Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena wakati Lowasa na Sumaye ni mawaziri wakuu, kwa nyakati tofauti.Aliyesaini hiyo mikataba ni nani? Kwa maelekezo ya nani? Chini ya serikali ya chama gani? Iliyopitishwa na wabunge wengi wa chama gani?
Lissu kawaambia mikataba ndio tatizo, kumtukana Lissu hakutawasaidia jengeni hoja.Lakini kingwangala ameshawaambia kuwa lieu ni mteja wake na anaumwa uchizi. Hivi wakati watanzania wote wapo na jpm yeye anaona chadema itapotea kabisa bora aje na ngonjera zake. We lieu fara na bwege kabisa huna akili una akili za chooni
Jamani, kuna watu walikuwa wanapiga mishe haya makontena na wanachemsha huo mchanga maana dhahabu yake hauwezi kushika bila kuchemsha.Kwa hiyo mikataba ya madini inaruhusu kudanganya kilichopo??
Tumbo hunyonya damu ya ubongo!!
Magufuri chonde angalia kwanza mikataba hii kijinga inasemaje pamoja na nia nzuri utatuingiza kwenye majanga tafadhali![]()
Na mimi ni Mtanzania pia.
Tofauti kati yangu mimi na wewe na Magufuli ni hii: Mimi nimepigania nchi yangu katika masuala haya tangu mwaka '99.
Wakati huo tulikuwa na mgodi mmoja tu wa dhahabu, Resolute Golden Pride Nzega. Bulyanhulu ilikuwa haijajengwa. Geita ndio kwanza walikuwa wanafukuza wanakijiji wa Mtakuja.
Nadhani nilikuwa wa kwanza katika nchi hii kupiga yowe kwamba tutaibiwa sana kwenye sekta ya madini.
Wewe sijui ulikuwa wapi wakati huo. Najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa MaCCM na wawekezaji hawa.
Nimepigana na wawekezaji hawa mahakamani, kwenye medani ya kisiasa ndani na nje ya nchi hii kwa zaidi ya miaka 15. Nimetetea wananchi completely free of charge Bulyanhulu, Tarime, Nzega, Geita, n.k.
Sijui wewe ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa upande wa nani: wa MaCCM na wanyonyaji hawa.
Soma Rai ya tarehe 17 Julai, 2001, uone tulimwambia nini Mkapa siku anaenda kuzindua Mgodi wa Bulyanhulu.
Sijui ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa wapi: alikuwa anatetea tumbo lake na matumbo ya wanyonyaji hawa.
Nilikamatwa na kushtakiwa kwa uchochezi kwa sababu ya Bulyanhulu. Hiyo ilikuwa December 2002. Nilikaa na kesi hiyo mahakamani Kisutu kwa miaka sita.
Sijui ulikuwa wapi ila najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa watesi wa wananchi na wanyonyaji wa rasilmali zetu.
Leo Magufuli anajifanya mzalendo na anahoji uzalendo we yeyote anayepingana nae.
Ni muongo. Anatafuta umaarufu wa kisiasa kwa wasiojua na wasiokumbuka. Ataupata. Kwa siku chache tu. Mark my words: ataumbuka na mtaumbuka.
Mimi ninampinga hadharani. Sio mnafiki, na sijahongwa. Ninampinga kwa sababu atatusababishia matatizo makubwa zaidi kuliko tuliyonayo sasa.
Huo mchanga atauachia upelekwe ambako umepelekwa kwa miaka 16 iliyopita. Kama sheria ndiyo hiyo na mikataba ndiyo hiyo hana pakwenda.
Tatizo ninaloliona ni kwamba by the time anawarudishia mchanga wao, Tanzania itakuwa imekuwa a basket case kama Zimbabwe.
Na tutakuwa tumelipishwa mapesa mengi kama fidia na arbitral tribunals za kimataifa kwa kuvunja mikataba na wawekezaji hawa.
Kama kuna anayefikiri uzalendo ni kufumbia macho masuala haya basi huyo na amuunge mkono Magufuli kwenye upofu wake wa kujitakia.
Ripoti ya Prof. Mruma haitamaliza hata nusu saa under serious scrutiny. Zaidi ya majina ya maprofesa walioiandaa, ripoti hii haina credibility yoyote. Ni kazi ya kisiasa iliyopakwa rangi ya usomi.
Kama umefuatilia taarifa za kitaalamu za Bulyanhulu hata kabla ya Barrick Gold kuingia mwaka '99 utajua ninasema nini.
Sutton Resources, Outukumpu Oy na hata STAMICO walishafanya utafiti mkubwa juu ya utajiri wa Bulyanhulu. Taarifa zipo na zimekuwepo kwa hata mbumbumbu wa jiolojia ya madini kama mimi.
