Pre GE2025 Tundu Lissu: Nilisikia wanasema Msigwa amenilipia ukumbi wa Mlimani City. Maneno ya Msigwa ni ya bure na ya uongo kabisa!

Pre GE2025 Tundu Lissu: Nilisikia wanasema Msigwa amenilipia ukumbi wa Mlimani City. Maneno ya Msigwa ni ya bure na ya uongo kabisa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Baada ya wadau kudai kuwa Msigwa ndio alimlipia Lissu ile hela ya yeye kufanya press yake ya Mlimani City, Lissu amejitokeza kupiga uzushi huo

Siku ya leo akiwa anatoka kurudisha fomu ya Uneyekiti CHADEMA, Lissu amezungumzia tetesi za kwamba Peter Msigwa ambaye kwa sasa ametimkia CCM kuwa ndiye alimlipia ukumbi wa Mlimani City wakati anatangaza kugombea Uenyenyekiti

Soma pia: Lissu jitokeze ukanushe habari za Msigwa kugharamia Press ya kutangaza nia, vinginevyo umekwisha

"Nilisikia wanasema Msigwa amelipia ukumbi Mlimani City.Tukawaambia jamani si mnaona watu wanaochangishana walipie ukumbi. Haya maneno ya Msigwa ni maneno ya bure kabisa. Ni maneno ya uongo mtupu. Mimi nimesema sijamkana Msigwa ni rafiki yangu wale waliokuwa rafiki zake wa beneath wakamtengenezea mazingira mpaka ya kupita uchaguzi bila kupingwa mara mbili"

 
..waandishi wa habari wana maswali ya kitoto sana.

..badala ya kuuliza maswali mazito yatakayom-challenge mgombea wanauliza upuuzi mtupu.

..uwezo mdogo wa waandishi wa habari wa Tanzania, unaididimiza nchi yetu.
Ameuliza swali zuri sana lakini
 
Mbowe kugombea uenyekiti ni aibu kubwa kwa demokrasia ya CHADEMA. Naamini kabla ya uchaguzi atajiengua na kumsapoti Lissu kuwa mwenyekiti mpya CHADEMA.
 
..alipaswa kum-challenge Lissu kuhusu future ya chama, na anataka kukipeleka wapi chama.

..Ni bahati mbaya kwamba ktk kampeni nyingi za uchaguzi huwa tunashabikia mambo ya kucharurana.
Haupo objective! Nazidi kukuhakikishia kuwa swali alilomuuliza lilikuwa zuri kwa mustakbari wa wakati huu. Na limemjenga Lissu.
 
Mbowe ni mshenzi wa tabia huyu. Kila anayegombea uenyekiti anaitwa msaliti. Duuh!

Lisu kaja na hoja hizi:

Screenshot_20241218-203839.png
 
..waandishi wa habari wana maswali ya kitoto sana.

..badala ya kuuliza maswali mazito yatakayom-challenge mgombea wanauliza upuuzi mtupu.

..uwezo mdogo wa waandishi wa habari wa Tanzania, unaididimiza nchi yetu.
Mkuu tasnia ya habari imekufa.. kama wanahabari maarufu ni kina juma lokole, mwijaku and the like.. we finished.
 
Wakuu,

Baada ya wadau kudai kuwa Msigwa ndio alimlipia Lissu ile hela ya yeye kufanya press yake ya Mlimani City, Lissu amejitokeza kupiga uzushi huo

Siku ya leo akiwa anatoka kurudisha fomu ya Uneyekiti CHADEMA, Lissu amezungumzia tetesi za kwamba Peter Msigwa ambaye kwa sasa ametimkia CCM kuwa ndiye alimlipia ukumbi wa Mlimani City wakati anatangaza kugombea Uenyenyekiti

Soma pia: Lissu jitokeze ukanushe habari za Msigwa kugharamia Press ya kutangaza nia, vinginevyo umekwisha

"Nilisikia wanasema Msigwa amelipia ukumbi Mlimani City.Tukawaambia jamani si mnaona watu wanaochangishana walipie ukumbi. Haya maneno ya Msigwa ni maneno ya bure kabisa. Ni maneno ya uongo mtupu. Mimi nimesema sijamkana Msigwa ni rafiki yangu wale waliokuwa rafiki zake wa beneath wakamtengenezea mazingira mpaka ya kupita uchaguzi bila kupingwa mara mbili"

View attachment 3179681
Mr Clean
 
..waandishi wa habari wana maswali ya kitoto sana.

..badala ya kuuliza maswali mazito yatakayom-challenge mgombea wanauliza upuuzi mtupu.

