Kwamba Magufuli ndie alikuwa anawatetea Barick huku Lissu akiwatetea watanzania?..hakuna mtu amewatetea barrick kama Magufuli.
..serikali ilisema inawadai barrick usd 191 billion.
..kitu cha ajabu deni likateremshwa mpaka kuwa usd 300 million.
..yaani ni sawa na udai shilingi 630+ halafu ukubali kulipwa shilingi 1, tena ulipwe kidogo kidogo.
Kwa sababu yeye ni Wakili,
Hata mawakili wa serikali huwa wanawatetea wauaji.
Sidhani kama kura yako ni muhimu kwake kiasi hichoNaomba majibu ya hili swali Hadi leo sijapata.
Kwa nini Lissu alikiwa anawetetea Sana Barick na kutishia kwamba tutashitakiwa? Alikuwa na nia ya dhati kweli ama alikiwa anatetea ulaji wake tu? Ama ilikuwa sehemu ya Siasa kwamba ukiwa upinzani lazima upinge kila Jambo?
Nikijibiwa nikaelewa basi kura yangu kwake.
Hebu tuwekee vyeti vyako vya uchumi hapa na yale uliyofanya kukuza uchumi wa nchiSimple tu bwana lisu ni mbwatukaji tu
Hana ajualo ktk Mambo ya uchumi Wala uongozi.
Hivyo walomuamini ktk like sakata wakapimwe akili
Behind the keyboard with fake username you can write anything no matter how valueless it is...We ni miongoni wa wale walomuamini lisu eeeh.
Punguza unyumbu brother,next time utatumbukizwa shimoni ujue Kama hujui lolote ndani ya nchi hii.
Utakua Katika kundi linaloamini Lissu ndo Rais wako baada ya 28/10.
Bila Shaka atakua Rais wa nyumbu
Mnaongeaga kama Wapuuzi lkn Kweli ni WapuuziNaomba majibu ya hili swali Hadi leo sijapata.
Kwa nini Lissu alikiwa anawetetea Sana Barick na kutishia kwamba tutashitakiwa? Alikuwa na nia ya dhati kweli ama alikiwa anatetea ulaji wake tu? Ama ilikuwa sehemu ya Siasa kwamba ukiwa upinzani lazima upinge kila Jambo?
Nikijibiwa nikaelewa basi kura yangu kwake.
Kama kura hauitaki yeye anaitaka.Sidhani kama kura yako ni muhimu kwake kiasi hicho
Kwanini serikali ya ccm ilikubali unyonyaji wa barrick?Naomba majibu ya hili swali Hadi leo sijapata.
Kwa nini Lissu alikiwa anawetetea Sana Barick na kutishia kwamba tutashitakiwa? Alikuwa na nia ya dhati kweli ama alikiwa anatetea ulaji wake tu? Ama ilikuwa sehemu ya Siasa kwamba ukiwa upinzani lazima upinge kila Jambo?
Nikijibiwa nikaelewa basi kura yangu kwake.
Tafuta makabrasha ya kesi husika utapata majibuKama kura hauitaki yeye anaitaka.
Anyways.. kama kura sio muhimu basi nijibiwe kama mtanzania.
Tumalize kwanza la Lissu afu tuje la Mwanyika.Mnaongeaga kama Wapuuzi lkn Kweli ni Wapuuzi
Kwani Barrick hawastahili kutetewa? Makamu Rais wa Barrick Deo Mwanyika mliyedai ni Mhujumu Uchumi na Mkashitaki kwa Makosa 90 leo si ndo Mgombea wa Magufuli Njombe Mjini, na si ndo Magufuli atafika kumfanyia Kampeni achaguliwe?
Duh. Wewe tukutane kwenye jukwaa la Waganga wa kienyeji huku uko mweupe.Tafuta makabrasha ya kesi husika utapata majibu
Kamwulize KILAZA wenuTumalize kwanza la Lissu afu tuje la Mwanyika.
Tusifiche hoja kwenye hoja nyingine.
Kwani Lissu alikuwa wakili wa Barick?
Naomba jibu.
Kwa hiyo Lissu alikuwa anafurahia ule unyonywaji hata hakuona uhumimu wa alichokuwa anafanya Magufuli?Kwanini serikali ya ccm ilikubali unyonyaji wa barrick?
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Duh! Kumbe bado hata haujui? Kwanza siyo Barrick, anzia Acacia. Barrick ilitumika kuiokoa serikali kwa kuinunua Acacia, na serikali ikaachana na madai dhidi ya Acacia ambao walikuwa radhi kwenda Miga.Naomba majibu ya hili swali Hadi leo sijapata.
Kwa nini Lissu alikiwa anawetetea Sana Barick na kutishia kwamba tutashitakiwa? Alikuwa na nia ya dhati kweli ama alikiwa anatetea ulaji wake tu? Ama ilikuwa sehemu ya Siasa kwamba ukiwa upinzani lazima upinge kila Jambo?
Nikijibiwa nikaelewa basi kura yangu kwake.
Kwamba Magufuli ndie alikuwa anawatetea Barick huku Lissu akiwatetea watanzania?
Sijaelewa hapa.
Kama huna jibu wewe ni kilaza pia.Kamwulize KILAZA wenu
How can any logical person think we can survive another five years or more of that dude from the green?Naomba majibu ya hili swali Hadi leo sijapata.
Kwa nini Lissu alikiwa anawetetea Sana Barick na kutishia kwamba tutashitakiwa? Alikuwa na nia ya dhati kweli ama alikiwa anatetea ulaji wake tu? Ama ilikuwa sehemu ya Siasa kwamba ukiwa upinzani lazima upinge kila Jambo?
Nikijibiwa nikaelewa basi kura yangu kwake.
Naomba majibu ya hili swali Hadi leo sijapata.
Kwa nini Lissu alikiwa anawetetea Sana Barick na kutishia kwamba tutashitakiwa? Alikuwa na nia ya dhati kweli ama alikiwa anatetea ulaji wake tu? Ama ilikuwa sehemu ya Siasa kwamba ukiwa upinzani lazima upinge kila Jambo?
Nikijibiwa nikaelewa basi kura yangu kwake.