Sasa kwa taarifa yako wewe mpuuzi kuna kipengele kwenye mkataba kinachosema kuwa kinachochimbwa chote ni mali ya mwekezaji na sisi tutaambulia mrabaha ambao kila mwisho wa mwaka mnapeleka wakaguzi. Pia kumbuka kuwa kule ndani ya migodi mna maagent kibao mlioweka huko.
Ule mkataba aliosaini mkuu wako wa miaka 100 ndiyo chanzo cha tatizo.
Hivi wewe, mtu ambaye kwenye asilimia Mia ana asilimia 96, wewe mwenye asilimia nne anakukwepa ili iweje ?
Ila ww unaakili sometyms /nakfatliaga Sana...
Ila unajichetuagA akili tuu iv lumumba watakua wanalipa kwel kumbe(buk7)
Maana haiwezekani ikawa akili yako hii" naimani unaakili zaidi ya hizi sema utakagi kuzitumia tuu
kwa uandishi huu utakuwa unakojoa umechuchumaa. hata hivyo aksante kwa mchango wako
Muda utaamua jambo hili. Tuseme asante kwa JF naamini kumbukumbu zitakuwepoukitaka kujua Tundu Lissu ni tahira hebu angalia anacho kiongea na sisi tunacho kiongea ni tofauti.
Yeye anafikiri watu wengi wana kataa kusafirishwa kwa mchnaga kumbe kikubwa kinachopingwa ni udanganyifu kwenye kilichomo kwenye mchanga... yeye alishawai kusema mikataba hii ni ya usiri sasa anaongelea nini kitu ambacho hajawai kukiona? hivi hiyo mikataba ndio inasema kuwa wawe wanadanganya kuna kiasi fulani cha dhahabu?
Hivi Tundu Lissu utahira atapona lini? Hata ACCACIA wanajua concern ya serikali ni kuhusu kiasi kilichomo kwenye mchanga au makanika na wao wanataka upimwe tena...
Lakini Tahira Lissu anapinga utafiti kwa tumbo na mdomo tuuu...
Mwenzie Zitto amenyamaza na kusema wazi kuwa utafiti hupingwa kwa utafiti..
Mkataba una matatizo inawezekana lkn huo huo wenye matatizo utekelezwe kikamilifu. Kufanya uchungzi km tunapoteza kwenye kilichopo kuna kosa gani? Upungufu ulioonekana umechangiwa kwa kiasi kikubwa na usimamizi mbovu upande wa serikali ndio maana anawawajibisha.Sasa kwa taarifa yako wewe mpuuzi kuna kipengele kwenye mkataba kinachosema kuwa kinachochimbwa chote ni mali ya mwekezaji na sisi tutaambulia mrabaha ambao kila mwisho wa mwaka mnapeleka wakaguzi. Pia kumbuka kuwa kule ndani ya migodi mna maagent kibao mlioweka huko.
Ule mkataba aliosaini mkuu wako wa miaka 100 ndiyo chanzo cha tatizo.
Utabiri ni haki yako kikatibaccm ndo walivyo, hata wanaloshangilia leo hawalijui. Magufuli kwa sasa ndo kipaumbele chao hivyo hata akiamuru lunch iliwe uani wao watashangilia tu. Na wengine watasema kuna harufu nzuri.
Mahindi yameshaanza kuvunwaMagufuli ulikuja Geita ukasema tupewe magwangala ulienda jumla na uongo wako mpaka Leo haujarudi Geita ,acha Kiki tulia,utapata kodi wapi wakati nchi imefilisika mpak mnakula rambirambi,nchi ina njaa bwana tuache tuagizie chakula nje tule,mahindi yashuke bei
Watu wawili kamwe hawawezi kukubaliana kwa 100% katika mambo yote...sembuse nchi yenye watu milion 45. Lazma tutafautiane mawazo. Kosa ambalo linalofanyika katika utawala huu ni kuaminishwa kwamba kila mwenye mawazo tofauti na Rais sio mzalendo...amehongwa..mpiga dili..mhaini n.k.Tatizo letu siasa zimetugawa na hii ni vita kubwa kuliko wengi wanavyodhani inahitaji Taifa lililoungana, Mungu ibariki Tanzania
Samaki walienda kwao empty handedHivi ile ya Samaki iliishaje? Hahaha, Mungu nakushukuru tu kwa kuzaliwa Tanzania, maana haya yote uliyajua kuwa ipo siku tutalimia meno ili kulipa fidia kwa wazungu.
Mkataba wa kilaghai ufatwe basi.Ripoti ya magufuli na kamati yake haiaminiki. Uongo mtupu.
Nani aliwatuma mkasaini hii mikataba ya kilaghai?
Sio lowassa tena?I'm waiting anxiously for Tundu Lissu to be next President of Tz come 2020
Cha msingi tunaibiwa hata kama sio kwa kiasi kilichotajwa"Hiki alichoambiwa Magufuli ni rubbish, hata kama ni ya kiprofesa. Rubbish. Hatuibiwi kwenye mchanga, that's the rubbish fed on the unlettered".
wazungu walijaribu kupunguza makali wakasema hivi:
If the amount of gold in our concentrates was in line with the Committee findings, then it implies that both Bulyanhulu and Buzwagi would produce more gold than any other mine in the world. Sadly this is not the case.
Wengi wanajua ama kuhisi kuwa mikataba mibovu lkn kwa kuwa kuna ugumu kuireverse kuna ubaya gani hiyo hiyo mibovu kuhakikisha inatekelezwa kikamilifu for time being? So alitakiwa kusupport the current movement na urge mikataba kuangaliwa pia wakati ukifika.Mkuu;
Kumchukia Lissu hadi anachokiandika hakutusaidii. Msome tu taratiib utaelewa anaandika nini hapo. Amesema; Hatuibiwi kwenye makontena bali tunaibiwa kwenye mikataba tuliyokwisha weka mkono kuwa ni mikataba hallal. Upo hapo?? Sasa tunapofoka kuwa Lissu ni kichaa, Lissu ni taahira, Je tumeuona huo mkataba?? Huenda mwenzetu amefanikiwa kuuona, mimi na weye tumeuona?? What do yu understand about "Transparency?" Hii kitu imefichwa fichwa hata kwa ma bush lawyers wetu ambao wangeweza kwa magumashi wakaona tundu hilo la kutufungia goli hata la mkono. Tukawaambia wale wanasheria wetu waende wakiwa wamejitayarisha.
Mtabaki kumbeza Tundu Lissu mkamwacha Joka aliye weka mkono kwa niaba yetu. Mpaka mmempa uenyekiti wa Bunge!! It is a shame man!! Huku mnabaki kuwaita wengine oil chafu na makapi. Tujifunze kusoma kinacho andikwa tujibu kimantiki kama kwamba sasa tupo kwenye hiyo Tribunal ya kimataifa tunajibu maswali. Hii ni lazima ije kutokea ACACIA hawataachia sega la asali hivi hivi
Kira=kila.Kinacho nishangaza mm nikwamba Mafisadi wapo ndani ya Ccm kira kukicha tunasikia wanafukuzwa na hawaishi lakini pia hawapelekwi mahakani nadhani hakuna hata msafi mmoja
ila vijana wa Rumumba hawaoni hilo serekali niyao nawanaoingia mikataba mibovu niwao halafu wanakaa kwenyetivi na kusema kunawatu mafisadi wakati ni wao we nyewe