Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

Jibu swali usitoe vitisho, je Lissu kapima huo mchanga?
Ripoti yenyewe ishakosa uhalali haiaminiki tena
maneno matatu tuu ya accasia yametosha kuishushia hadhi iyo ripoti.
kwa nn tusingeunda kamati huru ichunguze ili kuondoa utata huu wa serkal kubishana na accasia?
 
Hiyo maana inayotokana na muktadha wanaoujua wazazi wako tu na kukufundisha wewe haunihusu.
Muktadha nilioutumia,neno hilo linawasilisha nilichokikusudia.
Umejisahau kuwa upo nje, umelizoea kwa muktadha wa vikao vya ccyemu vikao vya ndani.
 
We umeandika kiungwana sana na ndo inavyotakiwa wakati unaitetea nchi yako siwezi kukujibu ujinga kwa sababu hubishani umetoa ukweli wako,bnafsi simchukii Lisu wala post zake,ila nachomaanisha mimi ni ushiriki wake wa moja kwa moja bila kujali makosa yalifanywa na nani tukaingia mikataba uchwara manake kama ni hasara itatukuta wote so, kipi bora,atumie uanasheria wake kutuchomoa huku tulipo au aendelee kuilaumu serikali ya CCM na kututabiria anguko!!?

Mkuu;
Kama nilimuelewa Tundu Lisu, nadhani hata yeye hakuwa na maana kuwa anataka tuu kuilaumu serekali ya ccm ila alitaka kutukumbusha aliyeileta hii kadhia na sasa aliyeileta anataka kutuongezea mzigo bila kutuandaa kuupokea.
Hata iweje, tusianze kuzozana. Hebu tupunguze munkari, tukae pamoja kama nchi/taifa. Tuseme, kwa kuwa sasa tumeamua kulitikisa dude, tusiliache tena litulie ila tulitikise kweli kweli hadi tufikie mahali pa kuondoa ujinga tuliofanya tulitikise hadi tung'oe hiyo mirija ya unyonyaji waliyo tufungia. Lisu, akalishwe na wenzake wote wa TLS, waje na kitu cha kutukwamua hapa. Asiende kichama wala hao wengine wote wasije hapo kichama cha siasa bali waje Kitaifa
 
18622446_1126398777465538_2060351389369899505_n.jpg



Na mimi ni Mtanzania pia.

Tofauti kati yangu mimi na wewe na Magufuli ni hii: Mimi nimepigania nchi yangu katika masuala haya tangu mwaka '99.

Wakati huo tulikuwa na mgodi mmoja tu wa dhahabu, Resolute Golden Pride Nzega. Bulyanhulu ilikuwa haijajengwa. Geita ndio kwanza walikuwa wanafukuza wanakijiji wa Mtakuja.

Nadhani nilikuwa wa kwanza katika nchi hii kupiga yowe kwamba tutaibiwa sana kwenye sekta ya madini.

Wewe sijui ulikuwa wapi wakati huo. Najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa MaCCM na wawekezaji hawa.

Nimepigana na wawekezaji hawa mahakamani, kwenye medani ya kisiasa ndani na nje ya nchi hii kwa zaidi ya miaka 15. Nimetetea wananchi completely free of charge Bulyanhulu, Tarime, Nzega, Geita, n.k.

Sijui wewe ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa upande wa nani: wa MaCCM na wanyonyaji hawa.

Soma Rai ya tarehe 17 Julai, 2001, uone tulimwambia nini Mkapa siku anaenda kuzindua Mgodi wa Bulyanhulu.

Sijui ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa wapi: alikuwa anatetea tumbo lake na matumbo ya wanyonyaji hawa.

Nilikamatwa na kushtakiwa kwa uchochezi kwa sababu ya Bulyanhulu. Hiyo ilikuwa December 2002. Nilikaa na kesi hiyo mahakamani Kisutu kwa miaka sita.

Sijui ulikuwa wapi ila najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa watesi wa wananchi na wanyonyaji wa rasilmali zetu.

Leo Magufuli anajifanya mzalendo na anahoji uzalendo we yeyote anayepingana nae.

Ni muongo. Anatafuta umaarufu wa kisiasa kwa wasiojua na wasiokumbuka. Ataupata. Kwa siku chache tu. Mark my words: ataumbuka na mtaumbuka.

Mimi ninampinga hadharani. Sio mnafiki, na sijahongwa. Ninampinga kwa sababu atatusababishia matatizo makubwa zaidi kuliko tuliyonayo sasa.

Huo mchanga atauachia upelekwe ambako umepelekwa kwa miaka 16 iliyopita. Kama sheria ndiyo hiyo na mikataba ndiyo hiyo hana pakwenda.

