Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Sijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.
Nenda kwenye mkutano wake ukasikie yote anayosema, sio ukaea hapa usubiri kusikia alichosema kama umetuma muandishi wako. Hapa kila mtu anarusha kipande atakacho na sio utakacho ww.