Pre GE2025 Tundu Lissu: Nilisikia wanasema Msigwa amenilipia ukumbi wa Mlimani City. Maneno ya Msigwa ni ya bure na ya uongo kabisa!

Pre GE2025 Tundu Lissu: Nilisikia wanasema Msigwa amenilipia ukumbi wa Mlimani City. Maneno ya Msigwa ni ya bure na ya uongo kabisa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
..waandishi wa habari wana maswali ya kitoto sana.

..badala ya kuuliza maswali mazito yatakayom-challenge mgombea wanauliza upuuzi mtupu.

..uwezo mdogo wa waandishi wa habari wa Tanzania, unaididimiza nchi yetu.
Waandishi machawa
 
Mahaba ni tatizo kwa vijana wengi wa Kitanzania
Ondoa hayo ya "mahaba" ambayo nayo yanakufanya wewe uonekane kuwa huna weledi. Ume yatoa wapi hayo mahaba; kwani watu hatuwezi kujadili jambo bila ya kuweka mahaba unayo yakimbilia wewe? Ume jiridhisha vipi kuwa tunasukumwa na mahaba kuwa na msimamo juu ya hilo swali?

Mengine yanabaki vile vile kama nilivyo yaeleza hapo juu.
Swali halikuwa zuri toka kwa mwandishi anaye juwa kazi yake vizuri.
 
Ondoa hayo ya "mahaba" ambayo nayo yanakufanya wewe uonekane kuwa huna weledi. Ume yatoa wapi hayo mahaba; kwani watu hatuwezi kujadili jambo bila ya kuweka mahaba unayo yakimbilia wewe? Ume jiridhisha vipi kuwa tunasukumwa na mahaba kuwa na msimamo juu ya hilo swali?

Mengine yanabaki vile vile kama nilivyo yaeleza hapo juu.
Swali halikuwa zuri toka kwa mwandishi anaye juwa kazi yake vizuri.
Pole sana
 
Sio mbaya kwa Lissu kufafanua hizo Rumours kwasababu zilianza kuleta taharuki.
 
Back
Top Bottom