ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,280
- 5,979
[HASHTAG]#Mkuu[/HASHTAG] Pasco. Kwa udadisi Mdogo, Wanasheria sio material katika kuongoza watu. Ni sawa na wakemia. Kundi lingine ni wahasibu. Makundi matatu haya yana mapungufu sana katika utoaji maamuzi.
Kuongoza watu ni zaidi ya mambo mengi ,maono ,hekima,busara, uvumilivu, machale na imani ktk Mungu!
Economist, Marketing practitioners, Waalimu ( wa sanaa subjects) Sociologists wanaweza kuwa viongozi wazuri wakiandaliwa.
Kuongoza watu ni zaidi ya mambo mengi ,maono ,hekima,busara, uvumilivu, machale na imani ktk Mungu!
Economist, Marketing practitioners, Waalimu ( wa sanaa subjects) Sociologists wanaweza kuwa viongozi wazuri wakiandaliwa.