Tatizo ninaloliona ni kwamba by the time anawarudishia mchanga wao, Tanzania itakuwa imekuwa a basket case kama Zimbabwe.

Na tutakuwa tumelipishwa mapesa mengi kama fidia na arbitral tribunals za kimataifa kwa kuvunja mikataba na wawekezaji hawa.

Kama kuna anayefikiri uzalendo ni kufumbia macho masuala haya basi huyo na amuunge mkono Magufuli kwenye upofu wake wa kujitakia.

Ripoti ya Prof. Mruma haitamaliza hata nusu saa under serious scrutiny. Zaidi ya majina ya maprofesa walioiandaa, ripoti hii haina credibility yoyote. Ni kazi ya kisiasa iliyopakwa rangi ya usomi.

Kama umefuatilia taarifa za kitaalamu za Bulyanhulu hata kabla ya Barrick Gold kuingia mwaka '99 utajua ninasema nini.

Sutton Resources, Outukumpu Oy na hata STAMICO walishafanya utafiti mkubwa juu ya utajiri wa Bulyanhulu. Taarifa zipo na zimekuwepo kwa hata mbumbumbu wa jiolojia ya madini kama mimi.

Hiki alichoambiwa Magufuli ni rubbish, hata kama ni ya kiprofesa. Rubbish. Hatuibiwi kwenye mchanga, that's the rubbish fed on the unlettered.

Tunaibiwa kwenye sheria. Kama hamuoni hilo then God have mercy on us.
Sawa unachosema mh. Lissu kinaweza kuwa ni sawa! Swali langu tena kwa mh. Lissu je tukubali kuendelea kuutupa kwa wazungu huu mchanga wenye madini lukuki;
Kwa sababu ya mikataba mibovu? Au alitakiwa mtu jasiri wa kusema imetosha? Ili iwe chanzo cha kubatilisha hizi sheria mbovu? Kipindi hicho alichokuwa tundu
Naamini kipindi mh. Lisu alichokuwa anapigania rasilimali uelewa wa watanzania ulikuwa mdogo na wasomi walikuwa wachache.
Hapa swala sio kuanza kumtafuta mchawi nani hapana, kinachotakiwa tuungane pamoja tupiganie rasilimali zetu.
Mh. Lissu atumie usomi wa kusaidi kutetea Mali zetu, aache kuwaogopa wazungu.
 
18622446_1126398777465538_2060351389369899505_n.jpg



Na mimi ni Mtanzania pia.

Tofauti kati yangu mimi na wewe na Magufuli ni hii: Mimi nimepigania nchi yangu katika masuala haya tangu mwaka '99.

Wakati huo tulikuwa na mgodi mmoja tu wa dhahabu, Resolute Golden Pride Nzega. Bulyanhulu ilikuwa haijajengwa. Geita ndio kwanza walikuwa wanafukuza wanakijiji wa Mtakuja.

Nadhani nilikuwa wa kwanza katika nchi hii kupiga yowe kwamba tutaibiwa sana kwenye sekta ya madini.

Wewe sijui ulikuwa wapi wakati huo. Najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa MaCCM na wawekezaji hawa.

Nimepigana na wawekezaji hawa mahakamani, kwenye medani ya kisiasa ndani na nje ya nchi hii kwa zaidi ya miaka 15. Nimetetea wananchi completely free of charge Bulyanhulu, Tarime, Nzega, Geita, n.k.

Sijui wewe ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa upande wa nani: wa MaCCM na wanyonyaji hawa.

Soma Rai ya tarehe 17 Julai, 2001, uone tulimwambia nini Mkapa siku anaenda kuzindua Mgodi wa Bulyanhulu.

Sijui ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa wapi: alikuwa anatetea tumbo lake na matumbo ya wanyonyaji hawa.

Nilikamatwa na kushtakiwa kwa uchochezi kwa sababu ya Bulyanhulu. Hiyo ilikuwa December 2002. Nilikaa na kesi hiyo mahakamani Kisutu kwa miaka sita.

Sijui ulikuwa wapi ila najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa watesi wa wananchi na wanyonyaji wa rasilmali zetu.

Leo Magufuli anajifanya mzalendo na anahoji uzalendo we yeyote anayepingana nae.

Ni muongo. Anatafuta umaarufu wa kisiasa kwa wasiojua na wasiokumbuka. Ataupata. Kwa siku chache tu. Mark my words: ataumbuka na mtaumbuka.

Mimi ninampinga hadharani. Sio mnafiki, na sijahongwa. Ninampinga kwa sababu atatusababishia matatizo makubwa zaidi kuliko tuliyonayo sasa.