Hiki alichoambiwa Magufuli ni rubbish, hata kama ni ya kiprofesa. Rubbish. Hatuibiwi kwenye mchanga, that's the rubbish fed on the unlettered.
Tunaibiwa kwenye sheria. Kama hamuoni hilo then God have mercy on us.
Madikteta wengi wako hivyo wakizidiwa kwa hoja wanawapiga exile.Lissu ningekuwa mimi ndo JPM ningekupiga exile...
Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
Naomba kifungu cha sheria ya mikataba ya madini mliyoipa NDIYO za vigelegele ili tukate mzizi wa fitinahuyu ni chizi tuu aseme kama mikataba iliyo sainiwa ina halalisha kudanganya kiasi cha madini kilichomo ndani ya mchanga....
Tahira huyu
Jamaa yangu tuko pamoja lakini hiki kiingereza sio cha nchi hii ,hiki kinapatikana wapi bro?I do agree 100% with Lissu on this,even me personally before once so called Investigation Comettee results delivered to President Magufuli I disagreeded completely that was a NULL and action.
This is due to Magufuli was a MP/a Minister for not less than TWO DEACADES(20 yrs) in the government of ccm knowingful all these National economics sabotage that was being done without even shout in/out side the Parliament.
Worst enough all these happenings was being done under ccm,and he was among too.
Watz.wenzangu hakuna asiyekuwa na uzalendo wa Taifa lake ila siyo kwa kutumia au kutafuta political popularity and political sympathy,with no any benefit gain.
Lastly withoul Legally actions taken to all privatization resources especially to all contarcts that have been signed by ccm leaders will take our country to fatal economic situation.
Great thinkers sh'd enlight small brains not to maniac political comedies I can say,without knowing the repucations and the mission of the movies also I can say.
My Take the ONLY solutions to all tregidies/catotrophics was being happening to our country is when ccm and all his leaders to stay aside and leave others to lead them and show them a good example.
For instance what Magufuli doing is to push a car while he's inside the car/a snake bite it's tail sothn that impossible or pushing the wall and all these now are called WORKS DONE = 0.
Mimi na wewe tunamaana moja ila tofauti miandiko tu,haihitaji cheti cha chekechea kujua ni kina nani waliotufikisha hapa ovious ni CCM asiye jua hilo akizaliwa tutamsimuliaKuibiwa, tunaibiwa sana.... hakuna anayebisha !!
Kinacholeta shida na kutuudhi sisi wengine ni kuwa, hata hawa CCM ambao ndiyo waliosaini kuibiwa kwetu, wanajifanya kulia pamoja na sisi wakati wanapaswa wote kuwa wako jela akiwemo Magufuli mwenyewe !!!
Wangekuwa waungwana hawa, kuanzia Magufuli mwenyewe, hadi huku chini wangepaswa kuachia ngazi ktk kuongoza jahazi la taifa hili......!!
Sasa unashangiliaje kitu haujui?
Do you smoke?
Kama kuna anayefikiri uzalendo ni kufumbia macho masuala haya basi huyo na amuunge mkono Magufuli kwenye upofu wake wa kujitakia.OverLissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
amin amini kila anachokifanya magu anampa credit Tundu lisu bila kujua. hakika mungu ni wa ajabu. ona sasa Magu kajifaragua na mchanga wa dhahabu, lakini Lisu kachukua point tatu bila jasho. kwa uzi huu magu hawezi tia mguu hata huko aliko anaugulia maumivu.![]()
Na mimi ni Mtanzania pia.
Tofauti kati yangu mimi na wewe na Magufuli ni hii: Mimi nimepigania nchi yangu katika masuala haya tangu mwaka '99.
Wakati huo tulikuwa na mgodi mmoja tu wa dhahabu, Resolute Golden Pride Nzega. Bulyanhulu ilikuwa haijajengwa. Geita ndio kwanza walikuwa wanafukuza wanakijiji wa Mtakuja.
Nadhani nilikuwa wa kwanza katika nchi hii kupiga yowe kwamba tutaibiwa sana kwenye sekta ya madini.
Wewe sijui ulikuwa wapi wakati huo. Najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa MaCCM na wawekezaji hawa.
Nimepigana na wawekezaji hawa mahakamani, kwenye medani ya kisiasa ndani na nje ya nchi hii kwa zaidi ya miaka 15. Nimetetea wananchi completely free of charge Bulyanhulu, Tarime, Nzega, Geita, n.k.
Sijui wewe ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa upande wa nani: wa MaCCM na wanyonyaji hawa.
Soma Rai ya tarehe 17 Julai, 2001, uone tulimwambia nini Mkapa siku anaenda kuzindua Mgodi wa Bulyanhulu.
Sijui ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa wapi: alikuwa anatetea tumbo lake na matumbo ya wanyonyaji hawa.
