Tundu Lissu ni clever but not Intelligent person. Ni Kiongozi mwenye papara sana na hana utulivu kabisa

Tundu Lissu ni clever but not Intelligent person. Ni Kiongozi mwenye papara sana na hana utulivu kabisa

Hoja yangu ni kwamba ,jambo bado lipo kwenye very early stage mno! Hakukuwa na sababu ya kuita Press badala yake angejipa muda wa kufuatilia suala Hilo kwa makini na utulivu bila kuwapa maadui zake nafasi ya kusoma mawazo yake!
Sasa hapo maadui zake washajua mawazo yake yote ( end game) na ni rahisi sana wao ku- interfere na kum fix Lissu!
Kwenye vita Kuna battle tactics ( concealment and camouflage), ili ushinde ubweki bweki hovyo kama mbwa mwenye kichaa,!
Wengi hapa sababu ya upeo mdogo wanadhani nina chuki na Mhe.Tundu Lissu!
Mimi shida yangu ni ukurupukaji na uropokaji wake tu!
Si mtu wa kujipa muda kutafakari mambo na kuchukua hatua makini!
Tundu Lissu ni attention Seeker tu!

Acha kujivua nguo. Lissu anaenda kufungua kesi yake tofauti na huyo mzungu. Lazima utofautishe kesi ya Lissu na huyo polisi mzungu.
 
Wewe hujaelewa hoja yangu!
Mimi sipangani na facts bali approach ya Mhe.Tundu Lissu katika jambo hili!
Bado liko kwenye very early stage mno ! Hakuwa na sababu ya kuita Press kwa sasa bali angekuwa mtu makini angejipa muda kwanza kufuatilia hiyo case ili kuweza kupata data za kutosha za kumwezesha ktk case yake endapo ataamua kumfungulia yeyote yule!
Sasa hapa Tundu Lissu anakurupuka mithili ya Mwajuma kandambili wa uswazi!

Wewe bush lawyer tofautisha kesi ya Unfair termination na kesi ya kuwapa taarifa wahalifu wamjeruhi Mteja.
 
Wewe umeongea jambo kwa mizani nzuri.
Jamaa wa unyamwezini ng'ambo hawawezi kukubali kampuni yao kubwa MIC ipoteze pesa nyingi kirahisi hivyo.
Acha Lissu atumie fursa hii kisiasa atapata kitu flani kisiasa.

Sio kweli. Kasome kesi ya Radar, bunge la uingereza lilikomalia kampuni yao irudishe chenji Tanzania. Na kweli ile chenji ilirudi tukatengeneza madawati
 
Bongo kuwa mwanasiasa haihitaji ubongo. Hivi hata nakala ya gazeti anayo kweli.? Ile ajenda ya juzi watu washasahau sasa hivi wako London 😆😆😆😆😆😆😆
 
Unfortunately that’s just your opinion of me, but that doesn’t define me.

That’s just your psychological thinking of me.

Halikadhalika katika kujiongeza kwangu, sifikirii kabisa kuhusu how econonist wa JF thinks of my development. .

I won’t even remember what we argued about two weeks ago if we were on the same page or in disagreement. I have so much to worry in life than live with JF debates in my mind.

Good for you if your head has space for that.
A hypocrite at your finest, all these blah blah whilst your head has space for Lissu issues. So pathetic.
 
Nimemsikiliza Tundu Lissu kwa makini sana!

Nina sympathize naye kwa masaibu aliyopata lakini kwenye hili jambo kakurupuka sana!

Huwezi shinda vita yoyote ya maana bila mkakati wa maana!
(The Art of War by Sun Zu)!

Tundu Lissu angejipa muda kwanza na angefuatilia hiyo case ya Uingereza huku akikusanya ushahidi taratibu.

Angesubiri aone pia kama Judgement ingekuwa in favor ya huyo Whistle Blower wake Michael Clifford then angekuwa kwenye position nzuri ya kufanya well informed decision!

Kaonyesha weakness kubwa sana, sema tu watu wengi ni mediocres wanamsifia tu bila reasoning ya maana!

Sana sana nimemsikia akibeza Mahakama zetu za Profesa Juma!!

Soma Pia:

Ameonyesha tamaa ya kulipwa mapesa mengi na Tigo!! Amedhihirisha pia siyo mzalendo na kumbe ni kweli Hayati Magufuli alikuwa sahihi kwamba anashirikuana na maadui zetu kukamata Ndege zetu!!

Tundu Lissu ni mkurupukaji sana! Utulivu zero kabisa!
Kabisa amekurupuka sana, hana subira.
 
Huna hoja na wewe ni mkurupukaji na mropokaji tu kama Mhe.Tundu Lissu!
Mawazo na mikakati ya Lissu imeshajulikana!
Yeye ameshaona atashinda kesi ya mabilioni dhidi ya Tigo na Serikali na hatimaye kukamata Ndege zetu kwa ajili ya malipo yake! Very Stupid reasoning toka kwa mtu mwenye hadhi ya Lissu!

Wewe ndio una stupid reasoning. Unajiita Mwanasheria unashindwa kutofautisha kesi ya Lissu na huyo mzungu wa Tigo? Ni kesi mbili tofauti
 
Nimemsikiliza Tundu Lissu kwa makini sana!

