Waooh, Lissu anaenda kuwa rais mana kama leo unamkubal lakin 2017 ulimkataa, manake ni wengi sana wamemkubal lakin mwanzo walimkataaKama ulivyosema that was then,kwa sasa Lissu anafaa kuwa Rais kuliko Magufuli .Kura yangu Lissu anayo.
Mkuu, nilishabadilisha mawazo mbona.. Kwa sasa na hali ambayo tumeingia, Tundu Lissu anafaa sana kuwa raisi.. Kuna watanzania wengi wamenyimwa haki zao na mahakama ambazo ndo tegemeo lao zimedharauliwa, Lissu akiwa kama muumini mzuri wa sheria, naamini atahakikisha sheria zinafuatwa kila anaestahili haki yake apate.Mkuu sosoliso , kwanini kwa urais Lissu hapana?.
P
Safi Sana kwa kuyaona mapungufu ya Jiwe.Ambayo ni hatarishi kwa mustakibali wa Taifa letu!Mkuu, nilishabadilisha mawazo mbona.. Kwa sasa na hali ambayo tumeingia, Tundu Lissu anafaa sana kuwa raisi.. Kuna watanzania wengi wamenyimwa haki zao na mahakama ambazo ndo tegemeo lao zimedharauliwa, Lissu akiwa kama muumini mzuri wa sheria, naamini atahakikisha sheria zinafuatwa kila anaestahili haki yake apate..
Pia kumekuwa na uvunjivu wa katiba, Lissu akiwa ni muumini mzur wa sheria, naamini atalifanyia kazi hili na kuweka misingi mizuri hata kwa raisi ajaye baada ya yeye kutoweza kuvunja katiba..
Mkuu Obama wa Bongo , kwanini Lissu sio presidential material?.Lissu ni mwanaharakati sio presidential material......
Duh... kumbe kuna vyama havina mwelekeo...!.Paskali,
chadema hakina muelekeo na sasa
siasa ni mchezo hauhitaji hasira kaka. Tufanye kazi tuliyowaahidi wananchi. Yale tunayoatenda ndiyo mtaji wetu 2020, sasa kama maumivu yakiwa mengi vifuani mwa watu kuliko hayo 'mazuri' unayoamini ulitenda, basi amini nakuambia, usiku mmoja wa kuamkia kupiga kura huwa watosha sana kubadili upepo wa mpiga kura alnayejitambua. Sembuse mwezi mmoja wa kampeni?
Mkuu Muyobhyo , kwanini unasema Tundu Lissu akigombea urais ni ngumu kupita kwa sasa?. Unamaanisha hivi Lissu anavyogombea ni anajifurahisha tuu, lakini hatapita?.Pascal, Tundu akigombea uraisi ni ngumu kupita kwa sasa, hapo agombee tu huo huo ubunge ila tu wapinzani wakazane kupata viti kwa wingi bungeni, akigombea uraisi atakosa na bunge halitaweza kuwa chachu kama lilivyo kwa sasa
It's 2020 now, Lissu na Magufuli, nani ana 'personality' ya kuwa Raisi?!!Hahahahaha, asimame tu, yaani CCM inashinda bila jasho.Huyo Lissu hana personality ya kumfanya awe Rais.
Lissu of course !It's 2020 now, Lissu na Magufuli, nani ana 'personality' ya kuwa Raisi?!!
Mkuu Juvenile, kwanini unasema uhakika wa upinzani kuingia Ikulu ni ni 0%?.Ofcoz lisu yupo vizuri sana,ila uhakika wa upinzani kuingia ikulu kwa miaka yetu hii ni 0% hata kama tukishinda hatuwezi kukabidhiwa nchi.so sio kwa ushindani ulio dhahili hatuwezi kupewa ubingwa hata kama tumeshinda.
This country can not afford a crippled commander in chief ! Na hatari ni kwamba TL will put foward revenge against JPM and his party ahead of peoples development as he indicts him for failed assassination attempt. Look at the way he is angrily expressing himself in the western media, hata hao wa marekani wanamchora tuu they are not stupid they know this country inside out. Asidhani anachowaeleza wao hawajui!! CIA spies are everywhere around the world and they know many things about us and the country. Kumbuka Morgan Tsvangirai wa ZIMBABWE ilikuaje mpaka wakamdump ending up dying lonely in SA ! Leo hii they want to catapult Juan Gwaido to president of Venezuela sio kwa vile wanampenda na wanawahurumia wavenezuela but because they want regime change and he looks a man to carry their agenda. What they want ni mafuta ya Venezuela! So the they what to introduce havoc in the oil rich nation so they can keep nationals busy fighting while they siphon the liquid gold !
