la kuniua wameliacha, bado natafakari juu ya maisha yangu. Kwahiyo narudi nchini kwangu katika mazingira ambayo hatari dhidi yangu bado haijaondoka, lakini narudi tu, ni nyumbani kwetu – inabidi nirudi.

Katika hii miezi 6 iliyopita, Uongozi wangu wa Chama, Mwenyekiti wangu wa Taifa Mh. Mbowe ameandika barua kwa vyombo vya ulinzi na usalama wa nchi yetu ili kuomba nipatiwe ulinzi nitakaporudi nyumbani. Hadi sasa tunasubiri majibu ya wakuu wa vyombo vyetu vya usalama ambao ndiyo wana jukumu la kuhakiksha nipo salama nitakaporudi nyumbani. Hata kujibu tu barua hawajafanya hivyo

Naomba niseme hivi kwa ajili ya kumbukumbu, mimi sina na siwezi kuwa na jeshi binafsi la kunilinda. Sina na siwezi kuwa na rafiki au taasisi au nchi itakayotoa jeshi la kunilinda mimi nitakaporudi nyumbani.

Wajibu wa kunilinda mimi kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania ni Jeshi la Polisi la Tanzania. Siyo jeshi la Polisi la Ubelgiji au la Kenya au la nchi nyingine – ni wajibu wa Jeshi la Polisi la Tanzania.

Ninarudi, nafahamu nikiwa mmojawapo wa wanaoomba kuteuliwa na chama change kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa mujibu wa sheria zetu za Uchaguzi, Jeshi la Polisi lina wajibu kisheria wa kuwapatia ulinzi wale ambao wamejitokeza kuomba kuteuliwa kuwa wagombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Narudi nyumbani, natazamia, kuna kipindi nilisema knafuatwa fuatwa, polisi waingilie kati na wakapuuza na matokeo yake nikashambuliwa. Sasa narudi nyumbani, natarajia mara hii Jeshi la Polisi la Tanzania litatekeleza wajibu wake wa kunilinda na kulinda maisha yangu dhidi ya wale wanaowaita "watu wasiojulikana”

KESI MBALIMBALI (6) ZILIZOPO KISUTU
Nimeulizwa ulizwa sana na nimetishwa tishwa sana kwamba nikirudi nitakamatwa, nitakamatwa aidha kwa kesi ambazo zipo au pengine nitafunguliwa kesi nyingine. Naomba hili nalo jilizungumze for the record, kwenye kumbukumbu.

Nina kesi za jinai 6 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Na kesi zote hizi zinahusu kitu kimoja tu; maneno au kauli ambazo nimezitoa ambazo zinaikosoa au kuipinga au kutokukubaliana na sera, matendo au mipango ya Serikali ya Tanzania.

Kwa mijibu wa sheria za Tanzania kwa kadiri ninzavyozifahamu, yote niliyoyasema na kushitakiwa nayo, siyo makosa ya jinai.

Katika kesi hizo zote 6 zilizopo mahakamani, nilikuwa nje kwa dhamana ya mahakama na sijawahi kukimbia wala kuruka dhamana hiyo. Dunia inafahamu, Watanzania wanafahamu na Mahakama inafahamu sababu na mazingira yaliyofanya niondolewe nchini, na ambayo yamenifanya nibaki nje ya nchi hadi hapa ninapozungumza. Ndiyo maana katika kipindi chote hiki, katika kesi zote hizo 6, Mahakama haijafuta dhamana katika hata kesi moja.

Kwahiyo, narudi siyo kama mfungwa aliyekimbia dhamana; narudi siyo kama mhalifu aliyefutiwa dhamana; narudi kama raia huru – ambaye kwa mujibu wa Katiba na Sheria za Tanzania anahesabiwa kuwa huru na kuwa hana hatia hadi hapo Mahakama itakapoamua vinginevyo.

Sasa, hivyo vitisho na kelele kuwa ukija utakamatwa, nitakamatwa kwasababu gani? Nitakamatwa kwa kosa lipi? Mahakama haijafuta dhamana kwa kesi hata moja kati ya hizo 6 nilizozisema.

Kama kuna agenda nyingine ya kunikamata ili kunizuia nisishiriki katika mchakato wa uchaguzi, sasa hilo ni linguine na tutalizungumza endapo litajitokeza.

Kwahiyo niseme tu kwamba, narudi kama raia huru wa Tanzania asiyekuwa na kosa lolote au jinai yoyote.

KUSHIRIKI MCHAKATO WA UCHAGUZI
Narudi ili kushiriki katika mchakato wa kuipatia nchi yetu viongozi wapya kwa miaka mitani inayokuja kuanzia tarehe ya uchaguzi mkuu.

Nawaombeni wananchi, nawaombeni wananchi mujitokeze kwa wingi wenu, kwa mamilioni yenu kila mahali nchini ili mwaka huu tuweze kuamua hatma ya nchi yetu.

