mjukuum
JF-Expert Member
- Dec 8, 2014
- 5,258
- 2,842
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mwaka 2015 walisema Magufuli hana personality ya kuwa raisHahahahaha,asimame tu,yaani CCM inashinda bila jasho.Huyo Lissu hana personality ya kumfanya awe Rais.
Viva Tundu Lissu....legals hijawahi kumuacha mtu salama!!Lete yako ya maana tuyasome ndugu.
Tundu Lissu ni zaidi ya Rais Magufuli! Happy?Mkuu Kama magufuli kwa vile alivyo ameweza kuwa rais... lissu anashindwa nini
Taja ni kipi Ambacho magufuli anamzidi lissu.. labda anamzidi kwa Sababu ameshiriki ufisadi Wa kuuza nyumba za serikali na kivuko kibovu.. ilihali lisu hajawahi kuiba hata sindano
Mimi sikuulizi kwasababu naona wazi Tundu Lisu ni zaidi ya Magufuli katika nini, uwezo wa Magu ndo ulionifanya hata mimi nijione ni presidential material, namimi sisemi Lisu ni zaidi ya Magufuli katika nini ili nisipimwe mkojo.NB. Sijasema Lissu ni zaidi ya Magufuli kwenye nini, na nawaomba sana msiniulize
Do you know meaning of personality??? Magufuli anayo personality gani kuliko Tundu.Hahahahaha,asimame tu,yaani CCM inashinda bila jasho.Huyo Lissu hana personality ya kumfanya awe Rais.
Swali lako muulize mleta mada.Sa
Sasa kuna mtu nchi hii anaropoka kama mtukufu?
Ya maana Lissu for PresidentLete yako ya maana tuyasome ndugu.
Hakuna cha payroll wala nini majungu tu hayoMkuu Paskali angalia na wewe tusikuunganishe na LISSU kwenye kundi la wale walioko kwenye payroll ya ACACIA na washirika wake.
Ya maana Lissu for President
Hakuna tusi hapo.Jifunze kujadili na si kutukana ili watu wafuate msimamo wako.