Tanzania ni nchi moja ya JMT, na uraia wa Tanzania ni uraia mmoja wa JMT, unaowahusisha Watanzania wote na raia wote wa JMT wana equal status, hakuna uraia wa wenyewe au wenyeji na uraia wa watu wa kuja, wote ni Watanzania sawa na wana haki sawa ikiwemo kutawala na kuteuliwa kuongoza popote!
P