Kama ana akili mpeni uenyekiti Chadema
lisu ni sawa kabisa 100%
kufeli kidiplomasia,kwani wapiga kura ni mabwana zenu wazungu?Lowassa,Sumaye ni wakongwe Chadema?Nazani safari hii Chadema wanasahihisha makosa yao.
Tuliwashauri kuwa unapokutana na mchina usiongee kiswahili wakati yeye anatema kichina, hamtoelewana.
Kuingia kwenye uchaguzi wakati mpinzani wako ndiye mmiliki wa tume pamoja na vyombo vya ulinzi alafu unategemea kushinda na kutangwaza mshindi, da! Huko ni kuota ndoto za mchana tena ukiwa unaogelea ndani ya swimming pool
Ndio, unapokutana na mchina wote walima muongee lugha moja ndipo mtaoelewana.
Kama wao wanamiliki vikosi vya ulinzi na nyie milikini vya kwenu, ( Rejea maamuzi ya binge la Ulaya "TUTATOA MSAADA/ULINZI WOWOTE UTAKAO HITAJIKA KWA WAPIGANIA HAKI, WANAHARAKATI" )
Hiyo in fursa adimu wakati sahihi.
Kama wao wanamiliki tume ya uchaguzi basis na ninyi milikini ya kwenu, Rejea tamko la USA kupiti waziri wa mambo ya nje "2020 in lazima tusimamie/kuakikisha uchaguzi huru na wahaki unafanyika"
Hapo jecha atakimbia.
Toka vyama vingi vianzishwe hakuna kipindi kizuri kwa wapinzani kama 2020 na hii ni kwasababu:-
1: Serekali ya awamu ya tano imefeli kwenye mambo ya kidiplomasia
2:Watumishi wengi wa uma na sekta binafsi wanalia hali ngumu na hawaoni matumaini
3: Ccm imewazarau wakongwe wao na kuwapa nafasi watu wasiokijua chama.
4:Watu wamenyimwa juongea na vifuwa vyao vimejaa na watakapopata nafasi lazima waongee kwa ngumi,mateke nk.
5:..........
6:...........
7;...........
NB😀hahabu iliyosafi ni lazima ipite kwenye tanuru la mito ndipo itang'aa. Taifa lazima litikisike ili likitulia tuwe na historia sahihi itakayotuongoza mbele na kuwafanya viongozi kujua nini gharama halisi ya uonevu.
Kwenye ufahamu na aelewe....
Kelele za Membe zililetwa na Bashiru Ally sijui huyu kawa Cdm lini ?!.Chadema bwana
Juzi tu wanapiga kelele twende na Membe leo washamsahau wameanza na Lisu tena. Aliyewaita nyumbu aliwaza mbali sana
taahira ambaye tangu 1995 unaamini upinzani utashika nchi?
bado na hali ya sasa ya kisiasa na hali ya wapinzani utegemee Lissu kuwa rais? bora kuwa taahira basi ..ha ha
Kumbe ulipigwa makofi kweli mh NW !!Kubenea alisababisha mkaitisha vikao vya dharura kumbembeleza asihame
elezea kidogoIle pacemaker inalipuka sasa.
mzee wa rejea
Wewe mwenyewe ni admirer wa lissu. Taarifa tunazo.Zitto ana mapungufu yake lakini namuona ni mzuri kias chake kwenye uongozi kuliko ata mpiga kelele Lissu! Lissu ni mpiga kelele tu lakini mweupe sana japo kwa wote simuoni wa kumshindanisha na Magufuli
Nia huanzia kwa muhusika siyo ktk chama. Hata hao waliokwisha kuwa madarakani na waliopo,vyama havikuwatangazia nia. Nimekupa elimu tuLissu aseme hivyo kirahisi rahisi bila ridhaa ya Chama chake!
..gazeti limeandika ili kuuza habari.
..soma vizuri kwenye maandishi madogo chini ya kichwa cha habari ktk makals ya gazeti iliyokuwa-posted, Lissu amesema ikiwa vikao vitaamua atagombea.
..kauli hiyo ni tofauti na wale wanaotamka kuwa wanagombea, au wanaochukua fomu za maombi ya kugombea Uraisi.
Mkuu heshima kwako.kufeli kidiplomasia,kwani wapiga kura ni mabwana zenu wazungu?Lowassa,Sumaye ni wakongwe Chadema?
Heeee! Barabara peke yake ndiyo zinabeba maisha yote ya wananchi!!!! Ama kweli upande ule vichwa pombe!unanikumbusha mwanamke akizaa watoto wawili, wakati anazaa anajiapiza hazai tena!..ghafla mimba
hivi kwa TZ hii, tume hii, upinzani huu na record za JPM za barabara kila kona, Lissu anamtisha nani??
kama EL alifikia pale, record yake haiji kuvunjwa miaka ya karibuni
Hujui kuandika,rudi shule kwanza.Mkuu heshima kwako.
Raid lazima apikwe na kuiva, awe ni mtu mwenye uwezo wa kuzicheza siasa za ndani na kimataifa, zaidi za kimataifa.
Kosa la ccm ni kutomwandaa Magu,waliangalia upepo unavyovuma na kufanya maamuzi bila kujua upepo utatulia na mambo yatatakiwa kusonga mbele.
Nchi ka USA inapompata Raid anayesuasua kwenye siasa za kimataifa wanamwondoa. Sasa kama taiga Kubwa linajua umuhimu wa saiasa za kimataifa sembuse sisi tunaochechemea!?
Sikukuu njema
Membe ndio john akaaye magogoni?Membe???