Huo mchanga atauachia upelekwe ambako umepelekwa kwa miaka 16 iliyopita. Kama sheria ndiyo hiyo na mikataba ndiyo hiyo hana pakwenda.

Tatizo ninaloliona ni kwamba by the time anawarudishia mchanga wao, Tanzania itakuwa imekuwa a basket case kama Zimbabwe.

Na tutakuwa tumelipishwa mapesa mengi kama fidia na arbitral tribunals za kimataifa kwa kuvunja mikataba na wawekezaji hawa.

Kama kuna anayefikiri uzalendo ni kufumbia macho masuala haya basi huyo na amuunge mkono Magufuli kwenye upofu wake wa kujitakia.

Ripoti ya Prof. Mruma haitamaliza hata nusu saa under serious scrutiny. Zaidi ya majina ya maprofesa walioiandaa, ripoti hii haina credibility yoyote. Ni kazi ya kisiasa iliyopakwa rangi ya usomi.

Kama umefuatilia taarifa za kitaalamu za Bulyanhulu hata kabla ya Barrick Gold kuingia mwaka '99 utajua ninasema nini.

Sutton Resources, Outukumpu Oy na hata STAMICO walishafanya utafiti mkubwa juu ya utajiri wa Bulyanhulu. Taarifa zipo na zimekuwepo kwa hata mbumbumbu wa jiolojia ya madini kama mimi.

Hiki alichoambiwa Magufuli ni rubbish, hata kama ni ya kiprofesa. Rubbish. Hatuibiwi kwenye mchanga, that's the rubbish fed on the unlettered.

Tunaibiwa kwenye sheria. Kama hamuoni hilo then God have mercy on us.
Hii nimeielewa mno
 
.., Kwenye masuala ya kukurupuka mimi sio mwenzenu (ninyi washangiliaji) ..., kama ujasiri ni sambamba na kukurupuka, mimi sio mwenzenu asilani.., na sasa mniite msaliti..., huu mchanga mtakuja kulipishwa Mapesa ya kutosha na fidia juu na arbitral tribunals za kimataifa.., rejea kesi ya IPTL.., rejea kesi ya kukamata samaki za wachina kwa kukurupuka.., wale wachina waliachiwa huru wao na meli yao ya TAWALIQ 1.., wakarejeshewa hati zao za kusafiria, pamoja na gharama yote ya samaki waliokuwemo ndani ya meli ile, samaki aina ya Jodari..., tukawalipa na fidia ya Bilioni 9.., endeleeni na hizi kelele zenu sasa, baadae msigeuze shingo pembeni wakati wa kuwalipa ACACIA fidia (Kiporo kikiwachachia).., tatizo sio ACACIA, tatizo ni CCM.., sheria mbovu zimetungwa na CCM, sera za madini na uwekezaji mbovu, mikataba haramu imeingiwa kwa siri.., mchawi sio ACACIA.., ni CCM!
 
18622446_1126398777465538_2060351389369899505_n.jpg



Na mimi ni Mtanzania pia.

Tofauti kati yangu mimi na wewe na Magufuli ni hii: Mimi nimepigania nchi yangu katika masuala haya tangu mwaka '99.

Wakati huo tulikuwa na mgodi mmoja tu wa dhahabu, Resolute Golden Pride Nzega. Bulyanhulu ilikuwa haijajengwa. Geita ndio kwanza walikuwa wanafukuza wanakijiji wa Mtakuja.

Nadhani nilikuwa wa kwanza katika nchi hii kupiga yowe kwamba tutaibiwa sana kwenye sekta ya madini.

Wewe sijui ulikuwa wapi wakati huo. Najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa MaCCM na wawekezaji hawa.

Nimepigana na wawekezaji hawa mahakamani, kwenye medani ya kisiasa ndani na nje ya nchi hii kwa zaidi ya miaka 15. Nimetetea wananchi completely free of charge Bulyanhulu, Tarime, Nzega, Geita, n.k.

Sijui wewe ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa upande wa nani: wa MaCCM na wanyonyaji hawa.

Soma Rai ya tarehe 17 Julai, 2001, uone tulimwambia nini Mkapa siku anaenda kuzindua Mgodi wa Bulyanhulu.

Sijui ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa wapi: alikuwa anatetea tumbo lake na matumbo ya wanyonyaji hawa.

Nilikamatwa na kushtakiwa kwa uchochezi kwa sababu ya Bulyanhulu. Hiyo ilikuwa December 2002. Nilikaa na kesi hiyo mahakamani Kisutu kwa miaka sita.

