Benson Mramba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 648
- 1,485
Zitto hawezi kukubali atatumia 2020 kujitangaza kwa 2025
naona upinzani unaweza kuchukua Nchi kama watafanya mambo kadhaa.
haya nitayasema siku nikionana na Mbowe.
lakini ki uhalisia kwa hali ya sasa Upinzani kuchukua Nchi ni bado Sanaa na mapema mnoo..
Binafsi sipendi lakini na UHAKIKA 2020-2025 Ni Magufuli tena
swala la Nani atagombea upinzani
hilo bado ni confidential lakini kwa Lowassa hapana yule kashapoteza tenaa
namuona Mbowe&Lissu
lakini wote naona bado wana pwaya