Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
Mbona anakopi yaliyowahi kufanya na lowasa.Lowassa pia alipanda madaladala.
Chuki huwa ni sumu mbaya nakuombea hiyo chuki moyoni kwako itokee ubaki salamaHuyu mtu huyu, sjawahi kumkubali na stokuja kumkubali hata nibakie peke yangu ktk msimamo huo kisiasa
Anajiona ni yeye pekee mwelewa na msomi kuliko wote Tz
Anajiona anajua kila kitu licha ya kushindwa kutoa mwelekeo wa kuishinda korona, makelele meeengi kuhusu MIGA yasiyo na ukweli wowote!
Makelele meeengi kuhusu uhusiano wa nchi yetu na mataifa mengine huku Magufuli akiendelea kupokea mabalozi wa nchi mbalimbali
Makelele meeengi kuhusu ujenzi wa nchi yetu unaohusisha vitu, huku akitumia Barabara zilezile anazozikataa zisijengwe!
Makelele meeengi hayana hata maana yoyote
Na cha kumuumiza zaidi''' anashindwa vibaya huyu baba!
JPM, Hana wa kumzuia nafasi yake!!
We! Ndio aliyezaa hawa watu wote walioko nchi hii?!Lissu ndio mwanaume Tanzania
Sio hoja hiyo.!Yeye kapanda lakini Rais Magufuli aliendesha kabisa bus la mwendokasi!
Anaonaje maendeleo hayo ya vitu?“Nimepanda mabasi ya mwendokasi UDART kwa mara ya kwanza. Hapa nimekutana na Dada Rachel ambaye ananipa uzoefu wake wa usafiri huu. Naelekea Kariakoo”.
Hivi CCM ndio civil contractors wa mradi huo?Atapita kila kwa kila ilichotengeneza CCM roho inamuuma hadi anaugua tene
Ukitaka kujua Lissu atapata % ngapi ya kura, angalia video hiyo kwenye mwendo kasi! Ni hivi, statistically - watu wanaoonyesha kumtambua Lissu ndani ya basi hilo ni kama 30%, angalia tena! Lissu ni mtu mkubwa na kama angekuwa na ushawishi mkubwa, zaidi ya 50% ya basi hilo wange kuwa wanamwangalia!“Nimepanda mabasi ya mwendokasi UDART kwa mara ya kwanza. Hapa nimekutana na Dada Rachel ambaye ananipa uzoefu wake wa usafiri huu. Naelekea Kariakoo”.
Hatapigwa marufuku kupanda mwendokasi?😎Lissu anajua kutonesha vidonda balaaa.🤣🤣🤣. Ngoja naniliii amalizane na Chakwera usikie Sirro na Mahera watavolipuka🤣🤣🤣
Atakunywa chai kama Lowasa kwa mama ntilie na kupanda daladala lakini atabaki hivyo hivyo tu.
Mwambie akamuulize Lowasa baada ya uchaguzi bado anapanda daladala au kunywa chai kwa mama ntilie?
Wasituzuge sisi wananchi.
Huyu mtu huyu, sjawahi kumkubali na stokuja kumkubali hata nibakie peke yangu ktk msimamo huo kisiasa
Anajiona ni yeye pekee mwelewa na msomi kuliko wote Tz
Anajiona anajua kila kitu licha ya kushindwa kutoa mwelekeo wa kuishinda korona, makelele meeengi kuhusu MIGA yasiyo na ukweli wowote!
Makelele meeengi kuhusu uhusiano wa nchi yetu na mataifa mengine huku Magufuli akiendelea kupokea mabalozi wa nchi mbalimbali
Makelele meeengi kuhusu ujenzi wa nchi yetu unaohusisha vitu, huku akitumia Barabara zilezile anazozikataa zisijengwe!
Makelele meeengi hayana hata maana yoyote
Na cha kumuumiza zaidi''' anashindwa vibaya huyu baba!
JPM, Hana wa kumzuia nafasi yake!!
Hahahaha eti mtu ambaye hajawahi panda mwendo kasi anaomba uraisi, hata hajui shida za wanyonge, kila kukicha in kwa mabeberu! Tar 28 tutakacho mfanya kwenye sanduku la kura, hatasahau!“Nimepanda mabasi ya mwendokasi UDART kwa mara ya kwanza. Hapa nimekutana na Dada Rachel ambaye ananipa uzoefu wake wa usafiri huu. Naelekea Kariakoo”.
Imagine! Yaani Chadema unaweza sema hawajawahi hata kupita shule. Halafu amepanda kwenye Mwendokasi lakini wala hashobokewi.Eti hii ndio strategy ya ushindi ya Lisu!
Mtupoli yupo gereji baada ya tripu moja ya Shamba...
#NIYEYE #LISSURAIS2020
Kwa hiyo kauli ya CHADEMA kwa tafsiri yako ya kidwanzi unadhani wanapendekeza matumizi ya punda kama usafiri?Sera nzuri za CCM za kuboresha miundombinu ambayo yeye anaita maendeleo ya vitu ndio imempa hiyo nafasi ya kutamba ndani ya mwendokasi.
Just imagine, tungekuwa na maisha magumu kiasi gani kama Mungu angetuumba sisi kwanza bila kuumba vitu.
Chakwera ametumwa na UN kuja kulishawishi hili jinga la hapa kuwa litachakazwa kipigo cha mbwa mwizi kama likicheza na demokrasia. Si unajua malawi walimaliza kwa amani na ustaarabu mkubwa. Wapuuzi wa desturi ni lazima waonywe!Lissu anajua kutonesha vidonda balaaa.🤣🤣🤣. Ngoja naniliii amalizane na Chakwera usikie Sirro na Mahera watavolipuka🤣🤣🤣
Vumilia tu. Hakuna namna. Umchukie usimchukie ndiye Rais halali wa tanzania ijayo.Atapita kila kwa kila ilichotengeneza CCM roho inamuuma hadi anaugua tene
Ccm inamradi gani wa kuwezesha kuwa hadi na hela za kujenga barabara za mwendo kasi?Atapita kila kwa kila ilichotengeneza CCM roho inamuuma hadi anaugua tene