Sijui ulikuwa wapi ila najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa watesi wa wananchi na wanyonyaji wa rasilmali zetu.

Leo Magufuli anajifanya mzalendo na anahoji uzalendo we yeyote anayepingana nae.

Ni muongo. Anatafuta umaarufu wa kisiasa kwa wasiojua na wasiokumbuka. Ataupata. Kwa siku chache tu. Mark my words: ataumbuka na mtaumbuka.

Mimi ninampinga hadharani. Sio mnafiki, na sijahongwa. Ninampinga kwa sababu atatusababishia matatizo makubwa zaidi kuliko tuliyonayo sasa.

Huo mchanga atauachia upelekwe ambako umepelekwa kwa miaka 16 iliyopita. Kama sheria ndiyo hiyo na mikataba ndiyo hiyo hana pakwenda.

Tatizo ninaloliona ni kwamba by the time anawarudishia mchanga wao, Tanzania itakuwa imekuwa a basket case kama Zimbabwe.

Na tutakuwa tumelipishwa mapesa mengi kama fidia na arbitral tribunals za kimataifa kwa kuvunja mikataba na wawekezaji hawa.

Kama kuna anayefikiri uzalendo ni kufumbia macho masuala haya basi huyo na amuunge mkono Magufuli kwenye upofu wake wa kujitakia.

Ripoti ya Prof. Mruma haitamaliza hata nusu saa under serious scrutiny. Zaidi ya majina ya maprofesa walioiandaa, ripoti hii haina credibility yoyote. Ni kazi ya kisiasa iliyopakwa rangi ya usomi.

Kama umefuatilia taarifa za kitaalamu za Bulyanhulu hata kabla ya Barrick Gold kuingia mwaka '99 utajua ninasema nini.

Sutton Resources, Outukumpu Oy na hata STAMICO walishafanya utafiti mkubwa juu ya utajiri wa Bulyanhulu. Taarifa zipo na zimekuwepo kwa hata mbumbumbu wa jiolojia ya madini kama mimi.

Hiki alichoambiwa Magufuli ni rubbish, hata kama ni ya kiprofesa. Rubbish. Hatuibiwi kwenye mchanga, that's the rubbish fed on the unlettered.

Tunaibiwa kwenye sheria. Kama hamuoni hilo then God have mercy on us.
Hivi hujui uchunguzi ulofanyika ni wa kisayansi. Hivyo ushahidi uliopo utabase ktk matokeo ya kisayansi. Tumwache mkuu afanye kazi kwa manufaa yetu. Nampongeza kwa kuunda tume
 
Lissu is a classic example of a loose cannon. Watu kama Lissu ni wazuri sana kuongea lakini ukimkabidhi zizi mifugo yote itakufa kwa funza. He will do nothing apart from lecturing the planet earth. No wonder baada ya miaka 8 alikuwa matapishi, shamelessly.
Fallacial statement. Tujadili hoja sio mtu!
 
Yale makontena aliyozuia pale bandarini atayaachia na mbaya zaidi atalipia fidia kwa fedha za walipa kodi ambao wana lundo la makodi. Tutaacha kusonga mbele na kujikuta tunarudi nyuma kulipia nothing. Huu ni ukweli japo ni mchungu sana! Uzalendo wa kweli kamwe hauambatani na faraja ya muda mfupi inayozaa msiba baadaye.

Nasisitiza kuwa tunaibiwa kwenye mikataba yetu tuliyosainiwa na miccm. Huko kwingine Magufuli anapiga tu maneno.
HASWAAA
 
Hivi hujui uchunguzi ulofanyika ni wa kisayansi. Hivyo ushahidi uliopo utabase ktk matokeo ya kisayansi. Tumwache mkuu afanye kazi kwa manufaa yetu. Nampongeza kwa kuunda tume
Ndani ya CCM tu akina Chenge wamemwambi amedanganya sasa wewe unasema uchunguzi ni wa kisayansi kwani hao wana sayansi wao siyo wanadamu kwamba wanaweza kukosea!!?
 