Uchaguzi huu utakuwa uchaguzi muhimu kuliko uchaguzi mwingine wowote katika historia ya nchi yetu tangu uhuru.

Uchaguzi huu utaamua kama Tanzania itaendelea kuwa nchi ya vyama vingi vya siasa; kuwa nchi inayoheshimu haki za binadamu; kuwa nchi inayoheshimu utu. Au, uchaguzi huu utaamu tuwe nchi itakayorudi katika zama za giza za utawala wa chama kimoja cha mfumo wa utawala usiojali haki za binadamu ambako neon la mkuu wa nchi ndiyo sheria ya nchi.

Nawaomba, nawaombeni kwa mamilioni yenu katika vyama vyenu, kila moja wenu ajitokeze na ajiandae kushiriki kikamilifu katika mchakato huu wa uchaguzi.

Baada ya haya, naomba niwashukuruni sana. Naomba tukutane siku ya Jumatatu ijayo mchana, nitakapokuwa narejea nyumbani kwetu kuja kukutana na nyie na kuja kuendelea kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi yetu mbele.

Nawashukuruni na Mungu awabariki.

Ahsanteni sana!
Ataongea na Watanzania kwa kulihutubia Taifa akiwa kama nani? Anataka ulinzi wa vipi na yeye kama nani? Kwani mbona kila Mtanzania analindwa, yeye anataka ulinzi upi na kwa lipi alilonalo?
 
M/Mkiti wa CHADEMA Taifa(B), Mhe. Tundu Lissu, Julai 21, 2020 saa 7.00 mchana atazungumza na Watanzania, atakapohutubia taifa kuhusu safari ya kurejea nyumbani baada ya kuwa nje ya nchi takriban miaka 3 kwa matibabu, tangu aliponusurika jaribio la mauaji, Sep' 7, 2017, Dodoma-Tumaini Makene on twitter.





SHUKRANI
Michango, maombi na sala zenu ndiyo zilizosababisa leo nazungumza habari za kurudi nyumbani.

Nimekaa Ubelgiji kwa miaka miwili na nusu. Niwashukuru majirani na wananchi wenzangu kwa kunihifadhi kwa miaka hii miwili kwa mapenzi na upendo mkubwa, kwa kuniwezesha kujiona sehemu ya maisha yao kwa kipindi hiki cha miaka miwili na nusu.

Nikisema nashukuru ni kwa niaba ya familia yangu, mke wangu watoto wangu na ndugu zangu popote walipo.

USALAMA WANGU
Waliokuja kuniua hiyo siku na waliowatuma au waliowaelekeza bado wanaitwa watu wasiojulikana. Maana yake ni kwamba hao watu bado wapo, na kwasababu bado wapo na hawajasema kama lengo lao la kuniua wameliacha, bado natafakari juu ya maisha yangu. Kwahiyo narudi nchini kwangu katika mazingira ambayo hatari dhidi yangu bado haijaondoka, lakini narudi tu, ni nyumbani kwetu – inabidi nirudi.

Katika hii miezi 6 iliyopita, Uongozi wangu wa Chama, Mwenyekiti wangu wa Taifa Mh. Mbowe ameandika barua kwa vyombo vya ulinzi na usalama wa nchi yetu ili kuomba nipatiwe ulinzi nitakaporudi nyumbani. Hadi sasa tunasubiri majibu ya wakuu wa vyombo vyetu vya usalama ambao ndiyo wana jukumu la kuhakiksha nipo salama nitakaporudi nyumbani. Hata kujibu tu barua hawajafanya hivyo

Naomba niseme hivi kwa ajili ya kumbukumbu, mimi sina na siwezi kuwa na jeshi binafsi la kunilinda. Sina na siwezi kuwa na rafiki au taasisi au nchi itakayotoa jeshi la kunilinda mimi nitakaporudi nyumbani.

Wajibu wa kunilinda mimi kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania ni Jeshi la Polisi la Tanzania. Siyo jeshi la Polisi la Ubelgiji au la Kenya au la nchi nyingine – ni wajibu wa Jeshi la Polisi la Tanzania.

Ninarudi, nafahamu nikiwa mmojawapo wa wanaoomba kuteuliwa na chama change kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa mujibu wa sheria zetu za Uchaguzi, Jeshi la Polisi lina wajibu kisheria wa kuwapatia ulinzi wale ambao wamejitokeza kuomba kuteuliwa kuwa wagombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Narudi nyumbani, natazamia, kuna kipindi nilisema knafuatwa fuatwa, polisi waingilie kati na wakapuuza na matokeo yake nikashambuliwa. Sasa narudi nyumbani, natarajia mara hii Jeshi la Polisi la Tanzania litatekeleza wajibu wake wa kunilinda na kulinda maisha yangu dhidi ya wale wanaowaita "watu wasiojulikana”

KESI MBALIMBALI (6) ZILIZOPO KISUTU
Nimeulizwa ulizwa sana na nimetishwa tishwa sana kwamba nikirudi nitakamatwa, nitakamatwa aidha kwa kesi ambazo zipo au pengine nitafunguliwa kesi nyingine. Naomba hili nalo jilizungumze for the record, kwenye kumbukumbu.