Nina sympathize naye kwa masaibu aliyopata lakini kwenye hili jambo kakurupuka sana!

Huwezi shinda vita yoyote ya maana bila mkakati wa maana!
(The Art of War by Sun Zu)!

Tundu Lissu angejipa muda kwanza na angefuatilia hiyo case ya Uingereza huku akikusanya ushahidi taratibu.

Angesubiri aone pia kama Judgement ingekuwa in favor ya huyo Whistle Blower wake Michael Clifford then angekuwa kwenye position nzuri ya kufanya well informed decision!

Kaonyesha weakness kubwa sana, sema tu watu wengi ni mediocres wanamsifia tu bila reasoning ya maana!

Sana sana nimemsikia akibeza Mahakama zetu za Profesa Juma!!

Soma Pia:

Ameonyesha tamaa ya kulipwa mapesa mengi na Tigo!! Amedhihirisha pia siyo mzalendo na kumbe ni kweli Hayati Magufuli alikuwa sahihi kwamba anashirikuana na maadui zetu kukamata Ndege zetu!!

Tundu Lissu ni mkurupukaji sana! Utulivu zero kabisa!
Sidhani kama msingi wa kesi utategemea huyo white men kushinda au kushindwa. Nadhani cha msingi kwa Lisu ni ule ushahidi ambao yule amepeleka mahakamani na Milicom hawajaukana isipokuwa wamekuwa silence na utetezi wao ikawa kwamba jamaa alipewa redundancy ya kawaida. Soma vizuri the Gurdian ya UK na magazeti mengine
 
Nimemsikiliza Tundu Lissu kwa makini sana!

Nina sympathize naye kwa masaibu aliyopata lakini kwenye hili jambo kakurupuka sana!

Huwezi shinda vita yoyote ya maana bila mkakati wa maana!
(The Art of War by Sun Zu)!

Tundu Lissu angejipa muda kwanza na angefuatilia hiyo case ya Uingereza huku akikusanya ushahidi taratibu.

Angesubiri aone pia kama Judgement ingekuwa in favor ya huyo Whistle Blower wake Michael Clifford then angekuwa kwenye position nzuri ya kufanya well informed decision!

Kaonyesha weakness kubwa sana, sema tu watu wengi ni mediocres wanamsifia tu bila reasoning ya maana!

Sana sana nimemsikia akibeza Mahakama zetu za Profesa Juma!!

Soma Pia:

Ameonyesha tamaa ya kulipwa mapesa mengi na Tigo!! Amedhihirisha pia siyo mzalendo na kumbe ni kweli Hayati Magufuli alikuwa sahihi kwamba anashirikuana na maadui zetu kukamata Ndege zetu!!

Tundu Lissu ni mkurupukaji sana! Utulivu zero kabisa!
Wewe nae umekurupuka kuleta mada bila kuelewa. Kaeleza kuwa baada ya wakili wake Mr Amsterdam kupenyezewa habari hizi, wakili huyo alituma mawakili kwenye kesi hii na wakachukua nyaraka zote muhimu ambao ndio ushahidi. Kaeleza zaidi kuwa, katika shauri hili, Tigo haikukanusha kutoa habari hizo kwa Serikali ila, hoja ni kuwa Michael Clifford hakufukuzwa kazi kutokana na utoaji wa taarifa hizo. Hivyo, uwe unasikiliza vitu na kuvielewa kabla ya kuleta ujuaji.
 
Unfortunately that’s just your opinion of me, but that doesn’t define me.

That’s just your psychological thinking of me.

Halikadhalika katika kujiongeza kwangu, sifikirii kabisa kuhusu how econonist wa JF thinks of my development. .

I won’t even remember what we argued about two weeks ago if we were on the same page or in disagreement. I have so much to worry in life than live with JF debates in my mind.

Good for you if your head has space for that.

The truth hurts.
 
Nimemsikiliza Tundu Lissu kwa makini sana!

Nina sympathize naye kwa masaibu aliyopata lakini kwenye hili jambo kakurupuka sana!

Huwezi shinda vita yoyote ya maana bila mkakati wa maana!
(The Art of War by Sun Zu)!

Tundu Lissu angejipa muda kwanza na angefuatilia hiyo case ya Uingereza huku akikusanya ushahidi taratibu.

Angesubiri aone pia kama Judgement ingekuwa in favor ya huyo Whistle Blower wake Michael Clifford then angekuwa kwenye position nzuri ya kufanya well informed decision!

Kaonyesha weakness kubwa sana, sema tu watu wengi ni mediocres wanamsifia tu bila reasoning ya maana!

Sana sana nimemsikia akibeza Mahakama zetu za Profesa Juma!!

Soma Pia:

Ameonyesha tamaa ya kulipwa mapesa mengi na Tigo!! Amedhihirisha pia siyo mzalendo na kumbe ni kweli Hayati Magufuli alikuwa sahihi kwamba anashirikuana na maadui zetu kukamata Ndege zetu!!

Tundu Lissu ni mkurupukaji sana! Utulivu zero kabisa!
"anashirikiana kukamata ndege zetu" amawezaje
 
Back
Top Bottom