Kwenye siasa na hasa siasa za kipumbavu za ccm ni kutengeneza matatizo na kuja kujifanya wanayatatua baadae.....yaani hiki ni chama cha sanaa na wizi mtupu. Matukio mengine yapo hawayatatui mpaka watz wateseke ndipo wao wanakuja na kujifanya wanatatua.....
Magufuli was is and will never be a hero coz he is a member of corrupt system of ccm which consistently destroys watz.....
I will the very last person to agree on any move initiated by ccm
Wakati miswada ya kipuuzi ya madini ikipitishwa bungeni Mhe. Raisi Magufuli alikua mbunge if m keeping my records well hakuwahi kusimama kupinga..
Lissu is a classic example of a loose cannon. Watu kama Lissu ni wazuri sana kuongea lakini ukimkabidhi zizi mifugo yote itakufa kwa funza. He will do nothing apart from lecturing the planet earth. No wonder baada ya miaka 8 alikuwa matapishi, shamelessly.
huyu ni chizi tuu aseme kama mikataba iliyo sainiwa ina halalisha kudanganya kiasi cha madini kilichomo ndani ya mchanga....
Tahira huyu
Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
 
Najiuliza sana swali dogo tu kila nikiona post ya Lisu kiufupi nasubiri apost kuwa amepima yeye au kashuhudia upimaji wa huo mchanga na kajiridhisha kuwa hatuibiwi,nitamuelewa sana,tofauti na hapo aendelee kusoma takwimu na historia kwenye makaratasi hadi pale atakapo ikomboa nchi kwa takwimu na sheria
Mkuu elewa bandiko lake,kasema tunaibiwa kwenye sheria na mikataba.maana yake kakubali kwamba tunaibiwa na tunaibiwa isivyo sahihi ila sheria na mikataba ndio unatoruhusu kuibiwa huko
 
KWA NINI TUSIELEWE?
MFANYABIASHARA ANAPAKIA BANGI KUPELEKA INCHI JIRANI KWA KUCHANGANYA NA PUMBA YA MAHINDI.
BANGI INASAFIRISWA KWA JINA LA PUMBA.
TUJIRIDHISHE KWANZA, JE DHAHABU ILYOKO KWENYE MCHANGA NI NYINGI KULIKO TULIVYOKUBALIANA KWENYE MKATABA?
HAKUNA WIZI MDOGO, WIZI NI WIZI TU.
TUANZE NA WIZI MDOGO THEN TWENDE KWENYE ULE MKUBWA.
LISSU SHIRIKIANA NA RAIS KATIKA HILI KWA SABABU UMULIPIGANIA MUDA MREFU NA SASA AMEKUJA MTU AMBAYE ANATAKA KUFANYA ULIYOKUWA UNATAKA.
UKIMTUHUMU HATAKUBALI KUSHIRIKIANA NA WEWE HATA KAMA UNA UWEZO KIASI GANI.
ACHA RAIS ASHUNG'ULIKIE HILI SWALA KISIASA, KIUCHUMI, KISHERIA, KISAYANSI, KIDINI NA HATA KWA KUTUMIA NGUVU INGINE YEYOTE INAOKUBALIKA NA MUNGU AU ISIYOKUBALIKA ILI MRADI SISI TUSHINDE.
TUSIGOMBANIE SILAHA WAKATI TUNAPIGANA VITA MOJA.
CHADEMA WAJUE KAMA SI WAO KUMCHAFUA LOWASSA, LOWASA ANGEKUA RAIS WA INCHI HII KUPITIA CCM.
KWA MAANA HIYO NA KWA WATU WACHAMBUZI WA MAMBO, RAIS WA SASA YUKO MADARAKANI KWA MSAADA MKUBWA TOKA CHADEMA.
LEO LOWASA ANGEKUWA RAIS WA INCHI HII KUPITIA CCM MNGEMPIGIA KELELE ZAIDI NA ANGEWATANDIKA NAKUWAWEKA NDANI BILA HURUMA.
 
kama kweli watanzania wana uchungu na nchi hii waseme ukweli haya yote yanayotendeka yanafanyika katika utawala wa chama gani? na je?hakunawatu walikuwa wanalalamikia haya?tukibaki kujipendekeza kwa watu walioko madarakani tutazidi kuibiwa. ukwaeli ni kwamba yote haya yamefanyika chini ya utawala wa ccm hivyo bila kuwa wakweli wa kuwaondoa ccm madarakani tukubali kila mtu aishi kwa ujaja wake
 
Tundu lissu nimekosoma nimekuelewa Mkuu....Ila ni Wewe na wenzio mlipiga kelele sana Kuwa tutaingia hasara na kuwalipa wawekezaji kama tutaendelea kuyashikilia Yale makontena RAIS akaweka Pamba masikioni na kukomaa Leo baada ya Ripoti mnadai Kuwa ni nyinyi mlianza zamani kutetea huo unyonyaji...Kiufupi Wewe na wenzio ni WAPINZANI na kwa Africa hasa Tanzania UPINZANI tafsiri yake nyepesi ni KUPINGA....Kiufupi HAMUELEWEKI bora JPM na mapungufu yake yote aliyonayo ila angalau tunamuelewa....
 
Back
Top Bottom