Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Hata wale Viti Maalum wa CCM nao wanakula tu kodi zetu. Wana kazi gani wale!! Wanamuwakilisha nani pale Bungeni?
Zaidi tu ya kupiga vigelegele na kushindana kwenye uvaaji wa mavazi ya gharama?
Katiba ya Wananchi ilifutilia mbali huu ujinga wote wa viti maalum na pia ule wa wale marafiki 10 wa Rais.
#Bring back our New Citezens Constitution#
Zaidi tu ya kupiga vigelegele na kushindana kwenye uvaaji wa mavazi ya gharama?
Katiba ya Wananchi ilifutilia mbali huu ujinga wote wa viti maalum na pia ule wa wale marafiki 10 wa Rais.
#Bring back our New Citezens Constitution#