Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Kama kubet kupo ntabet Magufuli kushinda majority kihalali, hata kama pesa sina ntauza baiskeli yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.
Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.
My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.
Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Uoga ni aibu.Wewe si ndugu Yake? Mtakaa mbele
Kijana wa mabeberu kaja na mpango toka kwa mabeberuHiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.
Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.
My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.
Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Tuwekee link mkuuWandugu kwa kifupi tu Lissu anamvua mtu nguo huko Mlimani city. Speech ya hatari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kudadeki barabarani hatutoingia, amuulize Mange
We shall overcomeHuku 'site' tunasemaga...'upele umefika kwa mkunaji'
Mboga moto,ugali moto na hakuna kusubiri kipoe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Wewe si ndugu Yake? Mtakaa mbele
Ndio nini hiki?Wandugu kwa kifupi tu Lissu anamvua mtu nguo huko Mlimani city. Speech ya hatari
Kuibiwa ukizubaa ni moja ya mkakati wa kisiasa na ushindiNdio hawezi kushinda, ila msiibe
Amri ya NANE inasema USIIBE.Kijana wa mabeberu kaja na mpango toka kwa mabeberu
Hakika waTanzania hatutompa nafasi kwa mipango kama hii
CCM na vyombo vyao vya habari pamoja na TCRA ni wajinga sana . Lissu Leo kaanza kumvua nguo namba moja Eti wamekata matangazo yote ya Live streaming!!Tuwekee link mkuu
Nguo gani suruali au shati?Wandugu kwa kifupi tu Lissu anamvua mtu nguo huko Mlimani city. Speech ya hatari