Sijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.
Muhimu yeye mwenyewe keshamskiliza IGP jana kwamba muda wa mikusanyiko bado lakini ameamua kutokutii na lugha anayotumia ya kuhamasisha utovu wa sheria ameonywa kuacha lakini asikii.Amechokoza nani na vipi mkuu, hebu tusaidie.
washauri wa Membe watakuwa wanamwambia si tulikuahidi tatizo la Lissu tutalimaliza we endelea na yako; Lissu hatma yake tuachie sisi.
Huyu mtu anachokoza vyombo vya ulinzi alipofikia nafananisha na ugomvi wa utotoni mtu akija kupigana anaanza maneno we akiona umpi attention wapambe wanaotaka kuona ngumi wanamshawishi muwekee kidole jichoni akifika hapo ujue ngumi lazima ata kama mmoja hakuwa na mpango wa kupigana.
Watanzania wote sio blind supporters wa vyama vya siasa wanaona uchokozi wa Lissu. Ambao ni vigumu sana kwa chombo chochote cha ulinzi duniani kuvumilia.
Umeishia darasa la ngapi?Sijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.
kwa sasa anatafuta wadhamini na kusafisha njia subiri kampeni ikianza atakuambia atatufanyia niniSijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.
tulia kampeni bado.Sijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.
Magufuli anaondoka kwa Hali hii atake asitake. Kuanza huenda vurugu zikaibuka kabla ya uchaguzi. Ofisi za serikali huenda zikaharibiwa kwa njia yoyote ile ikiwa watu watawakimbia wagombea wa upinzani. Hicho ndicho kinatafutwa nasikia Marekani na Uingereza wamejiweka tayari. Tusali Sana wa Tanzania. Pia Membe kasema chochote chaweza kutokea kabla ya October 2020, anajua wamepanga nini.
Muhimu yeye mwenyewe keshamskiliza IGP jana kwamba muda wa mikusanyiko bado lakini ameamua kutokutii.
Haya na mimi nakwambia Lissu atashindwa uchaguzi. Baada ya hapo ataendelea kupapatika kaonewa na kujifanya Che Guavera au sijui Mahatma Gandhi; hila mwisho wake utakuwa sio mzuri na asilimia kubwa ya watanzania awatakuwa upande wake.Nilishakuambia uza ubongo huo maana unakao nao kwa hasara.
Haya na mimi nakwambia Lissu atashindwa uchaguzi. Baada ya hapo ataendelea kupapatika kaonewa na kujifanya Che Guavera au sijui Mahatma Gandhi; hila mwisho wake utakuwa sio mzuri na asilimia kubwa ya watanzania awatakuwa upande wake.
Kwamba alijipiga risasi 38 au 16 na kuichafua inchi???...Lisu naweweseka sana, amepania sana kuwa rais , hata kwa damu za watanzania lazima hawe rais, yupo tayari kuongea lolote lile hili international media zimpe attention achafue nchi mataifa makubwa yamsaidie kumkabidhi nchi. He will never archive that...
Naishia hapoewe jasusi wetu mahiri umejuaje kuwa USA na UK wameshajiweka tayari?
au una kampuni binafsi ya ushushu?
CCM wanazindua nyimbo zao na watakuwa wameomba kibali ata ACT watakuwa wanaomba vibali huko Zanzibar vya one off.Ccm walikusanyika, na jumamosi watakusanyika tena. ACT huko Zanzibar wanakusanyika mbona huliilii? Hapa kinachokusumbua Ni wivu wa kisiasa, hukutarajia apate watu, ndio maana unakuja na vitisho uchwara.
Kwani mnapokusanyika kanisani na misikitini huwa mnapata kibali cha IGP ?Muhimu yeye mwenyewe keshamskiliza IGP jana kwamba muda wa mikusanyiko bado lakini ameamua kutokutii na lugha anayotumia ya kuhamasisha utovu wa sheria ameonywa kuacha lakini asikii.
Nimeuliza humu Leo hivi kwa speech hizi anategemea kweli ataandikwa na magazeti au television kutoa kwenye habar zao Ayo Mambo anayozungumzia!Sijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.
Lissu kwenye kichwa chake amesha shinda tayari. Kwa ivyo asiposhinda amezulumiwa tu.Kwenye mashindano kuna kushinda na kushindwa, hakuna mwenye tatizo na kushindwa kihalali. Sio asilimia kubwa ya watanzania, sema wanaccm wengi hawatakuwa upande wake.
Nimeuliza humu Leo hivi kwa speech hizi anategemea kweli ataandikwa na magazeti au television kutoa kwenye habar zao Ayo Mambo anayozungumzia!
Wapiga kura hawawezi kumpigia kura Lisu kumshinda JPMWewe ndio mpiga kura pekee, sivyo?
Ndio sera zenu mwaka huu, nina risasi mguuni, mkono wa kushoto, nina risasi pajani. Hayo ndio anayohubiri tokea amefika, maana lisu bado mgonjwa anafanya nini jukwaani. Mnatafuta huruma ya wananchi, anataka tumuhurimie tumpe nchi.Kwamba alijipiga risasi 38 au 16 na kuichafua inchi???...