Huyu ndiye mpiganaji wa ukweli sio yule mwingine anayetafuta kick kwa kufukuza mawaziri huku akijua tatizo lipo kwenye mikataba[/QUOT
Sasa unataka tufanye nini we kyadema , hata kupiga kelele kuwa tunaibiwa inatosha
Acha kupinga kila kitu cc tupo na Magu we kaa na mamvi
"ameweka angalizo pasije pakatokea tukaingia hasara kubwa" Ina maana sheria inaweza kubadilika huko mbeleni!!? inakuaje aseme "pasije"!! kumbe hata kama tumekiuka mkataba tunaweza kupenya kulingana na hako ka msitari tu,siamini kama sheria inaweza kupinda kiasi hiki,yeye ni mwanasheria anatakiwa kama kweli ana uchungu na nchi yake aseme "tusipokua makini na sheria,tutawalipa na aseme kama kuna uwezekano wa kuitumia sheria yake kichwani kutusaidia kwa lolote fullstop!tatizo mijitu mingine utafikiri yanatoka usingizini ww umeambiwa hili tatizo la kuibiwa ni la kisheria tena na mikataba hii iliyowekwa ipo kisheria sasa ameweka angalizo pasije pakatokea tukaingia hasara kubwa kwa kulipa fidia kubwa na kimkataba hayo siyo madini yako ni yao maana mlishaingia mkataba na huo ndo kweli asiyetaka ni mda tu utaongea na huo mchanga mtausafirisha wenyewe kwa gharama zenu na hilo wakulaumiwa ni viongozi wenu waliojuu ya sheria!
Jamani eee!!! aliyeianzisha hii vita ni Mh Magufuli na kajipangia namna ya kuipigana. Kaunda kamati mbili za kumshauri. Kamti ya kwanza imetoa majibu na maoni bado ya pili.
Kutletea maoni ya huyu mwehu humu ni kutuchosha sana. Maprofesa na madokta washeria na uchumi wamo kwenye kamati ya pili watamshauri kisheria limekaaje. Chochote watakacho shauri ndicho kitakachofanyika. Lisu na wapuuzi wengine wasimsafishe mtoto bado anajisaidia waache kihelehele.
Twambie sasa nani siyo corrupt?Kwenye siasa na hasa siasa za kipumbavu za ccm ni kutengeneza matatizo na kuja kujifanya wanayatatua baadae.....yaani hiki ni chama cha sanaa na wizi mtupu. Matukio mengine yapo hawayatatui mpaka watz wateseke ndipo wao wanakuja na kujifanya wanatatua.....
Magufuli was is and will never be a hero coz he is a member of corrupt system of ccm which consistently destroys watz.....
I will the very last person to agree on any move initiated by ccm
That makes the two of you!huyu ni chizi tuu aseme kama mikataba iliyo sainiwa ina halalisha kudanganya kiasi cha madini kilichomo ndani ya mchanga....
Tahira huyu
Naona Lisu ana ushawishi mkubwa sana ila nasikitika sana kwa nini hakujumuishwa kwenye kamati mojawapo bnafsi ningeelewa zaidi ya nijuavyo manake nakosa wa kumuamini,Lisu aunganishwe tu kubishana wenyewe kwa wenyewe kunazidi kuwapa nguvu ACACIA in case kama ni lweli wanaiba,tujiridhishe tu kwa namna yoyote hamna namnaAnother primitive argument.....
Wewe unasema kuna kamati mbili au kumi au hata mià moja hazijatoa ripoti, iweje sasa baba yenu ameshaanza kutoa hukumu kwa watu kwa taarifa ya kamati ya kwanza tu !!!??
Prof. Muhongo, watendaji wa TMAA na wengine.....
Hizo ripoti zingine zinakuja na jipya gani ambacho hakijatajwa na kamati ya awali ?
Mimi nadhani Tundu Lissu yuko sahihi kusema, movu na ripoti hii ni purely politics iliyopakwa rangi ya "ripoti ya kitaalamu"...
Kila kamati inayo mapendekezo yake. Kamati ya pili itatoa muongozo na ushauri wa kisheria na ndio sababu ya kuundwa kwake.Another primitive argument.....
Wewe unasema kuna kamati mbili au kumi au hata mià moja hazijatoa ripoti, iweje sasa baba yenu ameshaanza kutoa hukumu kwa watu kwa taarifa ya kamati ya kwanza tu !!!??
Prof. Muhongo, watendaji wa TMAA na wengine.....
Hizo ripoti zingine zinakuja na jipya gani ambacho hakijatajwa na kamati ya awali ?
Mimi nadhani Tundu Lissu yuko sahihi kusema, movu na ripoti hii ni purely politics iliyopakwa rangi ya "ripoti ya kitaalamu"...
Leo mmekosa point kabisaaaa ndugu zangu......Najiuliza sana swali dogo tu kila nikiona post ya Lisu kiufupi nasubiri apost kuwa amepima yeye au kashuhudia upimaji wa huo mchanga na kajiridhisha kuwa hatuibiwi,nitamuelewa sana,tofauti na hapo aendelee kusoma takwimu na historia kwenye makaratasi hadi pale atakapo ikomboa nchi kwa takwimu na sheria
Yule zezeta hawezi tambua tatizo lipo wapi. Kama alishindwa kutambua tatizo lake la kuwa na PHD ila hawezi kutunga sentence in english.Huyu ndiye mpiganaji wa ukweli sio yule mwingine anayetafuta kick kwa kufukuza mawaziri huku akijua tatizo lipo kwenye mikataba