Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

ccm ndo walivyo, hata wanaloshangilia leo hawalijui. Magufuli kwa sasa ndo kipaumbele chao hivyo hata akiamuru lunch iliwe uani wao watashangilia tu. Na wengine watasema kuna harufu nzuri.
HAHAHAAAAAAA! noma sana
 
Raisi wetu naomba ututajie majna yale ulisema unayo, tujue nani ni nani.

Pia tunasubiri ripoti zingine kwa hamu kubwa.

Hongera Raisi wetu, nazidi kufurahia kuwa upande wako.
Hv ww bado upo tu, hujateuliwa kiwa mkuu wa wilaya bado??? Kama ndugu yako chabruma.......
 
Unasubiri mafisadi kuisha CCM mkuu? Unapoteza muda wako. Jiulize tangu magufuli aingie madarakani amewafukuza wangapi na bado anaendelea kila siku.lakini hawaishi. Jaribu kushangaa
Wataishaje wakati wengine wanakimbilia kambi ya pili
 
Leo mmekosa point kabisaaaa ndugu zangu......
Ebu tafuta historia ya lissu harakati zake za mwanzoni alizifanya wapi kama siyo migodini
Samahani sana kama nitakua nakuudhi,nna stress sana mkuu ki ukweli ila kuniambia nifatilie harakati za Lisu huko zamani sio poa man,ebu fatilia wewe tu,kuwa mgodini unaweza ukawa mlinzi getini so sio issue saaana cha msingi rahisisha kazi,sema alikua nani akasikia au akapima hivyo ndo vitu nataka kusikia,sina nnapo egemea kwa hiyo naomba ukijibu unijibu kama mtanzania asiye na chama kirahisi tu kwa sababu tunatofautiana IQ so tusisumbuane na homework, sorry
 
Lolote na liwe, JPM anajua analofanya.

we hujui?
 
Kamati za kumshauri anachotaka!!!!!
Utachekea chooni uchekwe
 
TAARIFA ILIYOTHIBITISHWA INAONYESHA KWAMBA , MH TUNDU LISSU NDIYE MWANASHERIA BORA KABISA KUWAHI KUWEPO KWENYE ENEO LA MAZIWA MAKUU , TANGU KUUMBWA KWA MBINGU NA ARDHI .
 
Mkuu nakuheshimu sana. Lakini kwa nini hatulielewi hili sakata la mchanga?

Tatizo sio mkataba.

Tatizo ni kuwa wanadanganya kuwa mchanga una dhahabu kilo X kumbe ukweli una kilo 10X. Hiki ndicho anachoshupalia Raisi Magufuli.

Kwa nini hatumuelewi?

Au ndio upinzani wenyewe huo?

Ninashindwa kuelewa kiini cha huu mjadala.

Maybe I am dumb.
 
Watu kama tundulissu wako wengi; huu kwao ni mradi. On one hand anawskstisha tamaa wenye kuonewa kwa kutumia Kiingereza kigumu na legal subterfuge. Hapa anawinda kwamba just in the remote Acacia washinde ajipatie sifa kisiasa kwamba I told you so. Kama wakishindwa - na watashindwa, mkataba si mkataba kama ukiweza kuonyesha fraud - atakaa kimya, hakuna atakayemkumbuka, atabaki anadharauliwa kama zamani. He has thetefore nothing to lose. Lakini kibaya zaidi ni kuwa anawasaidia maadui wetu kujenga hoja ya utetezi akitegemea watamlipa. Si lazima aende mahakamani kuwatetea, kitakachotokea watamlipa kimya kimya awapatie Legal Opinion; hatuna namna ya kujua kama katoa kegal opinion na kulipwa au la, lakini tayari ananyemelea apewe kazi ya legal opinion, au Lawyer wao atamfuata privately atoe legal opinion. Hiyo argument ya kusema mikataba minovu ni ya kitoto. Shida si ubovu wa mkataba (kwa sababu mkataba umesema mawe yakaguliwe na kupimwa na watu wetu wa TRA na wa madini na mapolisi. Hawa wasipokuwa na uzalendo wakaachia tani 5 zipite bila kuhesabiwa, ina maana ni sawa na watu wanazini ingawa Amri ya 6 ya Mungu mwenyewe imekataa kuzini. Lissu anapalilia tumbo lake.
 
Hv ww bado upo tu, hujateuliwa kiwa mkuu wa wilaya bado??? Kama ndugu yako chabruma.......

Oooh

Hanifahamu na mimi ni mwananchi tu kama wewe, na mdau wa JF.

Kwa hiyo tulia mimi na nyie humu humu.
 
Kamati za kumshauri anachotaka!!!!!
Utachekea chooni uchekwe
Kama ndio utakuwa ushauri atafanya hivyo. Hata kama watamshauri kuomba radhi atafanya. Wakimshauri awapunguzie bei atafanya.
 
Na kweli wewe ni Dumb wala hujakosea..Magufuli wakati kipindi hicho anasema Ndiyo mswaada wa madini upite alikuwa hajui faida na madhara yake? Au alikuwa anaunga mkono ilimradi tu bora liende?
 
Yaani we acha tu ndugu yangu
 
Nchi hii inavituko sana Magufuri amekua mbuge zaidi za miaka kumi amekua waziri miaka kumi Chama chake ndo kilichoingia mikataba ya kuihujumu Nchi tena swahiba wake Mkapa sasa heti leo nishujaa kuseamea mchanga CCM wanatengeza matatizo tena wanajifanya kuyatatua wajinga wanashangalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…