gm man
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,177
- 1,455
MkuuNaomba majibu ya hili swali Hadi leo sijapata.
Kwa nini Lissu alikiwa anawetetea Sana Barick na kutishia kwamba tutashitakiwa? Alikuwa na nia ya dhati kweli ama alikiwa anatetea ulaji wake tu? Ama ilikuwa sehemu ya Siasa kwamba ukiwa upinzani lazima upinge kila Jambo?
Nikijibiwa nikaelewa basi kura yangu kwake.
Umewahi pata majibu kwann hujapewa Noah uliyoahidiwa???