..uwezo mdogo wa waandishi wa habari wa Tanzania, unaididimiza nchi yetu.
Ndio uwezo wao ulipofikia
 
Haupo objective! Nazidi kukuhakikishia kuwa swali alilomuuliza lilikuwa zuri kwa mustakbari wa wakati huu. Na limemjenga Lissu.
Mkuu, 'njijo', hilo swali unalo sema ni zuri, toka kwa mwandishi wa habari, aliye na weledi na kazi yake na kuelewa wajibu wa kazi yake ni nini; ni kielelezo cha jinsi tusivyo kuwa na umakini tena katika mambo yetu; na hao waandishi wa habari ndio wakiwa wanatupeleka kwenye hali ya namna hiyo.

Hizi ni taarifa za mitaani, tena taarifa zinazo zushwa na mahasimu wa Tundu Lissu bila hata ya ushahidi wowote?
Huyu Tundu Lissu, kweli atakuwa ni mgombea mwenye umakini na uongozi anao utafuta endapo haoni hata kuto jishirikisha na mtu aliye kana chama; tena na kwenda kujiunga na watu ambao ni mahasimu wakubwa wa chama chake?
Kweli hata wewe, mkuu, inakuingia akilini, Tundu Lissu atafute uongozi wa chama, na hapo hapo anakimbilia msaada wa mtu ambaye sasa anapambana kukimaliza chama?

Hilo swali halikuwa zuri hata kidogo.
 
Mbowe kugombea uenyekiti ni aibu kubwa kwa demokrasia ya CHADEMA. Naamini kabla ya uchaguzi atajiengua na kumsapoti Lissu kuwa mwenyekiti mpya CHADEMA.
Hata mimi niliamini hivyo lakini kwa Mbowe kwa kitendo cha Mbowe kuanza kuwakusanya watu kutoka maeneo mbali mbali kwa maigizo ya kufuatwa kuombwa kugombea imani imenitoka.
 
Mkuu, 'njijo', hilo swali unalo sema ni zuri, toka kwa mwandishi wa habari, aliye na weledi na kazi yake na kuelewa wajibu wa kazi yake ni nini; ni kielelezo cha jinsi tusivyo kuwa na umakini tena katika mambo yetu; na hao waandishi wa habari ndio wakiwa wanatupeleka kwenye hali ya namna hiyo.

Hizi ni taarifa za mitaani, tena taarifa zinazo zushwa na mahasimu wa Tundu Lissu bila hata ya ushahidi wowote?
Huyu Tundu Lissu, kweli atakuwa ni mgombea mwenye umakini na uongozi anao utafuta endapo haoni hata kuto jishirikisha na mtu aliye kana chama; tena na kwenda kujiunga na watu ambao ni mahasimu wakubwa wa chama chake?
Kweli hata wewe, mkuu, inakuingia akilini, Tundu Lissu atafute uongozi wa chama, na hapo hapo anakimbilia msaada wa mtu ambaye sasa anapambana kukimaliza chama?

Hilo swali halikuwa zuri hata kidogo.
Mihemko ni mibaya sana! Kwa mpenzi wa Lissu kama wewe lilikuwa linakera, kwa maadui wa Lissu ilikuwa ni silaha. Mwandishi kuliuliza alimsaidia Lissu Ili alifafanue mapema kabla ya mambo kuwa mengi. Ndiyo maana nasema lilikuwa swali zuri kuulizwa ili awe na uwanja mpana wa kulijibu.

Mwandishi wa habari alicheza namba 12 kWa Kambi ya Lissu. Badala ya kumlaumu nadhani mngempongeza.

Mahaba ni tatizo kwa vijana wengi wa Kitanzania!
 
..waandishi wa habari wana maswali ya kitoto sana.

..badala ya kuuliza maswali mazito yatakayom-challenge mgombea wanauliza upuuzi mtupu.

..uwezo mdogo wa waandishi wa habari wa Tanzania, unaididimiza nchi yetu.
Mwandishi huyohiyo ukute ametoka kumhoji Juma lokole, Mwijaku, baba Levo na the likes.

Ninawasifu sana Jambo Media, hawa jamaa kuna Standard wamei set, wakitoboa 2025 bila kukengeuka watafika pakubwa sana.
 
Angalimuliza, miezi 3 wakati unapigania uhai mwenyekiti wako Nairobi aliongoza mapambano ya kupigania uhai wako dhidi ya watesi wako, alichukua jitihada mbali mbali za kibadaam ambazo hazipo ktk katiba ya chama. Swali jee kumshambulia hadharani unaonesha nini katika taswira ya uongozi?
..alipaswa kum-challenge Lissu kuhusu future ya chama, na anataka kukipeleka wapi chama. Nini umeweka mbele yako akili za msigwa au ubinadaam wa Mbowe?

..Ni bahati mbaya kwamba ktk kampeni nyingi za uchaguzi huwa tunashabikia mambo ya kucharurana.
 
Back
Top Bottom