Tundu Lissu: Niliwahi kufanya kazi katika kampuni iliyokamata ndege ya Tanzania Uholanzi. Kauli hii inakupa hisia gani?

Ushauri wake ungekuwa unaleta maendeleo chadema ungeshapata maendeleo. Kwa vile ushauri wake ni wa kikuwadi ndo maana chama lake la hovyo hadi leo.
 
Ushauri wake ungekuwa unaleta maendeleo chadema ungeshapata maendeleo. Kwa vile ushauri wake ni wa kikuwadi ndo maana chama lake la hovyo hadi leo.
Unaleta sana maendeleo. Ila nyinyi wauaji kila siku unaona jinsi mnavyotumia vyombo vya dola kuzima wanayoyafanya kuwakamata,kuwafunga,kuwapiga risasi n.k.



Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Ulitaka aseme uongo?
Kwanza amesema hiyo kampuni iliwahi kumtafuta miaka 15 iliyopita ili awape ushauri juu ya uwekezaji katika erdhi Tanzania
 
Tumemuelewa! ..sawa!🙏🙏🙏
 
kufanya kwake kazi kunahusiana vipi na kuuza game?Punguza hisia kama akili yako ndogo.
 

Kawa mkweli, mwingine angedanganya. Cha muhimu lipeni deni kabla ndege haija pigwa mnada.
 
Kawa mkweli, mwingine angedanganya. Cha muhimu lipeni deni kabla ndege haija pigwa mnada.
Lissu ndio alikuwa anawachochea wafungue kesi, wao hawakuwa na haja na kesi, ni kama zile za migodi, jambo jema watu wa migodi walimpuuza, isipokuwa watatu ambao ni rafiki zake, na anahisa katika kampuni zao.
 
Lissu ndio alikuwa anawachochea wafungue kesi, wao hawakuwa na haja na kesi, ni kama zile za migodi, jambo jema watu wa migodi walimpuuza, isipokuwa watatu ambao ni rafiki zake, na anahisa katika kampuni zao.
Ule uwongo aliokuwa anatengeneza yule mwendakuzimu bado unao kichwani mwako? Kweli wewe kinaniliu.
 
Lissu ndio alikuwa anawachochea wafungue kesi, wao hawakuwa na haja na kesi, ni kama zile za migodi, jambo jema watu wa migodi walimpuuza, isipokuwa watatu ambao ni rafiki zake, na anahisa katika kampuni zao.
Mbaazi zikikosa maua husingizia mvua,mshindwe kutimiza wajibu mmsingizie Lissu.
 
Msaliti na ndio maana Jiwe alitaka kummaliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…