Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nimepokea vitisho vya kuuawa. Wanachama wawasindikize wagombea Ubunge na Udiwani kuchukua fomu NEC

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nimepokea vitisho vya kuuawa. Wanachama wawasindikize wagombea Ubunge na Udiwani kuchukua fomu NEC

Lisu naweweseka sana, amepania sana kuwa rais , hata kwa damu za watanzania lazima hawe rais, yupo tayari kuongea lolote lile hili international media zimpe attention achafue nchi mataifa makubwa yamsaidie kumkabidhi nchi. He will never archive that...
Hamna kitu kama hicho wewe. Huyo anajua anachofanya. Na wajanja wanamwelewa,maboya tu ndo hawamwelewi.
 
Magufuli anaondoka kwa Hali hii atake asitake. Kuanza huenda vurugu zikaibuka kabla ya uchaguzi. Ofisi za serikali huenda zikaharibiwa kwa njia yoyote ile ikiwa watu watawakimbia wagombea wa upinzani. Hicho ndicho kinatafutwa nasikia Marekani na Uingereza wamejiweka tayari. Tusali Sana wa Tanzania. Pia Membe kasema chochote chaweza kutokea kabla ya October 2020, anajua wamepanga nini.
Unasema?
 
Anafeli sana, matusi ya nini, lete sera watu wakupigie kura, ama kweli Lissu Ni mwana midaharo
 
Mwalimu Nyerere hakukosea kamwe kumuita Nduli Idd Amin MSHENZI na MWENDAWAZIMU, duniani kote ma Dikteta kama JPM wana akili za hovyo sana.
Mkuu Lisu wako hata pata hata 20% ya kura!

Subiri oktoba
 
washauri wa Membe watakuwa wanamwambia si tulikuahidi tatizo la Lissu tutalimaliza we endelea na yako; Lissu hatma yake tuachie sisi.

Huyu mtu anachokoza vyombo vya ulinzi alipofikia nafananisha na ugomvi wa utotoni mtu akija kupigana anaanza maneno we akiona umpi attention wapambe wanaotaka kuona ngumi wanamshawishi muwekee kidole jichoni akifika hapo ujue ngumi lazima ata kama mmoja hakuwa na mpango wa kupigana.

Watanzania wote sio blind supporters wa vyama vya siasa wanaona uchokozi wa Lissu. Ambao ni vigumu sana kwa chombo chochote cha ulinzi duniani kuvumilia.

Amechokoza nani na vipi mkuu, hebu tusaidie.
 
Sijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.
Nadhani kampeni bado hazijaanza. Zikianza nadhani wagombea wote wataanza kuingia uwanjani kwa mtanange tutayasikia yale tutarajiayo.

Kuna mmoja nimemsikia ataipeleka bahari ya hindi Dodoma. Inafurahisha.
 
Hili ndio linalihitajika kwa sasa. Tangu 1995, kule Zanzibar Maalim anaibiwa halafu ananyamaza. Mzunguko wa wizi unaendelea. Hauwezi kupata haki yako kwa CCM mpaka uidai hata kwa damu.

Hawataiba tena znz. wajaribu waone kama znz hakutawaka chemchem za ..... wafanye waone. anayewaokoa ccm na znz isitumbukie ktk machafuko ni maalim seif ndo maana nasema mara hii maalim seif afungwe plasta ya mdomo awaachie vijana wafanye kazi ya kulinda kura. huyo ZEC chair asije akathubutu kupora haki ya maalim seif. atatafuta pa kukimbilia.
 
Kwahiyo moja ya agenda ni
Kuzuia kuuawa yeye na wengine
 
Ni
washauri wa Membe watakuwa wanamwambia si tulikuahidi tatizo la Lissu tutalimaliza we endelea na yako; Lissu hatma yake tuachie sisi.

Huyu mtu anachokoza vyombo vya ulinzi alipofikia nafananisha na ugomvi wa utotoni mtu akija kupigana anaanza maneno we akiona umpi attention wapambe wanaotaka kuona ngumi wanamshawishi muwekee kidole jichoni akifika hapo ujue ngumi lazima ata kama mmoja hakuwa na mpango wa kupigana.

Watanzania wote sio blind supporters wa vyama vya siasa wanaona uchokozi wa Lissu. Ambao ni vigumu sana kwa chombo chochote cha ulinzi duniani kuvumilia.
Ni yeye 2020
 
Back
Top Bottom