Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Lazima aingie kwenye majadiliano, maana ndo anayetaka kuwapa sumu wagombea wa uenyekiti.Mbowe msimuingize kwenye majadiliano yenu.
Hamuwezi kujenga hoja bila ya kumtaja Mbowe?
Ndivyo ilivyo, ccm inamwovopa sana LissuGentleman ni kama unamwogopa lisu zaidi kuliko Mbowe?
Ifafanue unavyoelewa hiyo vision yake(Antipas),kusudi kwa ambao hatujamwelewa tupate kuelewa alichonacho.Lissu ana vision tungekuwa na raia makini alitakiwa kuwa Rais
Muhimu Amani iwepo, CDM hazipo fito za kugawana.
Wabarikiwe.
Hakuna shule yenye jina Hilo wewe killaza pro maxIlborou
Kwa hiyo Mbowe ni Mungu?Bila MWamba DJ Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !!
Mbowe akili kubwa sana Lissu haiwezi !!
Kwanini Wasifae,Watu wenye misimamo mikali huwa hawafai kushika nafasi za juu kabisa (mwisho) katika uongozi. Wanafaa kuwa na nafasi ambayo anaweza dhibitiwa na aliye juu yake.
i
Wapiga ramli mmeshindwa na mtashindwa kila leo.Anakoelekea ni kuhama chama.
Hawezi kukubali kuolewa na mdada mwenzake, karibu Moshi X-max dada anguNimeoa dada yako pale Masama, cha ajabu wewe umeamua kuwa shoga!
Mbowe ndiye aliyemuomba Lissu agombee uenyekiti kama huelewi.Naona Mh. Lissu kaweza wazi kwba anataka kijipima ubavu na mwamba.
Sasa ni hivi namuona Lissu ACT wazalendo ama CCM ama kustaafu siasa kabisaa.
Tena huo uchaguzi wa yeye na mwamba ikiwezekana usimamiwe na Tume kabisa ili kusitokee mtu apate sababu kama kina sumaye.
CDM bado saana inamuhitaji kamanda wa anga.
Atatusamehe; sababu alizotoa hazitoshi kutushawishi na kumwacha mzee na jabari la siada Tanzania, Africa na hata Duniani.
Kunadilishana uongozi wa juu katika taasisi nyeti kama CDM inatakiwa iwe kwa maridhiano makunwa lakimi si kwa namna hii ni mbaya sana na sidhani Lissu ana nia njema na CDM.
SureHao wachache wanatutosha. Wengi bakini nao nyie.
Figisu hazipo ndani ya CHADEMA, haiko compromised hivyo ndio maana uliona Msigwa aling'oka na akakimbia chama na chaguzi za kanda zimeenda bila malalamiko wala figisu ndio maana Msigwa kapagawa.
Hao watu wapya ndio wanaopiga kura ndani ya CHADEMA? Au hivyo vyombo vya habari ndio ballot za kura?
Kukosa msimamo kwa Mbowe kunamzuia nini Lissu kupigiwa kura na wanachama? Mbowe anashaurika kwenye mambo gani na Lissu hashauriki kwenye mambo gani?
Sasa kama Lissu anakuwa front huoni ndio kiongozi anayefaa na anaongoza kwa mifano? Au wewe tafsiri yako ya uongozi au sifa ya kiongozi ni ipi?
Upo sahihi mkuu, la kwa siasa za sasa zihitaji mtu rigid kama lisu, na sio busaraHata week aijaisha toka aeleze hajawai kuwa na nia yakugombea nafasi ya mwenyekiti wala kufikiria.
Week aijaisha anatangaza kugombea nafasi ya mwenyekiti.
Lissu ni mtu wa kukurupuka sio steady hand kama CDM.
Mbowe anaonekana kupwaya kwa sasa Iła Lissu sio replacement sahihi, ni mtu wa mihemoko ya hisia, kukurupuka na visasi na dictator.
Bora hata Mnyika na Heche, sio Lissu hafai kwa nafasi kwa nafasi ya uenyekiti.
Muda wangu hauruhusu kueleza yote hayo. Tafuta hotuba yake Jambo Tv walikuwa liveIfafanue unavyoelewa hiyo vision yake(Antipas),kusudi kwa ambao hatujamwelewa tupate kuelewa alichonacho.
Dah wewe jamaa ni mjinga mno. Sasa kama Lissu alisoma Ilboru si ina maana alikutana na wakali wenzake ndo wakawa wanamburuza? Mtu wa mwisho darasani Ilboru anaweza kuwa wa kwanza shule nyingi sana za Kata. Shule niliyosoma tukiwa form one mtu wa mwisho alikuwa na wastani wa 60% (C) ambao kwa shule zingine angeingia hata top ten. Lissu angekuwa kilaza asingesoma Ilboru wala UDSM.He is dong worse in politics coz there is a saying that if you do good in class, you are likely to do good also in all aspects. The fact that Lisu did bad in class, there is no miracle for him to do good in politics. These things are sequencial and simultaneous
Chawa kaziniBila MWamba DJ Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !!
Mbowe akili kubwa sana Lissu haiwezi !!