Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

Mwaka 2013 Zitto alitangaza nia ya kugombea urais 2015 chama kikampa onyo kali na baadaye kikamfukuza kwa kuonesha nia nje ya utaratibu wa chama!

Huyu naye sijui kama atasalimika! Na vile mmiliki halali wa chama bado ana nia. Ngoja tuone.
 
kufeli kidiplomasia,kwani wapiga kura ni mabwana zenu wazungu?Lowassa,Sumaye ni wakongwe Chadema?
 
taahira ambaye tangu 1995 unaamini upinzani utashika nchi?

bado na hali ya sasa ya kisiasa na hali ya wapinzani utegemee Lissu kuwa rais? bora kuwa taahira basi ..ha ha

..gazeti limeandika ili kuuza habari.

..soma vizuri kwenye maandishi madogo chini ya kichwa cha habari ktk makals ya gazeti iliyokuwa-posted, Lissu amesema ikiwa vikao vitaamua atagombea.

..kauli hiyo ni tofauti na wale wanaotamka kuwa wanagombea, au wanaochukua fomu za maombi ya kugombea Uraisi.
 
Zitto ana mapungufu yake lakini namuona ni mzuri kias chake kwenye uongozi kuliko ata mpiga kelele Lissu! Lissu ni mpiga kelele tu lakini mweupe sana japo kwa wote simuoni wa kumshindanisha na Magufuli
Wewe mwenyewe ni admirer wa lissu. Taarifa tunazo.
 

mwananchi wameishiwa kumbe

Lissu ni potential, ila sio muda wake huu

2025 can work better for him kama akiruhusiwa na kama wakianza siasa za mvuto na kuwa karibu na raia
 
Huyu jamaa domokaya kweli kweli. Haoni risk ya kugombana na Mwenyekiti wa chama chake aliyejiandaa tangu 2010? Asisahau kuwa kuna Lowasa, Sumaye na Membe pia wanasubiri kipenga. Tuwasubiri wamalizane.
 
kufeli kidiplomasia,kwani wapiga kura ni mabwana zenu wazungu?Lowassa,Sumaye ni wakongwe Chadema?
Mkuu heshima kwako.
Raid lazima apikwe na kuiva, awe ni mtu mwenye uwezo wa kuzicheza siasa za ndani na kimataifa, zaidi za kimataifa.

Kosa la ccm ni kutomwandaa Magu,waliangalia upepo unavyovuma na kufanya maamuzi bila kujua upepo utatulia na mambo yatatakiwa kusonga mbele.

Nchi ka USA inapompata Raid anayesuasua kwenye siasa za kimataifa wanamwondoa. Sasa kama taiga Kubwa linajua umuhimu wa saiasa za kimataifa sembuse sisi tunaochechemea!?

Sikukuu njema
 
Hawezi kushinda urais, wapiganie tume ya uchaguzi iwe huru kwanza
 
Heeee! Barabara peke yake ndiyo zinabeba maisha yote ya wananchi!!!! Ama kweli upande ule vichwa pombe!
 
Hujui kuandika,rudi shule kwanza.
 
Bavicha hawaelew saiz waende na Membe au Lisu. Hahahah hawa wafuasi wana LAANA sio bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…