Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
CCM mmekuja kama mafuriko. haya ni maoni tu jamani 2020 bado mbali inaweza ikatokea mashine nyingine zaidi ya TL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Kama magufuli kwa vile alivyo ameweza kuwa rais... lissu anashindwa niniHa ha ha ha.. Lissu ni mzuri sana, ana akili sana, ni mpambanaji sana, na anaijua sheria sana.. Kwa kifupi yuko vizuri sana..
Ila kwa uraisi kwa maoni yangu hapana..
Duh! Ama kweli akutukanaye hakuchagulii tusi!
Eti Tundu Lissu ni zaidi ya Rais Magufuli! Kwa wanaojua maana tumeelewa una maanisha ni zaidi kwenye 'kuropoka ropoka'.
Kama wanazo pesa za kumrudishia Lowassa then Mtu yoyote anaweza kuwa mgombea kwa tiketi ya CHADEMA achilia mbali Tundu Lissu.
Kwa trends zinavyokwenda kuna uwezekano mkubwa hata wabunge wa kambi ya upinzani watapungua baada ya uchaguzi 2020.
Sumaye ndie alimwambia amuuzie nyumba mdogo wake na kidosho chakeHivi kwanini mnajitoa akili? Hizo nyumba za selikali aliuza chini ya boss wake Sumaye, na mnae huko chadema, mfukuzeni huko ili tujue kweli hicho chama chenu hakilei mafisadi.
......
Hivi kwanini mnajitoa akili? Hizo nyumba za selikali aliuza chini ya boss wake Sumaye, na mnae huko chadema, mfukuzeni huko ili tujue kweli hicho chama chenu hakilei mafisadi.
......
Hahahahaha,asimame tu,yaani CCM inashinda bila jasho.Huyo Lissu hana personality ya kumfanya awe Rais.
Hahahahaha,asimame tu,yaani CCM inashinda bila jasho.Huyo Lissu hana personality ya kumfanya awe Rais.
Watu wenye maono kama wewe mko wachache sana.Mkuu Paskali, hata Tundu mwenyewe anajua kuwa ni mzuri sana kwenye nafasi ya kuongea hovyo na kukosoa lakini si utekelezaji. TLS sasa imeshamshinda,hakuna linalofanyika kwa manufaa ya wanasheria.