MkuuNaomba majibu ya hili swali Hadi leo sijapata.
Kwa nini Lissu alikiwa anawetetea Sana Barick na kutishia kwamba tutashitakiwa? Alikuwa na nia ya dhati kweli ama alikiwa anatetea ulaji wake tu? Ama ilikuwa sehemu ya Siasa kwamba ukiwa upinzani lazima upinge kila Jambo?
Nikijibiwa nikaelewa basi kura yangu kwake.
You don't make sense, na hili swali huwarub vibaya lisu sympathizers..hakuna mtu amewatetea barrick kama Magufuli.
..serikali ilisema inawadai barrick usd 191 billion.
..kitu cha ajabu deni likateremshwa mpaka kuwa usd 300 million.
..yaani ni sawa na udai shilingi 630+ halafu ukubali kulipwa shilingi 1, tena ulipwe kidogo kidogo.
Hakuwa wakili wa Barrick katika hili sakata nini kilimfanya awateteeKwa sababu yeye ni Wakili,
Hata mawakili wa serikali huwa wanawatetea wauaji.
Nonsense, they were dealing with kabudi, mmeishiwa hoja, ila ukweli ni kwamba lisu ni snitch ambaye hawezi kuwa Rais na alikuwa mnufaikaji na kubwa kushinda yote, yeye na acacia walifeli...Jpm ametusaliti ktk madai yetu dhidi ya barrick.
..tena alikutana na mabosi wa barrick ikulu.
..kwanini alikutana na watu/majizi waliokuwa wakituibia madini?
Jibuni swaliSidhani kama kura yako ni muhimu kwake kiasi hicho
Nonsense, they were dealing with kabudi, mmeishiwa hoja, ila ukweli ni kwamba lisu ni snitch ambaye hawezi kuwa Rais na alikuwa mnufaikaji na kubwa kushinda yote, yeye na acacia walifeli.
Cheki mnavyoropokwa kwa hasira, tulijua mtabwatukaMnaongeaga kama Wapuuzi lkn Kweli ni Wapuuzi
Kwani Barrick hawastahili kutetewa? Makamu Rais wa Barrick Deo Mwanyika mliyedai ni Mhujumu Uchumi na Mkashitaki kwa Makosa 90 leo si ndo Mgombea wa Magufuli Njombe Mjini, na si ndo Magufuli atafika kumfanyia Kampeni achaguliwe?
Kamuulize Deo Mwamanyika alihujumu Tanzania au barrick make magu alituambia Deo ni kibaraka wa barrick/mabeberuKama kura hauitaki yeye anaitaka.
Anyways.. kama kura sio muhimu basi nijibiwe kama mtanzania.
mizuzu kama wewe ndio inafanyaga watanzania tuonekane vilaza! lissu kuonya kuwa "tutashitakiwa" ni utetezi???" HUNA AKILINaomba majibu ya hili swali Hadi leo sijapata.
Kwa nini Lissu alikiwa anawetetea Sana Barick na kutishia kwamba tutashitakiwa? Alikuwa na nia ya dhati kweli ama alikiwa anatetea ulaji wake tu? Ama ilikuwa sehemu ya Siasa kwamba ukiwa upinzani lazima upinge kila Jambo?
Nikijibiwa nikaelewa basi kura yangu kwake.
La muhimu gani magufuli alilofanya wewe uvccm, yaani kuzuia makapi ya makinikia huku wazungu wakiendelea kujibebea dhahabu pure ndo ushujaa?Kwa hiyo Lissu alikuwa anafurahia ule unyonywaji hata hakuona uhumimu wa alichokuwa anafanya Magufuli?
umegusa pabaya, hakuna atakae jibu zaidi ya kutukana.Tumalize kwanza la Lissu afu tuje la Mwanyika.
Tusifiche hoja kwenye hoja nyingine.
Kwani Lissu alikuwa wakili wa Barick?
Naomba jibu.
Kati ya Lissu na JPM,ni nani anawalinda Barrick?Inakuwaje kati ya usd bil 190 tuambulie dola mil 300 na JPM akubali?We ni miongoni wa wale walomuamini lisu eeeh.
Punguza unyumbu brother,next time utatumbukizwa shimoni ujue Kama hujui lolote ndani ya nchi hii.
Utakua Katika kundi linaloamini Lissu ndo Rais wako baada ya 28/10.
Bila Shaka atakua Rais wa nyumbu
Aliye ziibua hizo usd bil 190 ni nani hadi wewe leo umepata haki ya kuzidai na hizo mil 300 zilitokana na nini na ni nani alisababisha zipatikane?Kati ya Lissu na JPM,ni nani anawalinda Barrick?Inakuwaje kati ya usd bil 190 tuambulie dola mil 300 na JPM akubali?
Else Lissu alikuwa sahihi!
Nyumbu hazina akiliAliye ziibua hizo usd bil 190 ni nani hadi wewe leo umepata haki ya kuzidai na hizo mil 300 zilitokana na nini na ni nani alisababisha zipatikane?
Kwahiyo mmeridhika bila maelezo yoyote!Tuambiwe tuna wadai Usd bil 190,halafu tupewe usd ml 300 yaani chini ya 0.2% ya kile tunachodai halafu mchekelee na kuona ni sawa bila hata maelezo ya aliyekuja kwa mbwembwe kutambia tunadai $bil 190!!!!!Mtakuwa na matatizo ya akili!Aliye ziibua hizo usd bil 190 ni nani hadi wewe leo umepata haki ya kuzidai na hizo mil 300 zilitokana na nini na ni nani alisababisha zipatikane?