Tundu Lissu ni shujaa wa Taifa hili. Hizi figisu anazofanyiwa na serikali ya CCM kupitia jeshi la Polisi, zinamjenga zaidi kuliko kummaliza

Tundu Lissu ni shujaa wa Taifa hili. Hizi figisu anazofanyiwa na serikali ya CCM kupitia jeshi la Polisi, zinamjenga zaidi kuliko kummaliza

Tanzania ni nchi moja ya JMT, na uraia wa Tanzania ni uraia mmoja wa JMT, unaowahusisha Watanzania wote na raia wote wa JMT wana equal status, hakuna uraia wa wenyewe au wenyeji na uraia wa watu wa kuja, wote ni Watanzania sawa na wana haki sawa ikiwemo kutawala na kuteuliwa kuongoza popote!
P
Lini mtu kutoka bara kateuliwa kuwa DC/RC huko Zanzibar?
 
Back
Top Bottom