Pre GE2025 Tundu Lissu: Ninakiri juu ya Dhambi ya kumleta Lowassa CHADEMA. Watanzania tumekusamehe, ubarikiwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lissu ni Muungwana na mkweli uliopitiliza. Tazama kwa sasa Dr.Slaa anamuunga mkono Lissu na hivi sasa yuko ndani kwa ajili ya Lissu. Lakini bado ilipokuja swala la Dr. Slaa kukana kuhusika kwake kumleta Lowassa,Lissu amesema kweupe kuwa Slaa katika hilo si mkweli kwakuwa alihusika.

Wangelikua wanasiasa wengine kwakuwa kwa sasa Dr. Slaa yuko upande wake angempaka mafuta.
 
Dr Slaa kama katibu mkuu ni LAZIMA angeshiriki.

Kwa kuwa Lissu amekiri dhambi hiyo, Dr Slaa Hana kosa pia.

Arejeshwe CHADEMA haraka.
 
Lisu hafai kuwa kiongozi kadanganya mengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…