Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

Ndo maana kuna tume ya pili ya sheria na uchumi, tusubiri tuone, hii style ya Tundu haitakaa isaidie taifa na yeye anajua. kusema ni kitu kingine na kutenda ni kitu kingine. mbona huko chadema wameshindwa kutenda wanayosema!
 
Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
Tunaongelea madini unamleta Lowasa, mkuu umetuonyesha waz kabsa kwamba huna akili timamu na hyo ndyo sifa ya wana CCM
 
Jibu swali ukiteleza hutakiwi kuamka bila kujali umetelezeshwa na nini?
Naona umeanza kuja na Mifano mfu. Hisiyoendana na jambo husika. Kwahiyo kwenye hili ni nani alitelezeshwa na kwanini, na ni nani alimtelezesha?
 
Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
Umemsikia Mtemi Chenge?
 
Acheni siasa katika mambo ya msingi kipind cha JK tulikua tunasema JK mpole hana maamuzi Leo kaja Mzee wa hapa kazi tu tena tunalaumu.sisi ni watu wa aina gani? ?
Sio ukali kama roboti tunataka ukali wa kufumua mikataba ya kinyonyaji sio timuatimua za kutafutia kick
 
Kutotumia maji ya Ziwa Victoria, hii ni hoja nyingine mpya inayohitaji tafakuri jadidi . .
 
Keep it up!
 
Huyu ndiye mpiganaji wa ukweli sio yule mwingine anayetafuta kick kwa kufukuza mawaziri huku akijua tatizo lipo kwenye mikataba
Mimi sijaelewa Kwani hoja ni sheria au hoja ni wizi kwenye taarifa wanazotoa,Lissu,Chenge na Werema wamejuaje kwamba tume wamedanganya kiasi kilichomo?hizi siasa zetu ni za hovyo sana
 
Tatizo la watanzania elimu ni ndogo sana ukisoma magazeti ukondiyo hovyo kabisa kila kinachosemwa na mkuu watu wanapiga makofi bila hata kufanya utafiti kidogo kuangalia ilo jambo linaukweli gani na athari zake ni zipi sitashangaa siku za usoni Tanzania kuwa kama zimbabwe
 
Tafiti hupingwa kwa tafiti siyo maneno ya kijiweni! Unafahamu maana ya neno rubbish? Hizi ni taaluma tijaribu kuziheshimu
naona umepanic,nimenukuu maneno ya lisu na brad...wanachotka acacia ni full report ili waone kama n sawa kwa wao kulipa hayo mabilioni kama yalivyopendekezwa na mruma na kamati yake..is that too much to ask for?
 
Kuyazuia makontena si ni adhabu hiyo?
Ikitokea kamati ikashauri ifuatwe njia ya kisheria huioni stepu tuliyobugi?
Kamati imeundwa imshauri. Ikimshauri aombe msamaha sawa. Hakuna kubugi kokote bali taifa litakuwa limeufunga mjadala wamakinikia na kuendelea na mengine kama taifa.
Kihelehele chenu cha kumuingilia ni upuuzi wa kupuuzwa kwa nguvu zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…