I have never seen Juan Guado parading the corridors of Washington or London media outlets and academic institutions trumpeting the ills of president Maduro as TL is doing for JPM (may be you will argue he hasn't been riddled by 16 bullets) but yet the Americans have spotted him (he is speaker of the opposition led parliament in Venezuela, TL is chief Whip of opposition in our parliament) for the regime change they want.
You put it correctly TL is no different from JPM, he can be even worse ! I remember back in time in JKT I happened to serve with him at Mafinga National Service camp in the late eighties he had the same rhetoric and occasionally we were punished unnecessarily because of his arrogance! When we were at Dar Varsity he went to become DARUSO president, look at how he was pulled down unceremoniously! Because of his extremism! LEADERSHIP IS ENDOWMENT. These are personal views not aligned to any political party.
Mkuu Daisam , Unamaanisha hao wanaomuona Lissu anafaa ni misukule?.TL hafai hata kidogo kuwa Rais wa nchi kwa sababu: -
(1)Hana staha
(2)Ni mropokaji
(3)Hajui kuongea kwa ustaarabu, yaani ni mtu wa MATUSI, KEJELI nk.
(4)Ana elements za UDINI, UKABILA na UKANDA.
(5)Yeye ama ni MUONGO au TAPELI.
Kwa sababu alituaminisha kwa nguvu zote kuwa EL ni fisadi hatimaye EL alipohamia kwao akaonekana kama Almasi.
Kwa hiyo mtu mwenye sifa mbovu kama hizo hafai hata kidogo kuwa Rais wa nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusema mtu fulani Hana akiri ni uwezo wa fikra wa msemaji mwenyewe..ukimuliza mtu wa tatu kuhusu msemaji utashangaaa nae atasema "Hana akiri!kipimo cha akili ya mtu ni mahesabu ya fikra "kwa ufupi katika maisha karbia wote hatuna akiri "mana fikra yangu yaweza kuwa ni kukosa akili kwa mtu mwingine!Mkuu Mudawote , jee hili la Tundu Lissu kuwa na matatizo ya akili una uhakika nalo?. Miongoni mwa sifa za kugombea ni pamoja na kuwa na akili timamu, unaweza kuthibitisha kuwa Tundu Lissu ana matatizo yake binafsi ya kiakili?.
P
Some people have been fooled by ongoing dramas by the rulling government to the extent that, they think no one else can make a better president than JPM...It is clearly visible that Hon Tundu Lissu Is far better than Jpm In aspects ofWaminepo,
Just remain with your personal views which is aligned to Magufuli and his Political party CCM!
I tell you, H.E. Tundu Antipas Lissu can be a better President than Magufuli.
Hata kina Mandela, Mwl. Nyerere, Samora Machel,etc, walionekana ni Wapinzani, Wachochezi, Wakorofi, wajeuri, whatever you call them.
Lakini mwisho wa siku ndio walikuja kuonekana kuwa Viongozi bora, mahiri, weledi na wenye vipaji vya kuongoza.
Tundu Antipas Lissu differs not to those fallen heroes of our time!!!!
Ati kwa vile ulikuwa pamoja Tundu Lissu JKT na Dar Varsity basi hafai kuwa Rais.....!!! Kinachooenekana hapa ni wivu tu maana hiyo ni hulka ya Waswahili. Hatutaki kuona mwenzetu tulisoma naye, cheza naye au kuishi naye awe na mafanikio kutupita......maana ataturingia au atajidai.....upuuzi!!
UKO SAHIHI SANA. Na yote ni kutokana na kuwaza tofauti na kuyachukulia mawazo kwa uzito tofauti.Kusema mtu fulani Hana akiri ni uwezo wa fikra wa msemaji mwenyewe..ukimuliza mtu wa tatu kuhusu msemaji utashangaaa nae atasema "Hana akiri!kipimo cha akili ya mtu ni mahesabu ya fikra "kwa ufupi katika maisha karbia wote hatuna akiri "mana fikra yangu yaweza kuwa ni kukosa akili kwa mtu mwingine!!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Mkuu GuDume, hapa Unamaanisha nini?, unamaana wote wanaomuona Tundu Lissu anaweza kuwa rais wa nchi hii, hawana akili timamu?.Na huwezi kuwa na akili timamu ukafikiria TL anaweza kuwa rais wa nchi hii.. kwa akili zako kuna siku utasema hata Lusinde au Kibajaji anaweza kuwa rais...watanzania wenye akili wanakusoma wanakuoa kiazi sana.