Nina kesi za jinai 6 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Na kesi zote hizi zinahusu kitu kimoja tu; maneno au kauli ambazo nimezitoa ambazo zinaikosoa au kuipinga au kutokukubaliana na sera, matendo au mipango ya Serikali ya Tanzania.

Kwa mijibu wa sheria za Tanzania kwa kadiri ninzavyozifahamu, yote niliyoyasema na kushitakiwa nayo, siyo makosa ya jinai.

Katika kesi hizo zote 6 zilizopo mahakamani, nilikuwa nje kwa dhamana ya mahakama na sijawahi kukimbia wala kuruka dhamana hiyo. Dunia inafahamu, Watanzania wanafahamu na Mahakama inafahamu sababu na mazingira yaliyofanya niondolewe nchini, na ambayo yamenifanya nibaki nje ya nchi hadi hapa ninapozungumza. Ndiyo maana katika kipindi chote hiki, katika kesi zote hizo 6, Mahakama haijafuta dhamana katika hata kesi moja.

Kwahiyo, narudi siyo kama mfungwa aliyekimbia dhamana; narudi siyo kama mhalifu aliyefutiwa dhamana; narudi kama raia huru – ambaye kwa mujibu wa Katiba na Sheria za Tanzania anahesabiwa kuwa huru na kuwa hana hatia hadi hapo Mahakama itakapoamua vinginevyo.

Sasa, hivyo vitisho na kelele kuwa ukija utakamatwa, nitakamatwa kwasababu gani? Nitakamatwa kwa kosa lipi? Mahakama haijafuta dhamana kwa kesi hata moja kati ya hizo 6 nilizozisema.

Kama kuna agenda nyingine ya kunikamata ili kunizuia nisishiriki katika mchakato wa uchaguzi, sasa hilo ni linguine na tutalizungumza endapo litajitokeza.

Kwahiyo niseme tu kwamba, narudi kama raia huru wa Tanzania asiyekuwa na kosa lolote au jinai yoyote.

KUSHIRIKI MCHAKATO WA UCHAGUZI
Narudi ili kushiriki katika mchakato wa kuipatia nchi yetu viongozi wapya kwa miaka mitani inayokuja kuanzia tarehe ya uchaguzi mkuu.

Nawaombeni wananchi, nawaombeni wananchi mujitokeze kwa wingi wenu, kwa mamilioni yenu kila mahali nchini ili mwaka huu tuweze kuamua hatma ya nchi yetu.

Uchaguzi huu utakuwa uchaguzi muhimu kuliko uchaguzi mwingine wowote katika historia ya nchi yetu tangu uhuru.

Uchaguzi huu utaamua kama Tanzania itaendelea kuwa nchi ya vyama vingi vya siasa; kuwa nchi inayoheshimu haki za binadamu; kuwa nchi inayoheshimu utu. Au, uchaguzi huu utaamu tuwe nchi itakayorudi katika zama za giza za utawala wa chama kimoja cha mfumo wa utawala usiojali haki za binadamu ambako neon la mkuu wa nchi ndiyo sheria ya nchi.

Nawaomba, nawaombeni kwa mamilioni yenu katika vyama vyenu, kila moja wenu ajitokeze na ajiandae kushiriki kikamilifu katika mchakato huu wa uchaguzi.

Baada ya haya, naomba niwashukuruni sana. Naomba tukutane siku ya Jumatatu ijayo mchana, nitakapokuwa narejea nyumbani kwetu kuja kukutana na nyie na kuja kuendelea kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi yetu mbele.

Nawashukuruni na Mungu awabariki.

Ahsanteni sana!

Mungu akubariki mh Lissu walitaka kukuua Mungu akakataa wanasita hata kujibu barua ya ombi la ulinzi wako ambalo ni haki yako kikatiba anyway huu utawala sio wa kawaida shetani Ana makazi yake kwenye nafsi zao usijali wakati si milele viongozi wetu wa dini wapo kimya wanasubiri sadaka zetu jumapili na inawezekana hata tukio la kuwasili kwako likafifishwa na tukio la kupangwa litakalo divert attention usihofu uwe na moyo mkuu Mungu wetu ni mwenye haki.

Karibu Sana nyumbani mtetezi wa kweli wa wanyonge wa Tanzania.
 
Sura
Ataongea na Watanzania kwa kulihutubia Taifa akiwa kama nani? Anataka ulinzi wa vipi na yeye kama nani? Kwani mbona kila Mtanzania analindwa, yeye anataka ulinzi upi na kwa lipi alilonalo?
Roho halisi ya shetani ndio hii Yani huyu ndio shetani mwenyewe kabisa.
 
Back
Top Bottom