Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Ha ha ha ha.. Lissu ni mzuri sana, ana akili sana, ni mpambanaji sana, na anaijua sheria sana.. Kwa kifupi yuko vizuri sana..
Ila kwa uraisi kwa maoni yangu hapana..
Mkuu Sosoliso, kwanini unasema Lissu kwa urais hapana?.
Kwa hiyo Chadema wame bugi step kumpitisha?
P
 
Ulikuwa unajitekenya na kucheka mwenyewe Mnampala
 
Hana jipya, alafu ukisoma huu uzi vyema utawagundua wanafiki wengi sana ambao walikuwa wakimponda TL na sasa eti ni wanaharakati wanaomkubali.
Kila Goti Litapigwa kwa Lissu.

Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la Pembeni(kona)
 
Labda , mimi nionavyo. Uonavyo wewe sema, haya ni maoni ya sisi wapiga kura kufuatana na hali ya kisiasa tunavyo iona.
Upo sahihi kbs.

Kaka Paschal aliona mbali kwa hii article yake na mara nyingi huwa prophecy zake zinatimiaga. Nataman kama kutakuwa na mdahalo ngazi ya Urais, yeye ndiye awe muongazaji mkuu wa mdahalo huo maana ana maswali fikirishi na yenye faida kwa Taifa.
 
Wewe ni mnafiki.
Only imbeciles ndo huwa hawanadiliki. Hata kama anaona anakwenda kwenye moto yeye anakwenda tu. Yes by then Lissu nilimwona hafai mbele ya Magufuli. Ila sasa Magufuli kuna vitu kaharibu naona bora Lissu. Tatizo lipo wapi ?Wapumbavu peke yao ndo huwa hawabadili misimamo yao hata kama msimamo wa mwanzo unawapeleka kwenye hatari. Iam not stupid.
 
Nimekunyooshea mikono Victoire uko vizuri sana kwenye sector ya unafiki.
 
This was 2017.Tupo 2020 by now. VITU VINGI SANA VIMEBADILIKA. NI IMBÉCILES PEKE YAO NDO HAWABADILIKI KATIKA SITUATION AMBAZO WANATAKIWA KUBADILIKA.
Narudia Tena Ni mpumbavu pekee anaweza akabaki na msimamo wake wa awali hata Kama unaenda kumpelekea umauti. Welevu hubadilika kulingana na nyakati na mifumo
 
Mkuu Waberoya, maadam sasa ni Lissu kapitishwa Chadema, jee akipitishwa na NEC, ndie atakuwa rais?.
P

Kapitishwa na CHADEMA yote? Kutokoa mioyoni mwao? Wanaamini anaweza kabisa kuwa rais?

Yaani wanaamini kabisa au wako under influence? Au sympathy? Au hakuna alternative?

Naomba tu niyatoe maneno yangu au niifute post,

Hawezi kuwa rais, sitamani awe rais,nitaomba asiwe rais
 
utashangaa na roho yako
 
Mh. Pasco, kuna jambo moja tu, Magu na Lisu wanafanana
Naunga mkono hoja, ndio maana nilipandisha bandiko hili.
P
 
Siyo matamanio yote anayo kuwa nayo Mtu, yanatimiaga! Ugua pole!!
 
Tutajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…