mikataba/makubaliano yanastipulate pande itakayoona hairidhishwi na jinsi mkata unavyokuwa performed iende kwenye mahakama iliyokubaliwa na sio kuita makamera na kuanza kuitana wezi...kesi ya kwanza ni defamationCha msingi tunaibiwa hata kama sio kwa kiasi kilichotajwa
Kinahusika vipi hapa? Kwa huu ujinga ulioandika nimejua kiwango chako cha akili.Kahakiki cheti chako cha kuzaliwa
Jibu swali usitoe vitisho, je Lissu kapima huo mchanga?Mjiandae kuwalipa fidia hao ACACCIA
Wachana na lissu utachanika msambaJibu swali usitoe vitisho, je Lissu kapima huo mchanga?
Swali dogo tu Lissu kalime hii mchanga,hakuna anayekataa kuhusu hiyo mikataba ni mibovu lakini kwa hiyo hiyo mikataba mibovu bado wanadanganya kiasi wanachochimba,msibadilishe maneno,swali ni dogo tu Lissu kapima huo mchangaMuwe mnasoma na kuelewa, lakini Lissu amewatakia heri kama hamtaki kuelewa:
1. Anawaambia nyinyi MaCCM mabashite...nchi hii hatuibiwi kwenye mchanga, tunaibiwa kwenye sheria...so cha kuanza nacho ilikuwa ni kubadili sheria siyo kukamata mchanga ambao umepitia hatua zote kusafirishwa...Lissu anasema a smart president angeanza na sheria
2. Pia ACACIA katika taarifa zao wanasema kama kiasi cha dhahabu kilichokamatwa ni kingi kama Magu alivyoitangazia dunia basi ina maana migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi( hiyo miwili tu) ingeifanya kampuni ya ACACIA kuwa the biggest gold producer in the world kuliko kampuni kama AngloGold inayomiliki migodi 19 ya dhahabu duniani...na basi Tanzania ingekuwa the largest gold producer in the world...sasa kinachotokea wameomba wapatiwe report hiyo lkn serikali na Sizonje wameingia mitini
3. Lissu anasema report ya Profesa Mruma ni pumba tupu na haiwezi kuchukua hata nusu saa kuwa rubbished under serious scrutiny...and he is right; tayari taarifa chache tu za ACACIA kwa wanahisa wao zinaonekana zina credibility kuliko huu circus ya Sizonje na wale waalimu wake wasahihishaji wa mitihani ya wanafunzi pale Mlimani.
MUDA NI MWALIMU MZURI SANA...MSIJE MKAKIMBIA NA TAFUTENI DAWA YA MARADHI YA MOYO MMPE SIZONJE MAANA...what I see, he is heading for a car crush....ANYWAY, sikio la kufa halisikii dawa!
Ungekuwa unajua maana ya neno "kumuingilia" ungeficha ujinga wako.Kamati imeundwa imshauri. Ikimshauri aombe msamaha sawa. Hakuna kubugi kokote bali taifa litakuwa limeufunga mjadala wamakinikia na kuendelea na mengine kama taifa.
Kihelehele chenu cha kumuingilia ni upuuzi wa kupuuzwa kwa nguvu zote.
Hua anawachana misamba huko mnadhani kila mtu anaweza kumchana,jibu swali lissu kapima huo mchanga mbona rahisi sanaWachana na lissu utachanika msamba
Kuna tani ngapi za dhahabu kwenye akili yangu?Kinahusika vipi hapa? Kwa huu ujinga ulioandika nimejua kiwango chako cha akili.
Ajuwe wapi wakati ni BaahiteUngekuwa unajua maana ya neno "kumuingilia" ungeficha ujinga wako.
Hizo mahakama za mafisadi bado tuu?Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
Atachemsha dhahabu itoke siwanajiona wanajuaHivi Yale mankontena ya mchanga. wale majamaa wakiyazila makufuli atayapeleka wapi?
Lissu is a classic example of a loose cannon. Watu kama Lissu ni wazuri sana kuongea lakini ukimkabidhi zizi mifugo yote itakufa kwa funza. He will do nothing apart from lecturing the planet earth. No wonder baada ya miaka 8 alikuwa matapishi, shamelessly.
UtaelewaAndika ukiwa umetulia ueleweke ebo!!!!!
Zinawasubiri kina muhongo na mukapaaHizo mahakama za mafisadi bado tuu?
Hiyo maana inayotokana na muktadha wanaoujua wazazi wako tu na kukufundisha wewe haunihusu.Ungekuwa unajua maana ya neno "kumuingilia" ungeficha ujinga wako.
Tunarudisha kufukia mashimo kweni nini...Hivi Yale mankontena ya mchanga. wale majamaa wakiyazila makufuli atayapeleka wapi?