Nilikamatwa na kushtakiwa kwa uchochezi kwa sababu ya Bulyanhulu. Hiyo ilikuwa December 2002. Nilikaa na kesi hiyo mahakamani Kisutu kwa miaka sita.
Sijui ulikuwa wapi ila najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa watesi wa wananchi na wanyonyaji wa rasilmali zetu.
Leo Magufuli anajifanya mzalendo na anahoji uzalendo we yeyote anayepingana nae.
Ni muongo. Anatafuta umaarufu wa kisiasa kwa wasiojua na wasiokumbuka. Ataupata. Kwa siku chache tu. Mark my words: ataumbuka na mtaumbuka.
Mimi ninampinga hadharani. Sio mnafiki, na sijahongwa. Ninampinga kwa sababu atatusababishia matatizo makubwa zaidi kuliko tuliyonayo sasa.
Huo mchanga atauachia upelekwe ambako umepelekwa kwa miaka 16 iliyopita. Kama sheria ndiyo hiyo na mikataba ndiyo hiyo hana pakwenda.
Tatizo ninaloliona ni kwamba by the time anawarudishia mchanga wao, Tanzania itakuwa imekuwa a basket case kama Zimbabwe.
Na tutakuwa tumelipishwa mapesa mengi kama fidia na arbitral tribunals za kimataifa kwa kuvunja mikataba na wawekezaji hawa.
Kama kuna anayefikiri uzalendo ni kufumbia macho masuala haya basi huyo na amuunge mkono Magufuli kwenye upofu wake wa kujitakia.
Ripoti ya Prof. Mruma haitamaliza hata nusu saa under serious scrutiny. Zaidi ya majina ya maprofesa walioiandaa, ripoti hii haina credibility yoyote. Ni kazi ya kisiasa iliyopakwa rangi ya usomi.
Kama umefuatilia taarifa za kitaalamu za Bulyanhulu hata kabla ya Barrick Gold kuingia mwaka '99 utajua ninasema nini.
Sutton Resources, Outukumpu Oy na hata STAMICO walishafanya utafiti mkubwa juu ya utajiri wa Bulyanhulu. Taarifa zipo na zimekuwepo kwa hata mbumbumbu wa jiolojia ya madini kama mimi.
Hiki alichoambiwa Magufuli ni rubbish, hata kama ni ya kiprofesa. Rubbish. Hatuibiwi kwenye mchanga, that's the rubbish fed on the unlettered.
Tunaibiwa kwenye sheria. Kama hamuoni hilo then God have mercy on us.
Then GOD have mercy on usTaarifa iliyopekelewa na mh Rais ilikuwa ni ya kamati ya uchunguzi ambayo ilikuwa na hadidu rejea.. ambazo zilihitaji majibu. Na bila shaka majibu yaliypatikana ni hayo.
sasa mlitaka wasiyachunguze hayo makontena? Na wasingeyachunguza hizo taarifa za kilichomo na uwezo wa scanner zetu pale bandarini je yangejulikanaje?
Kwa mujibu wa ripoti baada ya uchinguzi...
je ndani ya mchanga kuna madini?
Kama yapo ni ya aina gani?
Kwa kiwango gani?
je taratibu zinazohusika na madini kwa nchi yetu zinafuatwa? Ni kwa kiwango gani?
uwezo wetu kupima kilichopo katika makontaina hayo ni wa uhakika?
Kama ndio je ni kwa kiwango gani?
Waliohusika na upimaji huo wana elimu katika masuala hayo? Kama ndio elimu na uelewa wao ni wa kiwango gani?
je taarifa ilikuwa inamhusu nani ? Kama ni yetu Watanzania enyi wanasiasa "wabwatukaji" mlitaka tuipokee kwa mtindo upi?
enyi mbweha mlio wanafaki mabwingwa wa kuhadaaa na kurubuni akili za watu kwa maswali hayo sioni shaka kwa kiwango kidogo cha elimu nilicho jaaliwa kukipata.
kwa uandishi huu utakuwa unakojoa umechuchumaa. hata hivyo aksante kwa mchango wakoHuyu mmmmmmmmmh
In short anazidi kuboaaaaaaaaaaa kutafuta kiki tu na wivu.com umemjaa
Alipoona hayo yote kwanini hakwenda Ikulu kupigania anayodai, akakaa getini akaweka na kambi hadi aone mabadiliko kuwa amesikilizwa.
Maneno yake yamejaa uchungu anajua wengi wamependa alichofanya Raisi, na anajua mengi yanakuja.
Mdaku kweli huyu na hana heshima kwa jitihada za Mh. Magufuli akwende hukoooooooooo
Wanaojielewa hatudanganyiki
Hasira za kukosa mkato wa kutopokea vibahasha
Lolote na liwe, JPM anajua analofanya.
Hapa kazi tu
Magufuli 2020
Magufulie oyeeeeeeeeee